Guys mbona mko hivi??

Guys mbona mko hivi??

Mi mbona sijaona ? Fidel80 tuambie aliweka nini mama wa Kwanza??

Ngoja jamani tuache maana mnaweza mhukumu bure wkt tayari kesha jisahisha na kukubali makosa.
Twendelee na mada mezani
 
Haya mama ubaya hakuna lakini kwa mwanaume kuna mipaka yake ya kujiweka soap soap asipitilize, akipitiliza anakuwa kama mwanamke hata kama ameulamba lakini huo mng'ao unakuwa wa kumvutia mwanaume mwenzie hata pindi anapo pita maeneo ya kati mafundi dawasco lazima wataonyeshana ishara flani kuwa ile ni kazi yetu, Nafikiri unanipata pata, ukiwa na handsome boy anajikarabati kama wewe mpaka anakuzidi mng'ao wenzio wanaweka alama za ?????

hebu nitonye hiyo mipaka Fidel ya kujipodoa

matukio.jpg


Huyo hapo, alikuwa si mchezo.
Wadau nawakilisha tu.

Si utani BHT anatisha

JS umenikumbusho mtanashati mwingine aliitwa Matukio Chuma!! alikuwa sopusopu kweli kweli sijui yuko wapi siku hizi

Atakuwepo tu ngoja nitaanza kumsaka
 
hebu nitonye hiyo mipaka Fidel ya kujipodoa



Si utani BHT anatisha



Atakuwepo tu ngoja nitaanza kumsaka

alikuwa msafi huyu wee acha tu nakumbuka enzi zetu tukiwa wanafunzi alikuwa anafunika kwa usafi yaani hao wa marekani ndo wamenikumbusha huyu mwanaume......

kheeeee unamsaka tena JS????
 
kwa heshima na taadhima haikuwa dhamira yangu kuwavunjia heshima wapenzi wangu nimeweka bila hata kujua nilikoitoa sijui nime-edit sijui kama bado inaonekana ..
Nisameheni mie dada yenu sikuwa na nia ya kufanya hivyo..

pleaseeeeeeeeeeeeeeeeeeeee forgive me all
\

Jamani dada FL1 usijali mambo ya kawaida tu hayo. wanoko hawakuona hiyo wangeipata mbona ingekuwa tabu hapa sasa hivi
 
alikuwa msafi huyu wee acha tu nakumbuka enzi zetu tukiwa wanafunzi alikuwa anafunika kwa usafi yaani hao wa marekani ndo wamenikumbusha huyu mwanaume......

kheeeee unamsaka tena JS????

Mweeee yaishe BHT ila ilikuwa ni kumsaka tu niuone utanashati wake. Nanihiiii asije huku itakuwa balaa
 
\

Jamani dada FL1 usijali mambo ya kawaida tu hayo. wanoko hawakuona hiyo wangeipata mbona ingekuwa tabu hapa sasa hivi

aaah kumbe na wewe uliona?? hau kam bana mi sijaona.....niambie basi likuwa kitu gani...guys bado robo saa ntakufa msiposema wat was it!!!

Mweeee yaishe BHT ila ilikuwa ni kumsaka tu niuone utanashati wake. Nanihiiii asije huku itakuwa balaa

shauri yako.....shauri yakoo weee....shauri yako........
 
Hongera sana FirstLady1

For acting with a sense of urgency on the matter. Hongera pia JF members..................!!!!

You need Congratulations rather than Punishiment for that.

Kweli JF ni Forum ya wastaarabu Hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!
 
Hongera sana FirstLady1

For acting with a sense of urgency on the matter. Hongera pia JF members..................!!!!

You need Congratulations rather than Punishiment for that.

Kweli JF ni Forum ya wastaarabu Hureeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!

Thanks firstcollina..
 
Back
Top Bottom