The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
We hujaelewa auhivi unaelewa ulichokiandika
Mimi baba yako kijana,ID ya mwanaume ni moja tu menUna ID ngapi dogo?
Unafungua nyuzi kila dakika
Gusa achia tukashenyentwe imekufa kifo cha Mende
Poor Utopolo
Kuna kitu Hersi ameota mapembe kinawaumiza Yanga
Hakuna kitu tunayoyajua ni machache sana japo kwa gamondi iliwagusa wengi. Huyu side sikuwahi kumuelewa kabisa.Kuna kitu Hersi ameota mapembe kinawaumiza Yanga
Sawa, Ili mradi mpira unachezwa hadharani basi tutaona mengiHakuna kitu tunayoyajua ni machache sana japo kwa gamondi iliwagusa wengi. Huyu side sikuwahi kumuelewa kabisa.
Unaelewa ulichokisoma?hivi unaelewa ulichokiandika
Ndio mambo ya soka yalivyo mkuuSawa, Ili mradi mpira unachezwa hadharani basi tutaona mengi
Eti naniii hivi ni kweli CR Belouizdad wamchukue coach side kweli!!?
wanaogopa kusema ukweli, anyway saidi kaondoka tutarajie nini kutoka kwa huyu HAMADI aliyekuja?Kwani Ibenge hawajamuona? Hawa Wachambuzi hawajui kitu,Kocha alikubali kuwa ataivusha Yanga Kuipeleka robo Ndio kipengele cha mkataba.
Sasa tuna mleta Pep Guardiola mtaona. Huyu Side tumegundua bao tunazoshinda ni chache chache sana. Lengo ni kila tunayekutana naye ale bao kuanzia 7 hadi 15.Nauliza tu wandugu maana hali huko sio poa
Side kaumaliza mwendo ngara23 OKW BOBAN SUNZU Kalpana Labani og Minjingu Jingu ephen_
View attachment 3225550
Bora aende sijawahi kumuelewa kabisa. Japo mleta taarifa ameleta kiudaku tu, sababu ziko wazi hajafukuzwa.Nauliza tu wandugu maana hali huko sio poa
Side kaumaliza mwendo ngara23 OKW BOBAN SUNZU Kalpana Labani og Minjingu Jingu ephen_
View attachment 3225550