Uchaguzi 2020 Gwajima, dharau hizi hutafika popote

Kusema mahakama ya kadhi ni kitu kisichomhusu Gwajima ni Uongo au ujinga wa kutojua!

Mahakama ya kadhi itawaadhiri wote wa-islam , wakristo, wabudha, mpaka wasiomini how?! Ukitafakari utajua.

Mahakama ya kadhi itaondoa umoja wa kitaifa, how?!, Ukishiba utajua

Imagine leo nyumbani kwenu kila mmoja aamue kuishi anavyotaka ndani ya familia eti kisa anayofanya ni yake binafsi?! Itakuwa ni familia(taifa)?

Unaweza kuwa uko sahihi kwa mengine ila kwa hili hapana

Nimeona nichangie tu hapo ulipoingiza udini kama vile wewe ambavyo umeona tu mabaya ya Gwajima ukaacha mazuri yake!

Hakuna aliyemkamilifu, kila mmoja na mapungufu yake!
 
Kawe hatutaki nuksi na laana kwa kuchagua kiongozi anayeshiriki mapenzi ya jinsia moja
Ahaaa, unampenda Gwajima kwa kuwa anapenda ngono za jinsia tofauti kama alivyorekodiwa kwenye ile video? Kama ana tabia ya kula waumini wake si ataanza kula wapiga kura wake? Haya bwana naona umeshinda. Kilangila.
 

Taikoni wa Fasihi my class mate kisiwani high school Same
 
tatizo lako uliyeandika huu uzi una ushabiki wa chama ,alivvyosema bibi kidude nadhan ulielewa alimaanisha nini,ila kwasababu ya ushabiki wako unakuza mambo....

hiyo ni lugha ya kisiasa
 
Kwani huyu "MREMBO" katoa kauli gani kwa Bibi yetu??

Sijawahi kumkubali hata siku moja na huwa simsikilizi maana huwa anaongea UHARO.
 
tatizo lako uliyeandika huu uzi una ushabiki wa chama ,alivvyosema bibi kidude nadhan ulielewa alimaanisha nini,ila kwasababu ya ushabiki wako unakuza mambo....

hiyo ni lugha ya kisiasa

Aliyetamka ameelewa alichokisema,
Kama hakuwa na nia mbaya unafikiri ni kwanini kaomba msamaha?

Unajua maana ya kuomba Msamaha ni kukiri kosa? Kutubu ni jambo jingine
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…