GUMZO: Al Ahly ageuka kibonde baada ya mechi na Simba

GUMZO: Al Ahly ageuka kibonde baada ya mechi na Simba

Angekua ameshinda game zote tano na idadi hiyo ya magoli siangekua anaongoza ligi ya kwao?
Kwenye msimamo wa ligi ya kwao, Al-ahal ni tatu.

Alafu kumbuka alifungwa na USM Alga hapa juzi tu.

Mkuu acha kutufanya wote humu ni Mbumbumbu wenzio, umesikia?
 
Mamelodi Sundowns kila mwaka wanajipigia tu Al Ahly afu Makolokolo SC yanajisifu yana timu nzuri na Kocha bora [emoji16]

Mbumbumbu SC ni failed team, haiwezekani miaka nenda rudi Al Ahly anatutoa sisi Kufa Kiume SC.

Adui tunacheza naye zaidi ya miaka 6 iliyopita lakini Malalamiko SC hatuna lolote nakati ilipaswa tuwe tumeshajua mbinu zote na aina ya silaha inazotumiaga Al Ahly kimchezo ili iwe inamfunga na kumtoa hata mara 1 1 tu.

Makolokolo SC ni overrated team kiubora isipokuwa inaonekana ikijitutumua kwa kupata hata sare kwa Al Ahly lakini haijifunzi kwa timu kubwa kama Mamelodi Sundowns ambapo awali ilikuwa ikisumbuliwa sana na Al Ahly lakini hatimaye sasa hivi Al Ahly ni Mchumba wa kawaida sana kwa Mamelodi Sundowns.


Makolokolo SC fan nateseka sana na kujuta kushabikia timu bovu kama....................[emoji35]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
View attachment 2792291
Mbna sasa mamelod wanajipigia hao Al Ahly na bado ubingwa wanachukua Al Ahly, mbna wao mamelod wanaishia semi final??
 
Umeandika vzr sana, nimeshangaa kusikia wachambuzi huko wasafii wakionesha kupingana na matokeo ya simba. Hata ya wydad yalikuw hivo pia nimewazoea nawaacha, maana haibadilishi maana.
Wachambuzi wa mchongo
 
Mamelodi Sundowns si saizi yako wewe Kolowizards, wakiita mabingwa wa Africa tayari ana kombe la klabu bingwa Africa, si wewe unayeejiita Klabu Bingwa wa mchongo uliyezoea kufa kiume miaka nenda na miaka rudi.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Ila wee utopowiseee ndo size yako huyo Mamelodi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna mmevurugwaa vibayaa sana.
 
Na ubaya wa nchi hii watu wanaojua huwa wanakuwa pembeni vilaza sasa ndio huwa wanapewa nafasi
Anaejua ndio anaesema Al-ahal kabla ya kukutana na Simba ameshinda game tano mfululizo?
Hivi umesahau kilicho mkuta Al-ahal kwa USM Alger?.... tena hata mwezi haujaisha.

Huyo ni mbumbumbu mwenzio tu, sema huyo amevaa suti nyeusi na kiatu cha kufuta, huku kitambi kikitangulia mbele kama mimba ya miezi saba.

Atutulee upuuzi wake hapa.
 
Ila wee utopowiseee ndo size yako huyo Mamelodi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna mmevurugwaa vibayaa sana.
Kwa msio wafaham.
FB_IMG_1697548664677.jpg
 
It's not a necessarily event. Msimu mmoja mwanafunzi A akapata alama 85% na kushika namba moja darasani na mwanafunzi B akapata alama 80% akishika nafasi ya pili. Msimu unaofuata Mwanafunzi A akapata alama 85% tena na kushika namba moja tena darasani na mwanafunzi B akapata alama 84% akishika nafasi ya pili. Je, kitendo cha mwanafunzi B kuongeza alama 4% ni lazima kishushe nafasi ya mwanafunzi A? Jibu ni hapana. B amepanda lakini haimaanishi amemshusha A
Leo hoja hii inatetewa lakini kipindi Yanga anacheza na tp mazembe mlidai tp mazembe kashuka kiwango😂😂
 
Angekua ameshinda game zote tano na idadi hiyo ya magoli siangekua anaongoza ligi ya kwao?
Kwenye msimamo wa ligi ya kwao, Al-ahal ni tatu.

