anacheza na akili za wapiga kura, kuchanganya siasa na uchungaji hadi unalazimika kuhubiri mapotofu ili uendelee kubaki kwenye ubunge. angelikuwa mtumishi wa Mungu peke bila kutumikia siasa angekuwa mbali sana na angeshaleta mabadiliko makubwa kwa watu. huwezi kutumikia Mungu na mali au siasa, siasa ni uongouongo na dhurma, ila kwa Mungu mstari unayooshwa.😃😃
Anacheza na akili ya waumini wake au wale wanaokaribia kumuamini.
Ukishasema Kanisa huwezi mtaja Muhammad kama Mtume. Labda hajui maana ya Kanisa
Sipati picha hata angekuwa Askofu mkuu.wa Kanisa kama Katoliki au Lutheran au Tanzania Assemblies of God (TAG) akatoa tamko .kama hilo kingemkuta cha kumkuta wangemvua.vyeo vyote na kufukuza hadi kanisani huku wakikemea mfululizo pepo toka kwa jina la YesuAna bahati kuwa yeye ndiye askofu mkuu wa kanisa lake hilo, angekuwa ni kiongozi mdogo wa kanisa mabosi zake fasta wangemvua uchungaji akajiunge na huyo mtume wao
Vizuri Sana nendeni Sasa mkasali kwake kwa sababu ni mwenzenu amewafurahisha Sana. Sisi wakristu hatumtambui huyo " self declared prophet"Gwajima akihubiri kanisani kwake asema Mtume wao ni Mohamed ( SAW) na Kuruani yao wanaisoma kwa Kiarabu
Msikilize kwenye hii Video
Ama kweli kanisa limeingiliwa
View: https://www.youtube.com/watch?v=JN00GIgYmwU
A nitakuwa chawa wa gwajima mpaka nahakikisha anaibuka tena kidedea kawe! He is our hero in kawe na pia naweza kusema ni mbunge bora kuliko wote kaweGwajima akihubiri kanisani kwake asema Mtume wao ni Mohamed ( SAW) na Kuruani yao wanaisoma kwa Kiarabu
Msikilize kwenye hii Video
Ama kweli kanisa limeingiliwa
View: https://www.youtube.com/watch?v=JN00GIgYmwU
bahati mbaya, 2025 hakuna Magufuli tena, wanaccm waanze tu kujipanga kisaikolojia. 2020 mtu yeyote aliyepita kura za maoni hata kama hana uwezo wowote alikuwa anapita, hapakuwa na uchaguzi kabisa.Anatafuta Kura za waislam na kwa bahati nzuri wanavyo mpenda mtume Muhammad Kula zooote wanampa bureee
He is really good in Psychology