GUMZO la Magufuli Uchaguzi Wa Kenya

GUMZO la Magufuli Uchaguzi Wa Kenya

Habari Jamvini?,

Uchaguzi Mkuu wa Kenya [emoji1139] umefanyika siku ya Jumanne Agosti 8, 2017 ambapo kulikuwa na mchuano mkali kabisa kati ya Uhuru Kenyatta mgombea wa Jubilee na Raila Odinga mgombea wa NASA ambapo matokeo yanaonyesha Uhuru Kenyatta kumzidi Odinga kwa asilimia 10 ya matokeo mpaka sasa.

Uchaguzi wa Kenya umeshirikisha jumla ya wagombea 8 waliokuwa wanawania kiti cha urais.

Mchuano ulikuwa mkali sana na tangu mwanzo kulipoanza kampeni ambapo jina la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania [emoji1241] Dkt.John Pombe Magufuli lilitawala sana. Kwa upande wa wagombea Urais jina la Dkt. Magufuli lilitawala na kuwa gumzo kwenye kampeni zao kwa zaidi ya asilimia 98, si Odinga wala si Kenyatta wote walikuwa wakimtaja Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli mara kwa mara kabla hawajashuka majukwaani.

Utawasikia,"Tunataka mabadiliko kama yanayotokea Tanzania ya kupambana na wezi na ufisadi katika serikali ya Magufuli", wengineo utawasikia,"Nikishinda nitaongoza nchi kama Magufuli ". Yaani lilikuwa linapotajwa jina la Magufuli uwanja mzima unalipuka kwa shangwe.

Inawezekana kabisa kushinda kwa Kenyatta ama kutikisa kwa Odinga na kuleta ushindani mkali na wa dhahiri kunatokana na wote wawili (Uhuru na Odinga) kusafiria nyota ya Rais Magufuli wakati wa kampeni ambaye alikuwa nyota ya uchaguzi wa Kenya.

Kung'ara kwa Rais Magufuli kwenye siasa zinatokana na ukweli Wakenya wengi wanampenda mno Rais Magufuli kwa namna anavyoienda nchi yake Tanzania [emoji1241].

Wakenya wengi wanavutiwa na Rais Magufuli kwa namna anavyopambana na rushwa na ufisadi Serikalini ambao umekuwa kero Kubwa kwa Wakenya wengi ambao kiwango cha rushwa na ufisadi ni kikubwa mno wanatamani wangempata Magufuli awasaidie kuondoa tatizo hilo.

Wakenya wanavutiwa na namna ambavyo Rais Dkt. Magufuli anavyotengeneza fursa za ajira nchini kwa kuhakikisha viwanda vingi vinaanzishwa, kilimo kinaboreshwa, kuwaondoa maofisini wenye majina na vyeti feki wanaoziba fursa za wenye vyeti halali. Wakenya wengi sana ni wasomi lakini wengi wao hawana ajira, wanamtamani Magufuli awatengenezee fursa za ajira.

Wakenya wanavutiwa na Magufuli kwa namna anavyotetea rasilimali za Taifa zimnufaisha Mzawa husika na si mwekezaji au mgeni. Uzalendo wa Rais Magufuli katika kulinda rasilimali za nchi ya Tanzania zimewafanya Wakenya wengi kuzidi kuongeza mahaba kwa Rais Magufuli.

Wakenya wengi wanampenda Rais wa Tanzania [emoji1241] Dkt. John Pombe Magufuli kwa namna anavyotekeleza Ilani ya uchaguzi kwa kusimamia kauli zake nyakati za uchaguzi.

Wakenya wengi wanavutiwa na Rais Magufuli kwa namna alivyoboresha nidhamu na uwajibikaji kwa Watumishi wa umma.

Kiukweli kila mgombea aliyesafiria nyota ya Rais Magufuli ameonekana kupata kura za kutosha za kushinda na wengine kuleta ushindani mkali kabisa.

Jina la Dkt.Magufuli sio tu lilikuwa likitumika Kenya bali hata kwenye Uchaguzi wa Rwanda, wametumia sana jina la Rais Magufuli wakati wa kampeni.

Mnyonge, mnyongeni haki yake mpeni. Rais wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli amekuwa nyota na kipenzi cha walio wengi kwa uzalendo, uchapa kazi, usimamizi, ufuatiliaji na utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi(CCM).

