Uchaguzi 2020 Gululi Kashinde atia nia kulitaka jimbo la Magu mjini, mkoani MWanza

Uchaguzi 2020 Gululi Kashinde atia nia kulitaka jimbo la Magu mjini, mkoani MWanza

TWisheshagi

Member
Joined
May 2, 2020
Posts
14
Reaction score
209
KIJANA huyu kwa Mara ya mwisho nilikuwa naye pale UDSM. Kipindi hicho wote tulikuwa wanafunzi. Mimi nikiwa engineering, yeye akiwa social sciences.

Kipindi fulani alikuwa anafanyia uchambuzi kwenye magazeti ya MwanaHalisi na Raia mwema.

Huyu KIJANA ndiye alikuwa "Master mind" wa siasa za chuo. Alikuwa na uwezo mkubwa Sana wa kuandika hotuba za kusisimua.

MWAKA 2008,akiwa MWAKA wa pili, aliitwa kwenye kamati iliyoongozwa na Jaji Munishi kuchunguza vyanzo vya migomo pale main Compus.

Aliandika utetezi na ripoti nzuri ya kisomi iliyomstua hadi Jaji Mushi, nakusema: "Nimevutiwa Sana na utetezi wako, kama hautokuwa Kiongozi huko tuendako hutajitendea haki"

MWAKA 2009, lilianzishwa jarida la kisomi lililoitwa "Chemchem" kwenye jarida hilo ziliandikwa makala nzito za kisomi. Ni mwanafunzi pekee aliyepewa fursa ya kuandika makala za uchambuzi ndani ya jarida hilo, lilosimamiwa na Prof. Shivji na Dr. BASHIRU.

Sasa nimeambiwa ametoa nia Jimbo la Magu, kwa tiketi ya CHADEMA!
 
Sawa. Kila la Heri Kwako na kwake..
 
KIJANA Gululi Kashinde, ametia nia kulitaka jimbo la Magu mjini, mkoani MWanza.

KIJANA huyu kwa Mara ya mwisho nilikuwa naye pale UDSM. Kipindi hicho wote tulikuwa wanafunzi. Mimi nikiwa engineering, yeye akiwa social sciences.

Kipindi fulani alikuwa anafanyia uchambuzi kwenye magazeti ya MwanaHalisi na Raia mwema.

Huyu KIJANA ndiye alikuwa "Master mind" wa siasa za chuo. Alikuwa na uwezo mkubwa Sana wa kuandika hotuba za kusisimua.

MWAKA 2008,akiwa MWAKA wa pili, aliitwa kwenye kamati iliyoongozwa na Jaji Munishi kuchunguza vyanzo vya migomo pale main Compus.

Aliandika utetezi na ripoti nzuri ya kisomi iliyomstua hadi Jaji Mushi, nakusema: "Nimevutiwa Sana na utetezi wako, kama hautokuwa Kiongozi huko tuendako hutajitendea haki"

MWAKA 2009, lilianzishwa jarida la kisomi lililoitwa "Chemchem" kwenye jarida hilo ziliandikwa makala nzito za kisomi. Ni mwanafunzi pekee aliyepewa fursa ya kuandika makala za uchambuzi ndani ya jarida hilo, lilosimamiwa na Prof. Shivji na Dr. BASHIRU.

Sasa nimeambiwa ametoa nia Jimbo la Magu, kwa tiketi ya CHADEMA!
Acha kujipigia kampeni! Hilo Jimbo tayari linamwenyewe+ kipindi hiki hatuhitaji waandishi Bali watendaji! Porojo za chuo hazina nafasi huku uraiani ! Utanuelewa baadae October!
 
Sifa kubwa 3 muhimu kwa watia nia wa vyama vyote

1) kuwa muongo muongo
2) Mnafiki mnafiki, hata akikohoa bosi unatikisa kichwa juu na chini kuashiria umekubali busara ya kukohoa iliyotumika
3) kukosa aibu
 
Acha kujipigia kampeni! Hilo Jimbo tayari linamwenyewe+ kipindi hiki hatuhitaji waandishi Bali watendaji! Porojo za chuo hazina nafasi huku uraiani ! Utanuelewa baadae October!

Mheshimiwa mbona kama umepaniki hivi!🙄

Huyo kijana anataka aje akunyang'anye pande lako la nyama mdomoni!!
 
Mheshimiwa mbona kama umepaniki hivi!🙄

Huyo kijana anataka aje akunyang'anye pande lako la nyama mdomoni!!
😂🤣😂🤣🤪! Ataizhia kutazama Kama fisi anayesubiri mkono wa binadamu udodoke anapotembea! Pole yako!
 
Ni kijana huyu wa mzee GULULI au vipi? maana kuna mwingine pale anaitwa DOTTO ndio najua ni kada wa chadema.
 
Huyu jamaa ni mashine sana na ana uwezo mkubwa,ni home boy tulikuwa nae mwaka mmoja mimi nikiwa nasomea mawasiliano kwa umma Kijitonyama lakini tukiishi wote mabibo na pale UDSM campus.Kaka yangu alikuwa swahiba wake sana na wamefanya sana siasa na kina Salum Happy na Silinde.Yupo vizuri,chama chake tu ndiyo kinaenda kujifia
 
Huyu jamaa ni mashine sana na ana uwezo mkubwa,ni home boy tulikuwa nae mwaka mmoja mimi nikiwa nasomea mawasiliano kwa umma Kijitonyama lakini tukiishi wote mabibo na pale UDSM campus.Kaka yangu alikuwa swahiba wake sana na wamefanya sana siasa na kina Salum Happy na Silinde.Yupo vizuri,chama chake tu ndiyo kinaenda kujifia
Mkuu mbona huyu home boy simjui kabisa, au itakua alikua hakai sana MAGU?
 
Alikuwa anakaa sana lakin vijana wenye akili si unajua huwa wanasoma mavitabu tu.Ni mtu flani poa sana na kwa kweli angekuwa CCM ilikuwa ni kumpitisha tu.Huu ni upepo wa vijana kwa awamu hii.
 
Back
Top Bottom