Mkuu darasani ulikuwa unamwelew darasani ? Maan anachohubiri gwaji boy na ulicholetea hadhira ni kama ww ndo mpotoshajiGwajima akihubiri kanisani kwake asema Mtume wao ni Mohamed ( SAW) na Kuruani yao wanaisoma kwa Kiarabu
Msikilize kwenye hii Video
Ama kweli kanisa limeingiliwa
View: https://www.youtube.com/watch?v=JN00GIgYmwU
ni pale unaposalenda kwa shetani ili upate marupurupu,ndio maana Yesu alisema huwezi kumtumikia Mungu na mali. never. umtumikie Mungu vizuri na utumikie utafutaji wa pesa wakati huohuo, lazima uchague kimoja. nashauri watu wamtumikie Mungu kwasababu anasema utafuteni kwanza ufalme wake na haki yake na hayo yote mtazidishiwa. hiyo iliwahi kunikuta hata mimi kipindi nikiwa na miaka 18, sekondari. kuna mkoa tulienda, nikawa nahitaji mno usafiri kunifikisha mjini tu, nikamkuta padre mmoja ana cruza mkonga, anaenda mjini akanipa lift, ila akapitia kwenye maeneo yao fulani kupakia creti anaenda nazo mjini. kumbe ni za bia, na akatutaka tusaidie kupakia. imagine mimi ni mlokole toka nitoke alafu naambiwa na padre nisaidie kupakia hayo makreti ya bia, alikuwa anaenda kuchukua mle kwenye majengo yao huwa wanakuwa na bia za kunywa. kwa huzuni nilikamata kreti nikapakia. tukaondoka hadi mjini. icho kitu kiliniuma hadi leo sijawahi kusahau, nilipofika nililia na kumwomba Mungu anisamehe kwasababu nilitakiwa kuwa mwaminifu hata kufa, hata angeninyima usafiri wake kwasabbu nimekataa kushika bia ilikuwa iwe heri tu kwangu. nilipiga kitabu kwa nguvu mno tangu hapo ili nijikomboe na umasikini wa kuomba lift hadi kuambiwa nipakie bia. kwa msiofahamu, mlokole kwake bila ni sawa na umwambie aje azini, ni haramu hata kuisikia tu.Mkuu darasani ulikuwa unamwelew darasani ? Maan anachohubiri gwaji boy na ulicholetea hadhira ni kama ww ndo mpotoshaji
ni pale unapocompromise na shina la uovu ili uendelee kupata ubunge, wakati kama ungemwachia Mungu ukabaki kwenye mstari yeye ana njia nyingi, angekusaidia tu. ona namna wanadamu tunavyomsaliti Mungu, kuna wakati tunaikana kweli na kumkana Mungu kabisa kwa ajili ya utafutaji wa maisha. Mungu atusaidie.Huyu Hana jipya, mtume wakwake yeye ambaye ni musilamu alah.
Mkweli mtupu huu bibilia ilioandikwa na Paulo jina la baba mfukoni inamtambuwa Papa wa Italia huko,Sasa kama anaitwa rashidi atamkanaje mtume wao? Huyo mtume biblia haimtambui na haimjui ni nani huko ni kufilisika mahubiri sahihi na kuleta upotoshaji kwa maksudi
Isipokua huyo Mfu akiwa ni Jiwe.Gwajima yupo vizuri sana. Huwa anafufua hata wafu.
Huwezi mchanganya Mungu na Shetani wewe TAPELI!Gwajima akihubiri kanisani kwake asema Mtume wao ni Mohamed ( SAW) na Kuruani yao wanaisoma kwa Kiarabu
Msikilize kwenye hii Video
Ama kweli kanisa limeingiliwa
View: https://www.youtube.com/watch?v=JN00GIgYmwU
Tapeli Gwajima Mwislamu kajipenyeza kwenye Ukristo na mtume wake Mohamed na kuruani yake na huko Maulidi ya waislamu anashinda kutapeli wakristoHuwezi mchanganya Mungu na Shetani wewe TAPELI!
