shida iko wap...we kamtukane tu alaf utajua nn watu wanamaansha kwa kile kumuogpa gwajimaWho is Gwajima Dah! I wish Ningekua mm yani nimetoa Huo wimbo Alafu nimsikie mjinga mmoja Ananitishia kudadeki kingenuka Kuna Baadhi ya Watu Nimeona Mmeshaanza upuuzi wa kumwogopa Huyu Gwajima Ndugu Fear God NoT Human
Acha kabisaIla Tz kuna vipaji umasikini wa nchi ndio tatizo
[HASHTAG]#Tusipangiane[/HASHTAG]
😀😀😀😀
Sijui alikosa vina mpaka akaamua kuingiza jina hilo na nyakati kama hizi sipati picha patakuwaje hapoHuwa wanaanza kumchokoza wenyewe na yeye akianza kuongea na familiya yake wanaanza kumuona mgomvi.
Mkuu, asante sana.Acha ujinga
Hata Yesu alikemea upuuzi km huu
... Jamani good thing ni kwamba huwa anawatahadharisha mapema, hivi ukiona kibao kuna Mbwa Mkali hapa why go there??
Unajiamini mwambie bashiteWho is Gwajima Dah! I wish Ningekua mm yani nimetoa Huo wimbo Alafu nimsikie mjinga mmoja Ananitishia kudadeki kingenuka Kuna Baadhi ya Watu Nimeona Mmeshaanza upuuzi wa kumwogopa Huyu Gwajima Ndugu Fear God NoT Human
Izo CD [emoji331] za Ngono za Zari angezileta mchungaji Gwajima au?DOMO KAONA AOMBE MSAMAHA MAANA DNA ZA WATOTO NA BABA ZAO WANGELETWA LIVE PLUS MACD YA PORN YA ZARI TAABU TUPU
Watakuja kukupa cv zote za kuanzia Gwajima mpaka wakina WCB woteMwenye CV ya diamond tafadhali.
Siav sio kuwahurumia,unawachapa kwanza ndio unawaombea!Mkuu, asante sana.
Pamoja na kukemea ,Yesu aliwahurumia na kuwaombea.
Mtumishi ananipa shida kidogo juu ya matumiz ya nyumba ya ibada na majibizano kana kwamba yeye pia ni wa ulimwengu( He is out of CHRISTIANITY).
mkuu Habari ya hapa, umepewa aikli with all 5 senses zitumie vizuri. Akili ya kushikiwa imepitwa na wakati.
Baada ya meeting!
Uhuru upi na kweli ipi unaongelea? Wewe kinakusumbua nini hapo?Kama ni yeye kweli kaandika hivyo,Mungu awasaidie waumini wake kuijua kweli itawaweka huru
NomaaaaHahaha...nchi Ina vituko hii....ngoja ninunue hisa voda mgao nadhani utakuwa mkubwa tu.....!kwani kuna mtu kanunua ugomvi nae?km kamtaja bora akaombe radhi tu yaishe maana.......