Majalida mbalimbali Afrika na Duniani wamekuwa wakimtaja Rais wa Tanzania Dkt.Magufuli kama Kiongozi wa Mfano barani Afrika.

Kuna Faidi unapokuwa Mzalendo wa kweli katika nchi yako.Rais Dkt Magufuli mfano wa kuigwa nje na ndani ya Tanzania [emoji1241].


Na Emmanuel J. Shilatu.

bc46f3997e4ed86ec424ceaa665adf82.jpg
we binti kuna mengine uko sawa,lakini la kutengeneza ajira,kutekeleza ilani uchaguzi na kusimamia alichokisema kwenye kampeni zake, unasema uongo.baada ya kuupata tu anafanya anavyotaka bila kujali.kuna vitu vingi aliahidi lakini sasa hivi ni kama amesahau au anajisahaulisha,kwa mfano aliahidi kuboresha maslahi ya wafanyakazi kwa kupunguza makato,matokeo yake wanaambiwa kama mishahara ni midogo waache kazi wakalime.na tena amewaongezea makato kwenye bodiya mikopo.Acha kujikombakomba.
hizo fursa za ajira ziko wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
umeandika mambo mengi ambaya hayapo kabisa vichwani mwa wakenya!
 
Habari Jamvini?,

Uchaguzi Mkuu wa Kenya [emoji1139] umefanyika siku ya Jumanne Agosti 8, 2017 ambapo kulikuwa na mchuano mkali kabisa kati ya Uhuru Kenyatta mgombea wa Jubilee na Raila Odinga mgombea wa NASA ambapo matokeo yanaonyesha Uhuru Kenyatta kumzidi Odinga kwa asilimia 10 ya matokeo mpaka sasa.

Uchaguzi wa Kenya umeshirikisha jumla ya wagombea 8 waliokuwa wanawania kiti cha urais.

Mchuano ulikuwa mkali sana na tangu mwanzo kulipoanza kampeni ambapo jina la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania [emoji1241] Dkt.John Pombe Magufuli lilitawala sana. Kwa upande wa wagombea Urais jina la Dkt. Magufuli lilitawala na kuwa gumzo kwenye kampeni zao kwa zaidi ya asilimia 98, si Odinga wala si Kenyatta wote walikuwa wakimtaja Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli mara kwa mara kabla hawajashuka majukwaani.

Utawasikia,"Tunataka mabadiliko kama yanayotokea Tanzania ya kupambana na wezi na ufisadi katika serikali ya Magufuli", wengineo utawasikia,"Nikishinda nitaongoza nchi kama Magufuli ". Yaani lilikuwa linapotajwa jina la Magufuli uwanja mzima unalipuka kwa shangwe.

Inawezekana kabisa kushinda kwa Kenyatta ama kutikisa kwa Odinga na kuleta ushindani mkali na wa dhahiri kunatokana na wote wawili (Uhuru na Odinga) kusafiria nyota ya Rais Magufuli wakati wa kampeni ambaye alikuwa nyota ya uchaguzi wa Kenya.

Kung'ara kwa Rais Magufuli kwenye siasa zinatokana na ukweli Wakenya wengi wanampenda mno Rais Magufuli kwa namna anavyoienda nchi yake Tanzania [emoji1241].

Wakenya wengi wanavutiwa na Rais Magufuli kwa namna anavyopambana na rushwa na ufisadi Serikalini ambao umekuwa kero Kubwa kwa Wakenya wengi ambao kiwango cha rushwa na ufisadi ni kikubwa mno wanatamani wangempata Magufuli awasaidie kuondoa tatizo hilo.

Wakenya wanavutiwa na namna ambavyo Rais Dkt. Magufuli anavyotengeneza fursa za ajira nchini kwa kuhakikisha viwanda vingi vinaanzishwa, kilimo kinaboreshwa, kuwaondoa maofisini wenye majina na vyeti feki wanaoziba fursa za wenye vyeti halali. Wakenya wengi sana ni wasomi lakini wengi wao hawana ajira, wanamtamani Magufuli awatengenezee fursa za ajira.

Wakenya wanavutiwa na Magufuli kwa namna anavyotetea rasilimali za Taifa zimnufaisha Mzawa husika na si mwekezaji au mgeni. Uzalendo wa Rais Magufuli katika kulinda rasilimali za nchi ya Tanzania zimewafanya Wakenya wengi kuzidi kuongeza mahaba kwa Rais Magufuli.

