Unfortunately I call it a "big lie", huyu atakuwa anapretend tu kuwa mtu ambaye yule dada anafikiri ndiye. Muulize kama ataweza kupretend milele? Wakifikia kwenye ndoa huyu taratibu atarudi to his old ways, apretend tena vya nini while ameshapata alichokitaka. Ndo hapo makwazo yanapoanza. It's better ukubali hali ya mtu kama ilivyo ukajua mwenyewe utaibebaje, kuliko ukawa na mtu ukifikiri yupo A, kumbe mwenzio yupo Z. Dada anavisualize maisha ya kanisani, mume ndo kiongozi wa ibada home etc, mume anawaza saa ngapi akapige gambe na washkaji mweee. Mwana Ibada Vs Asiyeamini, ngoma inoghile. Wanapendana ila hawahitajianiThat's love now
Haha nimejikuta nimecheka, ulichokiongea ni kweli kabisa. Kuna wakati unakutana na mtu, unasema he is all that i want, but unfortunately he is simply not what I need. Huyu mkaka he is ok, anafaa kuwa mume, but sio mume wa huyo dada, the same kwa mdada. Wanatakana but lifestyles zao hazihitajiani, hazimatch kabisa, wakiendelea hivi hivi bila mmoja wao kubadilika, basi huko mbeleni wajiandae sana kwa makwazo. Ingawa pia Mungu anaweza akakuletea mtu kwa package ambayo hujawahi hata kuiwaza, anataka mtu huyo akabadilike kupitia wewe, yeye atajua akutumiaje wewe kama chombo ili huyo mtu mwingine apate kupona, lakini omba Kwanza Mungu akuthibitishie kuwa huyu ndiye, usije jikuta wewe ndo umeishia kuifuata njia yake. But again mahusiano yoyote yanayokufanya u- compromise uhusiano wako na Mungu, sio mahusiano mema period.Ujinga wanaoufanya mabinti wengi waliookoka ni huu sasa, wanavutika na vitu vidogovidogo vya kupita kama vigali, vipesa nk wanasahau kingdom standards katika kupata mme!
Nasema hili sasa kwa msichana yoyote aliyeokoka atakayesoma hapa: Adam aliletewa mke alipokuwa kwenye uwepo wa Mungu ,na wewe unapotafuta kuolewa angalia mwanamme aliyepo kwenye uwepo wa Mungu, usijidanganye eti utambadilisha na kumleta kwa Mungu, never! Huwezi kwenda bar ukapata mme mwema wewe!
Mnakuja kutuletea watu kama hawa sasa
Hosea4:6
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,
Huyo dada kama hataki maarifa acha aangamie
Hakika. ..Kabisa mkuu... Ndo maana Maswala ya imani sio ya ku overlook Katika mahusiano, yana impact kubwa sana
Umejuaje kama ana shetani?Daah hakika shetani alaaniwe kakuongoza hadi hapa kuandika huu uzi....kijana unashetani mbaya sana ambaye kakukaa kwenye maisha yako na kama usipotubu mapema hakika moto wa milele utakuwakia nakuona kabisa moyo wako unataka kumpokea bwana kuwa mokozi wako hadi ukapenda kwa mtu anayemjua mungu lakin shetani kaitawala akili yako zaidi....kijana kama unamda nitumie namba yako tuweze kuomba pamoja ili shetani mbaya akutoke na uwe kijana mzuri na mcha bwana....nategemea shetani aliye kichwani mwako atapinga nlichokushauri lakin jitahid kunipm namba yako naweza kuomba na wew ili tumtoe shetani katika maisha yako.asante
Uzuri wake ni dini yake, ukimtoa kwa dini yake hafai tena, tafakari kumwacha au kumchukua huku ukimwachia dini yakeSijui kama umenilewa ndugu
Sina ujanja wacha niwe mpole tuu mke namtaka haswa siwezi kuwa na namna isipokua kukomaa naeChagua moja mke au kuendelea kuwa mpagani.
Huwezi kumbadilisha labla apate anguko la kiroho.
Unamwona anafaa kuwa mke kwa sababu ya alicho nacho ndani yake ambacho ni IBADA.
Pengine kama sio kanisa angekuwa disco na usingeona anafaa kuwa mke.
ASANTE MUNGU MAANA NA WEWE UNAENDA KUBADILIKA KUPITIA YEYE. AMEN
Ananipenda saaaana af nampendaa saaana if loving her is crime wacha niende jela lakini tungi naacha nimeamua rasmiUjinga wanaoufanya mabinti wengi waliookoka ni huu sasa, wanavutika na vitu vidogovidogo vya kupita kama vigali, vipesa nk wanasahau kingdom standards katika kupata mme!
