Mbna sasa mamelod wanajipigia hao Al Ahly na bado ubingwa wanachukua Al Ahly, mbna wao mamelod wanaishia semi final??Mamelodi Sundowns kila mwaka wanajipigia tu Al Ahly afu Makolokolo SC yanajisifu yana timu nzuri na Kocha bora [emoji16]
Mbumbumbu SC ni failed team, haiwezekani miaka nenda rudi Al Ahly anatutoa sisi Kufa Kiume SC.
Adui tunacheza naye zaidi ya miaka 6 iliyopita lakini Malalamiko SC hatuna lolote nakati ilipaswa tuwe tumeshajua mbinu zote na aina ya silaha inazotumiaga Al Ahly kimchezo ili iwe inamfunga na kumtoa hata mara 1 1 tu.
Makolokolo SC ni overrated team kiubora isipokuwa inaonekana ikijitutumua kwa kupata hata sare kwa Al Ahly lakini haijifunzi kwa timu kubwa kama Mamelodi Sundowns ambapo awali ilikuwa ikisumbuliwa sana na Al Ahly lakini hatimaye sasa hivi Al Ahly ni Mchumba wa kawaida sana kwa Mamelodi Sundowns.
Makolokolo SC fan nateseka sana na kujuta kushabikia timu bovu kama....................[emoji35]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
View attachment 2792291
Wachambuzi wa mchongoUmeandika vzr sana, nimeshangaa kusikia wachambuzi huko wasafii wakionesha kupingana na matokeo ya simba. Hata ya wydad yalikuw hivo pia nimewazoea nawaacha, maana haibadilishi maana.
Na ubaya wa nchi hii watu wanaojua huwa wanakuwa pembeni vilaza sasa ndio huwa wanapewa nafasiWewe ni mchambuzi hasa...hongera sana unajua.
Ila wee utopowiseee ndo size yako huyo Mamelodi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mamelodi Sundowns si saizi yako wewe Kolowizards, wakiita mabingwa wa Africa tayari ana kombe la klabu bingwa Africa, si wewe unayeejiita Klabu Bingwa wa mchongo uliyezoea kufa kiume miaka nenda na miaka rudi.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Anaejua ndio anaesema Al-ahal kabla ya kukutana na Simba ameshinda game tano mfululizo?Na ubaya wa nchi hii watu wanaojua huwa wanakuwa pembeni vilaza sasa ndio huwa wanapewa nafasi
Kwa msio wafaham.Ila wee utopowiseee ndo size yako huyo Mamelodi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna mmevurugwaa vibayaa sana.
Leo hoja hii inatetewa lakini kipindi Yanga anacheza na tp mazembe mlidai tp mazembe kashuka kiwango😂😂It's not a necessarily event. Msimu mmoja mwanafunzi A akapata alama 85% na kushika namba moja darasani na mwanafunzi B akapata alama 80% akishika nafasi ya pili. Msimu unaofuata Mwanafunzi A akapata alama 85% tena na kushika namba moja tena darasani na mwanafunzi B akapata alama 84% akishika nafasi ya pili. Je, kitendo cha mwanafunzi B kuongeza alama 4% ni lazima kishushe nafasi ya mwanafunzi A? Jibu ni hapana. B amepanda lakini haimaanishi amemshusha A
Nimependa Matumizi yako ya neno Mbumbumbu, Ila ngoja tuone;Angekua ameshinda game zote tano na idadi hiyo ya magoli siangekua anaongoza ligi ya kwao?
Kwenye msimamo wa ligi ya kwao, Al-ahal ni tatu.
Alafu kumbuka alifungwa na USM Alga hapa juzi tu.
Mkuu acha kutufanya wote humu ni Mbumbumbu wenzio, umesikia?
We pimbi wa kijivu, ilikuwaje nyie mkajisifu kuwasumbua USM Algiers plus kurudi na kamba shingoni ilhali kombe mmeliacha Algeria?Maelezo mareeeeeeeeeefu ka treni, pumba 'ntupu'.
Jibu hoja moja tu, simba hata akibebwa akaanzia robo fainali anaishia robo fainali.
Acheni kujustify ujinga! Mmetolewa kwenye vikao vyenu fokasini kuwa mmetolewa ili mjifunze next time mpambane. Hii ya kujiona eti mmewasumbua El ahly sio Tija. Tija ilikuwa kuwatoa el ahly muingie nusu fainali. Au ndio zile kauli za 'jamaa kanibaka viwili ila nimemsumbua sanaaaaa, kwa mbinde sanaaaa .........
Makolo sijui huwa mkoje yaani
Weka mechi 5 za mwisho wewe Kolowizards.Tatizo lenu hamfuatilii umebeba matokeo ya hivi karibuni.
Mamelodi Sundowns vs Al Ahly SC Wamecheza mechi 11: Al Ahly ameshinda nne(4), Mamelodi Sundowns (3) na huku sare (4).
Simba pekee ndiyo 50-50 hadi sasa.
By the way, nimependa sana wakati unaizungumzia Simba umeitaja Mamelodi Sundowns na Sio timu nyingine. Levels
Makolokolo SC ni underdogs kwa Mamelodi Sundowns maana Mamelodi Sundowns ina kombe la klabu bingwa Africa, je wewe Mbumbumbu SC?Tatizo lenu hamfuatilii umebeba matokeo ya hivi karibuni.
Mamelodi Sundowns vs Al Ahly SC Wamecheza mechi 11: Al Ahly ameshinda nne(4), Mamelodi Sundowns (3) na huku sare (4).
Simba pekee ndiyo 50-50 hadi sasa.
By the way, nimependa sana wakati unaizungumzia Simba umeitaja Mamelodi Sundowns na Sio timu nyingine. Levels
Huna akili, 2021/2022 Al Ahly ndiye Bingwa wa Klabu Bingwa Afrika au Wydad Casablanca?Mbna sasa mamelod wanajipigia hao Al Ahly na bado ubingwa wanachukua Al Ahly, mbna wao mamelod wanaishia semi final??
Swali rahisi.Ila wee utopowiseee ndo size yako huyo Mamelodi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna mmevurugwaa vibayaa sana.
[emoji28][emoji1732][emoji119]Kwa msio wafaham.View attachment 2792326
Shukrani sana Mkuu.BIG UP
@Bestdady.
Andiko Bora kabisa LILILO tukuka
Tunza hii...!!!Utopolo na viungo wake anakula 5 takatifu
Naomba jina la mchambuzi huyu, nataka nimtumie pepsi BIGJe, Simba SC kutolewa na Al Ahly SC ilipaswa kuwa story kubwa?.
Majibu ya swali hili yanaweza ibua mijadala mingi sana, ambayo si yataleta tofauti kwa mashabiki (watu kushikana sana kimataifa.
Pia kwa Yanga I hope itakuwa the same, wapambane kuonesha walichonacho kimataifa ili kile kilichofachanyika msimu uliopita isionekane ni "fluke" I mean walibahatisha tu.