Wakenya wengi wanampenda Rais wa Tanzania [emoji1241] Dkt. John Pombe Magufuli kwa namna anavyotekeleza Ilani ya uchaguzi kwa kusimamia kauli zake nyakati za uchaguzi.

Wakenya wengi wanavutiwa na Rais Magufuli kwa namna alivyoboresha nidhamu na uwajibikaji kwa Watumishi wa umma.

Kiukweli kila mgombea aliyesafiria nyota ya Rais Magufuli ameonekana kupata kura za kutosha za kushinda na wengine kuleta ushindani mkali kabisa.

Jina la Dkt.Magufuli sio tu lilikuwa likitumika Kenya bali hata kwenye Uchaguzi wa Rwanda, wametumia sana jina la Rais Magufuli wakati wa kampeni.

Mnyonge, mnyongeni haki yake mpeni. Rais wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli amekuwa nyota na kipenzi cha walio wengi kwa uzalendo, uchapa kazi, usimamizi, ufuatiliaji na utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi(CCM).

Majalida mbalimbali Afrika na Duniani wamekuwa wakimtaja Rais wa Tanzania Dkt.Magufuli kama Kiongozi wa Mfano barani Afrika.

Kuna Faidi unapokuwa Mzalendo wa kweli katika nchi yako.Rais Dkt Magufuli mfano wa kuigwa nje na ndani ya Tanzania [emoji1241].


Na Emmanuel J. Shilatu.

bc46f3997e4ed86ec424ceaa665adf82.jpg
Umeshawahi Kuishi Kenya? Wakenya hawapendi kupeleke
Habari Jamvini?,

Uchaguzi Mkuu wa Kenya [emoji1139] umefanyika siku ya Jumanne Agosti 8, 2017 ambapo kulikuwa na mchuano mkali kabisa kati ya Uhuru Kenyatta mgombea wa Jubilee na Raila Odinga mgombea wa NASA ambapo matokeo yanaonyesha Uhuru Kenyatta kumzidi Odinga kwa asilimia 10 ya matokeo mpaka sasa.

Uchaguzi wa Kenya umeshirikisha jumla ya wagombea 8 waliokuwa wanawania kiti cha urais.

Mchuano ulikuwa mkali sana na tangu mwanzo kulipoanza kampeni ambapo jina la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania [emoji1241] Dkt.John Pombe Magufuli lilitawala sana. Kwa upande wa wagombea Urais jina la Dkt. Magufuli lilitawala na kuwa gumzo kwenye kampeni zao kwa zaidi ya asilimia 98, si Odinga wala si Kenyatta wote walikuwa wakimtaja Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli mara kwa mara kabla hawajashuka majukwaani.

Utawasikia,"Tunataka mabadiliko kama yanayotokea Tanzania ya kupambana na wezi na ufisadi katika serikali ya Magufuli", wengineo utawasikia,"Nikishinda nitaongoza nchi kama Magufuli ". Yaani lilikuwa linapotajwa jina la Magufuli uwanja mzima unalipuka kwa shangwe.

Inawezekana kabisa kushinda kwa Kenyatta ama kutikisa kwa Odinga na kuleta ushindani mkali na wa dhahiri kunatokana na wote wawili (Uhuru na Odinga) kusafiria nyota ya Rais Magufuli wakati wa kampeni ambaye alikuwa nyota ya uchaguzi wa Kenya.

Kung'ara kwa Rais Magufuli kwenye siasa zinatokana na ukweli Wakenya wengi wanampenda mno Rais Magufuli kwa namna anavyoienda nchi yake Tanzania [emoji1241].

Wakenya wengi wanavutiwa na Rais Magufuli kwa namna anavyopambana na rushwa na ufisadi Serikalini ambao umekuwa kero Kubwa kwa Wakenya wengi ambao kiwango cha rushwa na ufisadi ni kikubwa mno wanatamani wangempata Magufuli awasaidie kuondoa tatizo hilo.

Wakenya wanavutiwa na namna ambavyo Rais Dkt. Magufuli anavyotengeneza fursa za ajira nchini kwa kuhakikisha viwanda vingi vinaanzishwa, kilimo kinaboreshwa, kuwaondoa maofisini wenye majina na vyeti feki wanaoziba fursa za wenye vyeti halali. Wakenya wengi sana ni wasomi lakini wengi wao hawana ajira, wanamtamani Magufuli awatengenezee fursa za ajira.

