Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 10,677
- 11,768
Angekua ameshinda game zote tano na idadi hiyo ya magoli siangekua anaongoza ligi ya kwao?
Kwenye msimamo wa ligi ya kwao, Al-ahal ni tatu.
Alafu kumbuka alifungwa na USM Alga hapa juzi tu.
Mkuu acha kutufanya wote humu ni Mbumbumbu wenzio, umesikia?
Kwenye msimamo wa ligi ya kwao, Al-ahal ni tatu.
Alafu kumbuka alifungwa na USM Alga hapa juzi tu.
Mkuu acha kutufanya wote humu ni Mbumbumbu wenzio, umesikia?