Gusa, achia,twende kwao yaanza kuwapagawisha watu,milio ya GSM anaharibu ligi imeanza upya

Gusa, achia,twende kwao yaanza kuwapagawisha watu,milio ya GSM anaharibu ligi imeanza upya

UMUGHAKA

JF-Expert Member
Joined
Sep 1, 2021
Posts
2,753
Reaction score
12,932
Nsikuchoshe na Usinchoshe, Tusichoshane!

Wakati wenzao wakifungua mabox ya zawadi Leo,upande wa pili wao wamefungua midomo na kutoa milio ambayo Kwa takribani siku kadhaa haikuwepo baada ya mabingwa wa nchi Young Africans Kuwa na mwenendo mbaya katika ligi kuu ya NBC pamoja na Ile michuano ya Kimataifa

Wakati mabingwa hao wa nchi wakifanya vibaya,zilisikika kejeli na maneno ya kashfa kutoka Kwa wachambuzi "Uchwara" wakiinanga Yanga ya kwamba muda wao umeisha na hivi Sasa ni muda wa Makolokwinyo!

Haikuishia hapo tu,viongozi wa Makolokwinyo wakiongozwa na yule msengenyaji wao waliendelea kuwananga wachezaji wa Yanga huku wakiwatolea maneno ya dharau na kejeli!

GUSA,ACHIA,TWENDE KWAO

Falsafa hii imekuwa mwiba mchungu hasa Kwa Makolokwinyo na wachambuzi "Uchwara" ambao walishaswma na kutabiri anguko la mabingwa wa nchi!

Ndiyo kwaaaaaaaaaanza ni mechi zisizozidi 5 tangu falsafa hii ianze kuwachizisha Makolokwinyo na milio ishanzaa!

GUSA ,ACHIA ,TWENDE KWA MANGUNGU 😂😂😂
 
Na hii ndio maana halisi ya gusa achia twende kwako
muwatwalib-20241224-0001.jpg
 
Dhambi ataikemea atakapowakung'uta Makolokwinyo!
Nakukumbuka ulimkosoa sana Gamondi kabla haijatokea kufungwa na Azam na Tabora pia kwa mfululizo wa nyuzi mwisho wa siku muda ukaongea. Vipi huyu kocha unamuonaje hadi sasa? Anaweza kuifikisha Yanga tunapohitaji?
 
Nakukumbuka ulimkosoa sana Gamondi kabla haijatokea kufungwa na Azam na Tabora pia kwa mfululizo wa nyuzi mwisho wa siku muda ukaongea. Vipi huyu kocha unamuonaje hadi sasa? Anaweza kuifikisha Yanga tunapohitaji?
Huyu ni aina ya makocha niliyekuwa nikiwahitaji muda mrefu kwasababu ni Kocha anayetoa nafasi Kwa kila Mchezaji kuonyesha kipaji chake na hakika wachezaji wanamlipa Imani!

Akiendelea hivi naamini Yanga inarudi kwenye Ubora wake!
 
Tutakapokutana na Makolo na falsafa ya GUSA ,ACHIA ,TWENDE KWA MAKOLO ikiwa imekolea,naamini zile 5 zinaweza kujirudia
Mpira umewashinda fungueni tu kiwanda cha khanga maana mmeonyesha mna vipaji vya kuibua misemo mipya kila siku
 
Back
Top Bottom