Alafu kumbuka alifungwa na USM Alga hapa juzi tu.

Mkuu acha kutufanya wote humu ni Mbumbumbu wenzio, umesikia?
Nimependa Matumizi yako ya neno Mbumbumbu, Ila ngoja tuone;

Katika League ya Misri, wapo round ya nne(4). Al Ahly anashika nafasi ya Saba(7) sio tatu(3) kama ulivyosema huku akiwa amecheza michezo miwili pekee, ambayo yote ameshinda.

Pamoja na kuwa imecheza michezo miwili pekee ila ni timu inayoongoza kwa goal difference katika ligi hiyo.

Hizo mechi tano ni mchanganyiko wa CAFCL, Ligi Kuu na Egypt Cup.

Kama mambo madogo kama haya unashindwa kuyajua au kuelewa, Wakikuita Mbumbumbu watakua wanakosea?
 
Maelezo mareeeeeeeeeefu ka treni, pumba 'ntupu'.

Jibu hoja moja tu, simba hata akibebwa akaanzia robo fainali anaishia robo fainali.

Acheni kujustify ujinga! Mmetolewa kwenye vikao vyenu fokasini kuwa mmetolewa ili mjifunze next time mpambane. Hii ya kujiona eti mmewasumbua El ahly sio Tija. Tija ilikuwa kuwatoa el ahly muingie nusu fainali. Au ndio zile kauli za 'jamaa kanibaka viwili ila nimemsumbua sanaaaaa, kwa mbinde sanaaaa .........

Makolo sijui huwa mkoje yaani
We pimbi wa kijivu, ilikuwaje nyie mkajisifu kuwasumbua USM Algiers plus kurudi na kamba shingoni ilhali kombe mmeliacha Algeria?
 
Tatizo lenu hamfuatilii umebeba matokeo ya hivi karibuni.

Mamelodi Sundowns vs Al Ahly SC Wamecheza mechi 11: Al Ahly ameshinda nne(4), Mamelodi Sundowns (3) na huku sare (4).

Simba pekee ndiyo 50-50 hadi sasa.

By the way, nimependa sana wakati unaizungumzia Simba umeitaja Mamelodi Sundowns na Sio timu nyingine. Levels
Weka mechi 5 za mwisho wewe Kolowizards.

Hata Ulaya timu kabla hazijaanza kucheza huchukua matokea ya mechi 5 za mwisho kukutana kimchezo, wewe hizo 11 unajumuisha na za miaka gani?
JamiiForums-751034406.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo lenu hamfuatilii umebeba matokeo ya hivi karibuni.

Mamelodi Sundowns vs Al Ahly SC Wamecheza mechi 11: Al Ahly ameshinda nne(4), Mamelodi Sundowns (3) na huku sare (4).

Simba pekee ndiyo 50-50 hadi sasa.

By the way, nimependa sana wakati unaizungumzia Simba umeitaja Mamelodi Sundowns na Sio timu nyingine. Levels
Makolokolo SC ni underdogs kwa Mamelodi Sundowns maana Mamelodi Sundowns ina kombe la klabu bingwa Africa, je wewe Mbumbumbu SC?
Screenshot_2023-10-25-15-00-42-85_680d03679600f7af0b4c700c6b270fe7.jpg


Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Ila wee utopowiseee ndo size yako huyo Mamelodi?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbna mmevurugwaa vibayaa sana.
Swali rahisi.

1. Timu gani inaongoza kuifunga Mbumbumbu SC duniani?

Ukipata jibu jipige kifuani mara 3 mfululizo kisha sema hakika wewe ni Mpumbavu wa kidigitali.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Je, Simba SC kutolewa na Al Ahly SC ilipaswa kuwa story kubwa?.

Majibu ya swali hili yanaweza ibua mijadala mingi sana, ambayo si yataleta tofauti kwa mashabiki (watu kushikana sana kimataifa.
Pia kwa Yanga I hope itakuwa the same, wapambane kuonesha walichonacho kimataifa ili kile kilichofachanyika msimu uliopita isionekane ni "fluke" I mean walibahatisha tu.​
Naomba jina la mchambuzi huyu, nataka nimtumie pepsi BIG
 
Back
Top Bottom