Unajua kuna nguvu zinavuta watu wengine wanatumia ushirikina sio vizuri kulaumu tu kuwa ohh yule anaenda imani potofu kwa sijui Gwajima nkhivi, itamfaa nini mtu akiupata ulimwengu wote, lakini nafsi yake ikaangamia moto wa jehanum milele? pata kila kizuri cha dunia hii ambacho ni cha muda tu ila baadaye unaangamia milele? mmiliki wa Apple alitoa jibu moja zuri sana, alithibitisha kwamba mafanikio yote ya dunia hii, hata kama tunayahitaji wakati bado tunaishi hapa duniani, ila kiukweli ni ubatili mtupu na yanapita tu kuna siku utaacha vyote. aliacha apple tunafaidi. ila yeye huko alikoenda kipimo ni kipya, itajalisha aliishije hapa duniani kiroho ili aende motoni au uzimani. nimefikiri sana hili jambo,
nimefikiri pia kwa kuwaangalia manabii wa uongo wengi, wauza mafuta na chumvi waliotapakaa hapa DSM, wengi wanatumia dini kupata pesa tu. hao kina gerdevie, mwamposa, kuhani musa na wengine wote wasiohubiri wokovu ila miujiza tu na mafanikio. kwani inajalisha nini, tupate vyote ila mwisho ni motoni. Mungu atupe macho ya rohoni.
Tatizo la Kanisa sasa hivi ni mtu analima shamba huku anaangalia mwingine analimaje badala ya kujikita kulima shamba lake ohh yule analima vibaya mpaka maono kaitiwa yanapotea kutwa anahangaika kuangalia wengine wanalimaje na kutengeneza mahubiri ukiwemo wewenimefikiri pia kwa kuwaangalia manabii wa uongo wengi, wauza mafuta na chumvi waliotapakaa hapa DSM, wengi wanatumia dini kupata pesa tu. hao kina gerdevie, mwamposa, kuhani musa na wengine wote wasiohubiri wokovu ila miujiza tu na mafanikio. kwani inajalisha nini, tupate vyote ila mwisho ni motoni. Mungu atupe macho ya rohoni.
nadhani umepotoka, au na wewe ni nabii wa uongo au ni shida ya uelewa tu. Mungu akusaidie. Umwonapo mtu mbaya yupo katika njia mbaya ukaacha kumsema, yule mtu atapotea ila damu yake itadaiwa mikononi mwako. kumsema mtu kama yupo njia mbaya sio kitu kibaya. Yesu Kristo pia aliwasema sana watu wanafiki na waficha maovu kama wewe. je? utasema Yesu naye aliacha injili akawa anahubiri watu?Tatizo la Kanisa sasa hivi ni mtu analima shamba huku anaangalia mwingine analimaje badala ya kujikita kulima shamba lake ohh yule analima vibaya mpaka maono kaitiwa yanapotea kutwa anahangaika kuangalia wengine wanalimaje na kutengeneza mahubiri ukiwemo wewe
Yesu kakuita umhubiri yeye sio wauza mafuta au yeyote mwenye imani potofu hujaitiwa hilo kama hujui ukichoitiwa funga omba Mungu akueleze upya alikuitia nini? Umhubiri yeye au wauza mafuta au wenye imani potofu ndani ya kanisa au nje ya kanisa,? Kaongee na Mungu akueleweshe alikuitia nini? Je akikuita pia labda kuwa referee wa kupiga filimbi kuwa ohh wewe mchungaji, Askofu au kanisa mnakoenda siko kuwa kazi yako mipasho tu kama wazaramo watani zangu? Ndicho Mungu akikuitia kuwa kawe referree na kawape vidonge vyao?
