Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiongozi, na wewe upo kwenye mitanange ya Mangereza na Gwajima?At least kwasasa but they are totally unpredictable
Sent from my INFINIX-X551 using JamiiForums mobile app
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Njiani kannisani sahz kw gwajima
Ameshikwa na butwaa kwa alichokiona kwenye movie hadi ameshindwa kutafuna popcorn.... Ndicho kinchoenda tokea leo... Tutashangaa sana wakati movie inaendelea.Huyu wako hatafuni
"Kesho mapemaa mungu akiniamsha salama nawahi kiti cha mbele kabisa maana hayo makombora yatakaoshushwa yatakuwa ni double touch kama picha linavyojieleza"
Kuna siku niliona hicho kipindi.. Huyo kijana huulizi mara mbiliinasemekana kwisa ni shoga mzoefu.
..... Jambo ambalo lingeweza kumuangusha Gwajima na Kanisa lake ni bwana yule kuthibitisha kwamba , Gwajima ni Muongo, mfitini, Mzandiki na asiye faa...simple kwa kuleta vyeti.View attachment 483089
Kapost muda huu kwenye page yake Instagram
Jamani Gwajima keshatoa warning,kesho kinanuka, last week alisema kafunga mjadala unless achokozwe apige double manifestation sasa naona Bashite kamchokoza,asilie tu maana wakizidiwa utasikia oooh mtumishi gani wa Mungu hajui kusamehe
Nan nyie kina soudy brown na kwisa kesho nawaonea huruma kwenye page ya Mange maana story zenu za kula Cocaine kule mbezi zitawekwa hadharani plus michezo yenu ya ushoga
Mbaya zaidi Mama Trump naye ataanika michepuko ya ma boss wenu hapo clouds
Hongera Bashite kwa kukoroga kinyesi,movie linazidi kunoga
Ukitumia mdaraka vibaya hayo ndo madhara yake maana unajikuta unatumia dola kwa utashi wako binafsi na pasipo na uhitaji wa dola, na hii inaonyesha ni jinsi gani watu wanavyolewa madaraka pindi wayapatapo.Huyo atakuwa fixed soon.Hawezi kucheza na dola.