Ndokeji
JF-Expert Member
- Jun 9, 2011
- 698
- 476
habari za majukumu wanajamii poleni na kazi. leo nataka tujulishane kuhusu faida ya hiki kinywaji,guiness kiafya..kutokana na tafti mbalimbali zilizofanyika mojawapo ni ile ya wisconsin team..imegundulika hiki kinywaji kina faidi nyingi sana kiafya kinapotumika kwa kiwango cha kawaida...wisconsin team walifanya jaribio la kuwanyweshwa mbwa wenye matatizo ya narrow arteries yaani mishipa ya arteri kusinyaa na kuwa midogo ...baada ya mda wale mbwa wote walikuta hawana tena tatizo hilo....
zifuatazo ni faida za guinness(bia mbili kwa mwanaume ,mwanamke bia moja)
1.HUZUIA MAGONJWA YA MOYO...kinywaji hiki kina antioxidant agents iliyopo pia kwenywe juice na mbogamboga inayosaidia kupunguza mafuta aina ya cholestorol yasabishayo kuziba au kupunguza mzungunko wa damu..
2.KUONGEZA MADINI YA IRON KWENYE DAMu
.inasemekana kwenye kinywaji hiki kuna madini ya iron yanayosaidia kutengeneza seli za damu aina ya red blood cell inayosaidia kusafisha hewa ya oxygen...
3.Huongeza nguvu....hufanya mwili kuwa na nguvu
zifuatazo ni faida za guinness(bia mbili kwa mwanaume ,mwanamke bia moja)
1.HUZUIA MAGONJWA YA MOYO...kinywaji hiki kina antioxidant agents iliyopo pia kwenywe juice na mbogamboga inayosaidia kupunguza mafuta aina ya cholestorol yasabishayo kuziba au kupunguza mzungunko wa damu..
2.KUONGEZA MADINI YA IRON KWENYE DAMu
.inasemekana kwenye kinywaji hiki kuna madini ya iron yanayosaidia kutengeneza seli za damu aina ya red blood cell inayosaidia kusafisha hewa ya oxygen...
3.Huongeza nguvu....hufanya mwili kuwa na nguvu