Uliitwa kuhubiri Kristo au mambo ya watu unayoyaona? Sikuhukumu wewe kaongee ba Mungu wako wito wako alikutuma nini
Siyo kazi yangu kuingilia kati mambo mliongea na Mungu kule mwanzo kabusa original alipokuita day one
Tafakari day one ya wito mliongea nini siyo status ya sasa
Wakati unaitwa hakukuwa na maji wala mafuta ya upako mliongea nini hasa na Mungu kuhusu wito wako kuwa wito wako unahusu nini hasa?
Biblia haijaagiza kumsema mtu mbaya imeagiza kumuonya kwa upole.Kumsema wakati hayupo ni umbeyanadhani umepotoka, au na wewe ni nabii wa uongo au ni shida ya uelewa tu. Mungu akusaidie. Umwonapo mtu mbaya yupo katika njia mbaya ukaacha kumsema, yule mtu atapotea ila damu yake itadaiwa mikononi mwako. kumsema mtu kama yupo njia mbaya sio kitu kibaya. Yesu Kristo pia aliwasema sana watu wanafiki na waficha maovu kama wewe. je? utasema Yesu naye aliacha injili akawa anahubiri watu
angalia encounters zote za Yesu kama aliwaonya kwa upole. of course wale aliowaonya kwa upole ni wale raia wa kawaida, ila hao viongozi matapeli wanaopoteza muda wa raia raia wanaamini wanamwabudu Mungu kumbe wanaelekezwa kuzimu, ni wa kuwakemea kwa namna yeyote ile, na Mungu atatusaidia.Biblia haijaagiza kumsema mtu mbaya imeagiza kumuonya kwa upole.Kumsema wakati hayupo ni umbeya
Pili Injili no habari njema ya Yesu sio habari mbaya za watu za wanayoyafanya
Kanisani linatakiwa kuhubitiwa neno la Mungu sio habari za watu na upotofu wai wawe wauza mavi ya upako ,au mikojo ya upako nk
Watu wanahitaji kumjua Mungu sio hao watu
Kuna kesi moja kanisa moja lilikuwa na semina na kiongozi mwingine alikuwa na yeye na semina mbali kutoka lilipo kanisa kwenye viwanja na alijaza watu kibao kuliko pale kanisani
Mnenaji wa kwanza akasema pale kuna semina yule anauza mafuta ya watu wapate pesa ni uchawi sawa watu wanapata pesa lakini za kichawi heri kwenda mbinguni maskini kuliko kupata utajiri yule anatoa wa kichawi
Kilichotokea alipomaliza kipindi kilikuwa kipindi cha mapumziko waumini wakatimka wakaenda kwa muuza mafuta ya kichawi ya utajiri akabaki na wazee wa kanisa ambao nao ni kama walibaki kinafiki labda nao walitamani lakini wakaogopa Mnenaji atawaonaje
mahubiri ya kuhubiri watu huwa yana shida zake yeye ndie aliamsha roho za waumini kuamka kuelekea kule badala ya kuhubiri Kristo kaamua kuhubiri habari za muuza mafuta ya utajiri hiyo Injili gani hiyo?
Kanisani au mikutano ya nje sio sehemu ya kuhubiri habari za watu waovu na uovu wao wanaofanya. Ni sehemu ya kumhubiri Kristo tu ns habari njema zake tu yazidiyo hapo yatoka kwa yule Mwovu
Mtu yeyote mkali huwa sio mtu wa upendoangalia encounters zote za Yesu kama aliwaonya kwa upole. of course wale aliowaonya kwa upole ni wale raia wa kawaida, ila hao viongozi matapeli wanaopoteza muda wa raia raia wanaamini wanamwabudu Mungu kumbe wanaelekezwa kuzimu, ni wa kuwakemea kwa namna yeyote ile, na Mungu atatusaidia.
kwahiyo unamaanisha kwamba Yesu hakuwa mtu wa upendo pale alipopinduapindua meza wa wafanyabiashara pale hekaluni? au unasoma Biblia nyingine? kuuchukia uovu ni kukosa upendo.Mtu yeyote mkali huwa sio mtu wa upendo
Mungu aliupenda ulimwengu wenye dhambi akamtuma Mwanawe wa pekee afe kwa ajili ya ulimwengu hakuja kwa ajili ya wenye haki watakatifu alisukumwa na upendo sio ukali Yohana 3:16
Ukiona mhubiri yeyote mkali huwa sio mtu wa maombi yaliyojaa upendo akiwa na upendo wa ndani kabisa wa kuomba waliopotoka wabadilike .