Nasema hili sasa kwa msichana yoyote aliyeokoka atakayesoma hapa: Adam aliletewa mke alipokuwa kwenye uwepo wa Mungu ,na wewe unapotafuta kuolewa angalia mwanamme aliyepo kwenye uwepo wa Mungu, usijidanganye eti utambadilisha na kumleta kwa Mungu, never! Huwezi kwenda bar ukapata mme mwema wewe!
Mnakuja kutuletea watu kama hawa sasa
Hosea4:6
Watu wangu wanaangamia kwa kukosa maarifa,
Huyo dada kama hataki maarifa acha aangamie
Most saints were Born siner but end up in heaven kama unafundishwa na kukalili imani yako vizuri japo naijua na siiamini, watu kama nyie hamufai kuwa source ya mabadiliko katika jamii..thanks kwa mchango wakoMtoa maada sina ushauri wowote kwako
Hongera kwa kazi yako ya uagent
Lakini ina haina mwisho mzuri
Mwisho wake ni majuto
Imeifanya siku yangu ianze vibaya
Vitu vingine msiwe mnatutangazia bhana
Ntaacha tu gambe nampenda sana huyu sister ntaacha tu sema taratibu tumeshazungumza hayo na ameingia kingUnfortunately I call it a "big lie", huyu atakuwa anapretend tu kuwa mtu ambaye yule dada anafikiri ndiye. Muulize kama ataweza kupretend milele? Wakifikia kwenye ndoa huyu taratibu atarudi to his old ways, apretend tena vya nini while ameshapata alichokitaka. Ndo hapo makwazo yanapoanza. It's better ukubali hali ya mtu kama ilivyo ukajua mwenyewe utaibebaje, kuliko ukawa na mtu ukifikiri yupo A, kumbe mwenzio yupo Z. Dada anavisualize maisha ya kanisani, mume ndo kiongozi wa ibada home etc, mume anawaza saa ngapi akapige gambe na washkaji mweee. Mwana Ibada Vs Asiyeamini, ngoma inoghile. Wanapendana ila hawahitajiani
Heaven sent unanichoma sana leo kuna game za EPL na kanialika kanisani yani sijui naonaje itabidi nimpitie niangalie matokeo live score maana mke namtakaHaha nimejikuta nimecheka, ulichokiongea ni kweli kabisa. Kuna wakati unakutana na mtu, unasema he is all that i want, but unfortunately he is simply not I you need. Huyu mkaka he is ok, anafaa kuwa mume, buy sio mume wa huyo dada. Wanatakana but lifestyles zao hazihitajiani, hazimatch kabisa, wakiendelea hivi hivi bila mmoja wao kubadilika, basi huko mbeleni wajiandae sana kwa makwazo. Ingawa pia Mungu anaweza akakuletea mtu kwa package ambayo hujawahi hata kuiwaza, anataka mtu huyo akabadilike kupitia wewe, yeye atajua akutumiaje wewe kama chombo ili huyo mtu mwingine apate kupona, lakini omba Kwanza Mungu akuthibitishie kuwa huyu ndiye, usije jikuta wewe ndo umeishia kuifuata njia yake mbaya. But again mahusiano yoyote yanayokufanya u- compromise uhusiano wako na Mungu, sio mahusiano mema period.
Kumkosa siko tayari kanisani ntaenda sema daa ntaenda tuu nampendaMimi nadhani hakuna tatizo na mnaweza kuishi pamoja.
Tafuta muda, mkae, mueleze kila kitu na msikilize atasemaje. Kama upo tayari mfunge ndoa katika imani yake na kisha uendelee na msimamo wako it's okay. Cha msingi hizo dini ni katika kufunga ndoa na makubaliano yenu.
Kuhusu kwenda kanisani au njia ya kuishi mnaweza kuishi pamoja hata kwa tofauti mlizo nazo. Cha msingi ni mipaka. Sio unywe mpaka ulewe wakati unajua mwenzako haruhusu. Ni mipaka tu. Heshimu mipaka yake nawe afahamu mipaka yako.
Pia kama huna imani za udini onyesha kuwa mstaarabu ili apate imani kuwa unajielewa na hutamkosea. Sio lazima muwe na misimamo sawa ya dini, cha msingi mtambue kila mmoja anaishi vipi na muwe na uaminifu na kupendana kwa dhati.
Anisamehe tenaILa YESU akusamehee
Infact sihitaji mech ya ugenini nataka niweke ndani jumlaUna malengo GAn nae