Wakenya wanavutiwa na Magufuli kwa namna anavyotetea rasilimali za Taifa zimnufaisha Mzawa husika na si mwekezaji au mgeni. Uzalendo wa Rais Magufuli katika kulinda rasilimali za nchi ya Tanzania zimewafanya Wakenya wengi kuzidi kuongeza mahaba kwa Rais Magufuli.

Wakenya wengi wanampenda Rais wa Tanzania [emoji1241] Dkt. John Pombe Magufuli kwa namna anavyotekeleza Ilani ya uchaguzi kwa kusimamia kauli zake nyakati za uchaguzi.

Wakenya wengi wanavutiwa na Rais Magufuli kwa namna alivyoboresha nidhamu na uwajibikaji kwa Watumishi wa umma.

Kiukweli kila mgombea aliyesafiria nyota ya Rais Magufuli ameonekana kupata kura za kutosha za kushinda na wengine kuleta ushindani mkali kabisa.

Jina la Dkt.Magufuli sio tu lilikuwa likitumika Kenya bali hata kwenye Uchaguzi wa Rwanda, wametumia sana jina la Rais Magufuli wakati wa kampeni.

Mnyonge, mnyongeni haki yake mpeni. Rais wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli amekuwa nyota na kipenzi cha walio wengi kwa uzalendo, uchapa kazi, usimamizi, ufuatiliaji na utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi(CCM).

Majalida mbalimbali Afrika na Duniani wamekuwa wakimtaja Rais wa Tanzania Dkt.Magufuli kama Kiongozi wa Mfano barani Afrika.

Kuna Faidi unapokuwa Mzalendo wa kweli katika nchi yako.Rais Dkt Magufuli mfano wa kuigwa nje na ndani ya Tanzania [emoji1241].


Na Emmanuel J. Shilatu.

bc46f3997e4ed86ec424ceaa665adf82.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakenya hawakujua kuwa kujifananisha na Magu kunaambatana na goli la mkono!!
 
upumbavu huu...odinga ndiye alikuwa akitaja jina la JPM na kama kawaida ya wafuasi wake, huwa wanashangilia sana akisema chochote...esp ppl from a certain region of Kenya i dont wanna mention...
 
Kusema kweli nimepata furaha sana moyoni baada ya Odinga kushindwa. Na watanzania wengi wamefurahi kwa hili. Nikipimo tosha cha mtu flani hapendwi
 
Chadema wakisikia habari kama hizi wanachanganyikiwa kabisa.. mapovu hadi machoni, alafu the fact JPM is out performing kila sector, basi wako watu roho na mioyo yao inaumia vibaya..

Na bado.. JPM is extra ordinary Leader at the moment, huo ndio ukweli

Kweli kabisa, mpaka kamsaidia Raila kushinda, dadeki!
 
Aliekuwa akilitaja jina la JPM sana katika kampeni za Kenya alikuwa Raila Odinga...Of course na unaweza ona kama jina hilo limemsaidia kushinda ama kushindwa.....
Mkuu ujue Avatar hii imevamiwa, kwa heshima yako badili avatar hataka
 
Uhuru wa kujieleza wa Kenya ni sawa naWA Tanzania kwa sasa? Raila ndiyo maana kashindwa nani anakubali kupoteza haki yake ya msingi awe kama Tanzania?
 
Uhuru wa kujieleza wa Kenya ni sawa naWA Tanzania kwa sasa? Raila ndiyo maana kashindwa nani anakubali kupoteza haki yake ya msingi awe kama Tanzania?
 
Habari Jamvini?,

Uchaguzi Mkuu wa Kenya [emoji1139] umefanyika siku ya Jumanne Agosti 8, 2017 ambapo kulikuwa na mchuano mkali kabisa kati ya Uhuru Kenyatta mgombea wa Jubilee na Raila Odinga mgombea wa NASA ambapo matokeo yanaonyesha Uhuru Kenyatta kumzidi Odinga kwa asilimia 10 ya matokeo mpaka sasa.

Uchaguzi wa Kenya umeshirikisha jumla ya wagombea 8 waliokuwa wanawania kiti cha urais.

Mchuano ulikuwa mkali sana na tangu mwanzo kulipoanza kampeni ambapo jina la Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania [emoji1241] Dkt.John Pombe Magufuli lilitawala sana. Kwa upande wa wagombea Urais jina la Dkt. Magufuli lilitawala na kuwa gumzo kwenye kampeni zao kwa zaidi ya asilimia 98, si Odinga wala si Kenyatta wote walikuwa wakimtaja Rais wa Tanzania Dkt. Magufuli mara kwa mara kabla hawajashuka majukwaani.

