guys niliwamiss sana na ninawapenda pia

Uko fasta mshkaji si mchezo tunaeza tumia hiyo namba na sisi wengine katika kuwasiliana na wewe tafadhali???????
sasa mpwaaz namba amepewa fl1 wewe unaitaka tena?
 
sasa mpwaaz namba amepewa fl1 wewe unaitaka tena?


Sasa si ameieka kwenye public viewing G???angemPM ningeonea wapi hio namba?ndo maana nimeomba ruhusa niichukue nimtafute si unajua tena kuld b samsing gud on ze wei ati.........tehtehtehteh
 
nini xspin najua kuna kakitu kamekubana kwenye koo hutaki kusema sema tuu mpenzi

hahaha ziond akitokea hapa hapatoshi ama newyear na mambo mapya
 
hahaha ziond akitokea hapa hapatoshi ama newyear na mambo mapya


Mweee patakuwa patashika nguo kuchanika kisa Xspin lol!!! Li-Xspin llenyewe kazi kunywa valuuu tu kila siku.

We Xspin si umepumzika kunywa kama nilivyokushauri???
 
Mweee patakuwa patashika nguo kuchanika kisa Xspin lol!!! Li-Xspin llenyewe kazi kunywa valuuu tu kila siku.

We Xspin si umepumzika kunywa kama nilivyokushauri???

Vipi bado hujamkonvisi bf wako aitumie? Utanikumbuka daima! Au kama vipi, njoo tufanze majaribio.
 
Nini Xspin najua kuna kakitu kamekubana kwenye koo hutaki kusema sema tuu mpenzi

Noted with Many Thanks. Ntaku-PM shortly twende sawa!
 
Nikurekebishe kiswahili kidogo kwenye blue ni maringo sio malingo

Haya mama si unajua sisi wa Talime hiyo R inatushinda sana kutofautisha na L
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…