Guys kuweni makini na wake za watu.

For sure I'm with you asilimia mia ila power of love bhana acha tu
 
Mume mwenyewe unakuta full stress kila siku unategemea nn?

Akikamatwa Na mnywa konyagi huko nje Na hizo fujo atakazopata lazima akolee
Na akili zenu dada zangu za kushikiwa huwa mnajisahau kabisa!
hapo ndiyo tunakoseaga aisee
 
Naunga mkono hoja, mtie upofu tu huyo jamaa hana adabu kabisa
 
kumbe kuliwa mke inauma ee? mbna wao wanakula tu nnje while wake zao wakiwa wametulia ndani!? atampofua na atapata mwngine wa kumla tena.
 
Atapofuliwa pia
atapata mwngne tena. inaonekana na yy anamzigo wa nnje thus y na mkewe kaamua hivo.. aache ili mkewe na yeye atulie sio anakazania kutia upofu wnzake while yeye hana heshima kwenye ndoa yke.
 
atapata mwngne tena. inaonekana na yy anamzigo wa nnje thus y na mkewe kaamua hivo.. aache ili mkewe na yeye atulie sio anakazania kutia upofu wnzake while yeye hana heshima kwenye ndoa yke.
Haha
 
wake za watu wa nini? wakati mademu kitaa kibao hawana hata mabwana
Hapo ndipo unapo nichanganya kabisaaaa wallah....
Maana ka mchango huu, nina pata wasiwasi na jinsia yako aiseeee [emoji45] [emoji45]
 
kati ya mke na bosi nani hajitambui? bosi ndo mwenye makosa,ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga
 
Mkuu.....
Hivi ulisha wahi kuchapiwa na ukayapata maumivu yale bayo sisi tulio wahi kuchapiwa tuliyasikia?
 
Anaweza kweli kumpa upofu maana kuna watu wengine toka utotoni wamekaririshwa roho mbaya, kuchapa viboko na hata kuwatia wazimu wanajifanya wana uwezo wa kuhukumu na hali mwenye haki ya kuhukumu ni Mungu tu
 
Those are empty threats, amekosa dawa ya kumfunga mke wake asipigwe nje, ataipata wapi dawa ya kumtia mpofu mtu anae kula mke wake?!!!!
 
Mkuu.....
Hivi ulisha wahi kuchapiwa na ukayapata maumivu yale bayo sisi tulio wahi kuchapiwa tuliyasikia?
Ukiona una mke ambaye anatembea na mwanaume ambaye anajuana na
mumewe jua huyo cyo mke bali ni shetani.

Unapaswa umrudishe kwao mapema maana anaweza hata akatembea na mdogo wako,kaka yako,baba yako au mtu mwingine yeyote wa karibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…