Utawasikia,"Tunataka mabadiliko kama yanayotokea Tanzania ya kupambana na wezi na ufisadi katika serikali ya Magufuli", wengineo utawasikia,"Nikishinda nitaongoza nchi kama Magufuli ". Yaani lilikuwa linapotajwa jina la Magufuli uwanja mzima unalipuka kwa shangwe.

Inawezekana kabisa kushinda kwa Kenyatta ama kutikisa kwa Odinga na kuleta ushindani mkali na wa dhahiri kunatokana na wote wawili (Uhuru na Odinga) kusafiria nyota ya Rais Magufuli wakati wa kampeni ambaye alikuwa nyota ya uchaguzi wa Kenya.

Kung'ara kwa Rais Magufuli kwenye siasa zinatokana na ukweli Wakenya wengi wanampenda mno Rais Magufuli kwa namna anavyoienda nchi yake Tanzania [emoji1241].

Wakenya wengi wanavutiwa na Rais Magufuli kwa namna anavyopambana na rushwa na ufisadi Serikalini ambao umekuwa kero Kubwa kwa Wakenya wengi ambao kiwango cha rushwa na ufisadi ni kikubwa mno wanatamani wangempata Magufuli awasaidie kuondoa tatizo hilo.

Wakenya wanavutiwa na namna ambavyo Rais Dkt. Magufuli anavyotengeneza fursa za ajira nchini kwa kuhakikisha viwanda vingi vinaanzishwa, kilimo kinaboreshwa, kuwaondoa maofisini wenye majina na vyeti feki wanaoziba fursa za wenye vyeti halali. Wakenya wengi sana ni wasomi lakini wengi wao hawana ajira, wanamtamani Magufuli awatengenezee fursa za ajira.

Wakenya wanavutiwa na Magufuli kwa namna anavyotetea rasilimali za Taifa zimnufaisha Mzawa husika na si mwekezaji au mgeni. Uzalendo wa Rais Magufuli katika kulinda rasilimali za nchi ya Tanzania zimewafanya Wakenya wengi kuzidi kuongeza mahaba kwa Rais Magufuli.

Wakenya wengi wanampenda Rais wa Tanzania [emoji1241] Dkt. John Pombe Magufuli kwa namna anavyotekeleza Ilani ya uchaguzi kwa kusimamia kauli zake nyakati za uchaguzi.

Wakenya wengi wanavutiwa na Rais Magufuli kwa namna alivyoboresha nidhamu na uwajibikaji kwa Watumishi wa umma.

Kiukweli kila mgombea aliyesafiria nyota ya Rais Magufuli ameonekana kupata kura za kutosha za kushinda na wengine kuleta ushindani mkali kabisa.

Jina la Dkt.Magufuli sio tu lilikuwa likitumika Kenya bali hata kwenye Uchaguzi wa Rwanda, wametumia sana jina la Rais Magufuli wakati wa kampeni.

Mnyonge, mnyongeni haki yake mpeni. Rais wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli amekuwa nyota na kipenzi cha walio wengi kwa uzalendo, uchapa kazi, usimamizi, ufuatiliaji na utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi(CCM).

Majalida mbalimbali Afrika na Duniani wamekuwa wakimtaja Rais wa Tanzania Dkt.Magufuli kama Kiongozi wa Mfano barani Afrika.

Kuna Faidi unapokuwa Mzalendo wa kweli katika nchi yako.Rais Dkt Magufuli mfano wa kuigwa nje na ndani ya Tanzania [emoji1241].


Na Emmanuel J. Shilatu.
Nyota kubwa za Uhuru zilikuwa utendaji kazi ,maendeleo ya kuimarisha maisha ,kuongeza ajira na kupiga magoli makubwa dhidi ya propaganda za kijinga za Odinga. Mambo ya Magufuli kuwa nyota wa kampeni ilikuwa ya Odinga pekee.

bc46f3997e4ed86ec424ceaa665adf82.jpg
 
Pamoja sana ndugu yangu... Ushauri umefanyiwa kazi...
Ewaaaaa, lazima ujitofautishe na watoto mkuu wangu, utatukanwa bure halafu upige ntu na uishie lupango.
Arusha kwema?
 
Back
Top Bottom