Bruno Toto
JF-Expert Member
- Oct 15, 2019
- 477
- 546
Naona umekuja kutafuta bwana Dada yangu, PM iko wazi ila K ioshe vizuriRudi shule mama angu ujifunze kujadiliana. Mimi sio ngazi yako. Rudi shule uongeze maarifa mtoto mzuri.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naona umekuja kutafuta bwana Dada yangu, PM iko wazi ila K ioshe vizuriRudi shule mama angu ujifunze kujadiliana. Mimi sio ngazi yako. Rudi shule uongeze maarifa mtoto mzuri.
Hapa namtafuma mama yako, mpigie simu nitapokea sasa hivi, piga.Naona umekuja kutafuta bwana Dada yangu, PM iko wazi ila K ioshe vizuri
wewe unatumikia mabwana wangapi? unahisi ukimchukia ndio utapunguza ugumu wa maisha ulionaoMuulize huyo Mlaji wa mivutu anyaegombea ubunge na huku anajifanya kutumikia mabwana wawili
Hawa watu walioanzisha makanisa yao kama mitume na manabii wana siri wanazozijua wenyewe.Vitu vingine unajiuliza unashangaa. Kama kanisa tu limemshinda kuboresha, watu wanasalia kwenye mapagale, yale tunaita fulu suti(full suit) juu hadi chini pamoja na sadaka na zaka zote anazokusanya kila jumapili, atatusaidia nini watu wa kawe?
Kanisa la Gwajima akupita pale ubungo unaambiwa ni kanisa unashangaa, kama kambi ya wakimbizi halafu mtu huyo anatuahidi maendeleo kawe.
Hebu tuwe serious kidogo basi.
Kweli zaidi ya majumba yake ...hata kanisa kashindwa kujengaAnataka kuwaletea utaalam wake wa uchezaji sinema za utupu na kondoo wakeView attachment 1559353
Wakati huo Kenya wanaanza kuuza magari yao wenyewe mwaka huu mwishoni sisi tunashangilia darajaCcm ambao kwa miaka 60 wamekua wakizalisha ufukara, umasikini wa kupindukia, magonjwa, ujinga na utaahira kama wewe watatusaidia nini kama miaka 60 wameshindwa kufanya jambo lolote la maana?
Leo miaka 60 mnakuja kutuambia daraja ni maendeleo, kwamba kujenga daraja la ubungo ni maendeleo, kununua ndege ni maendeleo?
Vitu vingine unajiuliza unashangaa. Kama kanisa tu limemshinda kuboresha, watu wanasalia kwenye mapagale, yale tunaita fulu suti(full suit) juu hadi chini pamoja na sadaka na zaka zote anazokusanya kila jumapili, atatusaidia nini watu wa kawe?
Kanisa la Gwajima akupita pale ubungo unaambiwa ni kanisa unashangaa, kama kambi ya wakimbizi halafu mtu huyo anatuahidi maendeleo kawe.
Hebu tuwe serious kidogo basi.
Ccm iliyoshindwa kuondoa umasikini kwa watanzania miaka 60 haiwezi kuwasaidia hata ikipewa miaka 700.Chadema imeshindwa kujenga ofisi za Chama itawasaidiaje watanzania?