Gwajima amvaa 'nabii' Bushiri kwa kutabiri maovu juu ya Tanzania

Gwajima amvaa 'nabii' Bushiri kwa kutabiri maovu juu ya Tanzania

Hivi inakuwaje mtu unadiriki kutaka kutoa roho ya binadam mwenzako simply kwa sababu ya ushindani wa kisiasa!!?

Kutabiri ni kutambua mambo ya ghaibu kitu ambacho binadam yeyote hana huwezo nacho hisipokuwa kutumia nguvu ya giza.

Hata siku moja sitoamini utabiri wa yeyote anayeitwa binadam.
wewe umejuaje kuwa sababu ni ushindani wa kisiasa?
 
Tukiwatabiria kuwa mtakuwa marais wa nchi mnakenua meno, tukiwatabiria vifo mnakasirika kazi yetu ni kutabiri matukio yawe mazuri au mabaya au tuache kuwatabiria sasa!
 
Huyu Lowasa naona bado ana mapenzi makubwa sana na CCM. Angalia kitambaa mkononi kama bendera ya CCM. Kweli Fisi siku zote ni fisi habadiliki kuwa Mbwa.
Kwani Picha niyalini?
Ingawa sijaona hiyo kitu
 
Hivi inakuwaje mtu unadiriki kutaka kutoa roho ya binadam mwenzako simply kwa sababu ya ushindani wa kisiasa!!?

Kutabiri ni kutambua mambo ya ghaibu kitu ambacho binadam yeyote hana huwezo nacho hisipokuwa kutumia nguvu ya giza.

Hata siku moja sitoamini utabiri wa yeyote anayeitwa binadam.
Huamini utabiri wa kifo , ila unaamini kwamba wanasiasa wanataka kuuana kutokana na watabiri hao hao?
Hivi inakuwaje mtu unadiriki kutaka kutoa roho ya binadam mwenzako simply kwa sababu ya ushindani wa kisiasa!!?

Kutabiri ni kutambua mambo ya ghaibu kitu ambacho binadam yeyote hana huwezo nacho hisipokuwa kutumia nguvu ya giza.

Hata siku moja sitoamini utabiri wa yeyote anayeitwa binadam.
 
Gwajima anamtuhumu bushiri kutumiwa/ kuhongwa na baadhi ya watu kumchafu Lowassa nawaza tu dau alilopewa Bushiri maana yule jamaa kiasset hayupo vibaya
 
Mchungaji huyo alitabiroi kuwa Lowassa atafariki dunia na Uchumi wa Tanzania utakuwa na hali mbaya miaka ijayo, Gwajima amempelekea ujumbe akimtaka akae kimya upesi


Gwajima yaelekea neno la Mungu halijui:-

1) Nabii ni kinywa cha Mungu haongei atakalo kwa hiyo maswali yote ya Gwajima ni kupoteza muda kwani chungu kamwe hakiwezi kujitia kinaujuaji zaidi ya Mfinyanzi. Kama Mungu kaamua kumtumia kuutabiria mfupa mkavu wa Tanzania hivi Gwajima ni nani akhoji kwa nini Nabii Bushiri asitabirie mataifa mengine bali Tanzania? Huko ni kukhoji busara ya Mwenyezi Mungu!

2) Inatosha kusema Gwajima ni mwongo anapodai Lowassa hatakufa. Ukweli ni kuwa sote tutakufa kwa muda ambao Mfinyanzi alitupangia.

3) Gwajima anadai Nabii Bushiri kwanini anatutabiria mambo mabaya tu? Sasa kama mabaya yanakuja kwetu je Gwajima anataka Nabii Bushiri atabiri uongo?

4) Biblia hususan vitabu vya Deuteronomy, Jeremiah na Ezekiel vimeonya manabii wanaotabiri mema huku Mfinyanzi hajawatuma. Gwajima ni taswira ya Nabii wa uongo Hananiah na adhabu yake ya kupingana na Nabii Jeremiah ilikuwa ni mauti. Soma Jeremiah 5:31, 14:14, 23:25 & 28:15-17.
 
Back
Top Bottom