Hata kwenye maombi hufoka foka tu akilaani waovu wawe ndani ya kanisa au nje
Cha kwanza mtu akipotoka ni kuingia kwenye maombi kwanza yaliyojaa upendo kama ya Musa alivyomsihi Mungu kuwa usiwaangamize wana wa Israel
Mhubiri yeyote mkali wa kufoka foka roho ya upendo wa Kimungu ule wa Agape huwa hana
lililo kuu kwenye mambo yote iwe huduma tano au karama zinatakiwa kutawaliwa na roho ya upendo wa ndani kabisa wa kutaka watu kubadilika na sehemu ya kuanzia sio kwenye mahubiri ni magotini kuongea wawili na Mungu kama Musa aliongea na Mungu kwanza maombi yaliyojaa upendo sio hasira .Mtu wa kuombea wengine kwa maombi ya upendo huwa hana Hasira madhabahuni akihubiri nj
Roho ya upendo ndani yako haimo.Muombe Mungu akusaidie hilo .
Kufoka foka ni ufarisayo mhubiri mfokaji fokaji huwa ana messianic syndrome kama kuwa yeye tu ndiye mwenye haki na Messiah pekee aliyebaki kwavajili ya kanisa nk hakuna Mwingine kwenye kanisa Hiyo sio nzuri kabisa ni hatari kwako binafsi na kwa kanisa na umoja wa Kanisa na mwili wa Kristo
Hili tatizo liliwakuta hata manabii akiwemo Eliya akamwambia Mungu nimebaki mimi tu mwenye haki nataka kuuawa
Mungu alivyomuona ana kiburi akamwambia ninao 750 ambao hawawezi piga goti kwa mabaali .Mmojawapo alikuwa Obadia ambaye alimpa taarifa ya manabii kibao waliofichwa mapangoni huko.Mungu akamwambia sikukumbelezi nenda kakabidhi kazi kwa Elisha wewe ondoka
Mitume pia walikuwa na hiyo jeuri ya messianic syndrome kuwa wao tu ndio wameitwa na wanajua kuliko yeyote siku hiyo wakamkuta mtu anatoa pepo na hajawahi kuwa mmoja wa wanafunzi wa Yesu chuo chao cha Biblia au kadini kao wakamzuia Yesu akasema acheni namjua
Ninataka kusema mwenye kazi ni Mungu wewe una Messianic syndrome acha .Kila kitu sukumwa na upendo zaidi kufoka foka acha na kujiona wewe ndio masihi pekee unaejua kila kitu acha.Mwili wa Kristo una viungo vingi na kila moja tumepewa tu kujua kwa sehemu kwa kadri ya neema ya Mungu aliyotujalia kasehemu kadogo na tukafanye kwa unyenyekevu sio kwa kufoka foka na kiburi cha uzima
Siku ukijua yote ya Mungu utakuwa Mungu na Mungu hakubali hata siku moja kuwa sawa na Mwanadamu Ndiko unakoelekea wewe
Acha ukali na kufoka foka jikite zaidi kwenye upendo iwe kwenye maombi,au mahubiri nk uwe mnyeyekevu na mpole uliyejaa upendo kwa uombayo na uwaombeao usiombe kama yule farisayo kuwa ohh Mungu unanijua niko vizuri kuliko watumishi wengine wawe wachungaji au masskofu ,kanisa zima nk
Shuka chini shuka nakemea Roho ya kujikweza iliyoko ndani yako na ya messianic syndrome ikutoke kwa Jina Yesu