Uchaguzi 2020 Gwajima, dharau hizi hutafika popote

Uchaguzi 2020 Gwajima, dharau hizi hutafika popote

Gwaji hafai kwa lolote , anafanya jina la Mungu litukanwe! Tupa kule Gwaji boy!!!!!

watu wa Kawe hatutompa kura, labda angeenda kwao Kolomije ambako hawajitambui, sio hapa town.


JESUS IS LORD!
 
Huyu mtu na umri wake na anavyofanya ni aibu sana na hakui kabisa! kila uchwao ni kashfa mpya!
Anyway, ndio laana zenyewe kwa utapeli anaofanya tena kwa kutumia jina la Mungu,
 
Hapo kwa mahakama ya kadhi mkuu sikuungi mkono.athari zake hasi ni nyingi sana.Ni hatari na mtego kwa utengamano wa kitaifa.Vipi Wakristo kwa mgawanyiko wao wakdai nao mahakama zao,za kikatoliki,mahakama ya kisabato,kilutheri,wapagani na wote wasio na mrengo wwte wa kidini.Tanzania itasimama kweli.
 
GWAJIMA AZIDI KUHARIBU, DHARAU KWA BIBI KIDUDE NANI ATAZIVUMILIA?

Na, Robert Heriel

Pia nilimhusisha Gwajima na Udini pale alipopinga waziwazi mahakama isiyomuhusu hata kidogo, Mahakama ya Kadhi ya ndugu zetu Waislamu. Hiyo Mahakama ya Kadhi haimuhusu yeye wala sisi Wakristo, inawahusu Waislamu wenyewe na mambo yao. Sasa kilichomuwasha Gwajima ni nini atoke hadharani kupinga kitu kisichomuhusu. Hilo pia nilimuonya miaka ile.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300

Hivi kweli unajua unachokisema kuhusu mahakama ya kadhi kwamba inawahusu waislamu peke yao au umekurupuka tu! Hoja haikuwa kwamba mahakama ya kadhi iwepo wala isiwepo hilo kweli ni suala la waislamu na sheria za nchi kama zinaruhusu basi hakuna shida. Mjadala wa mahakama ya kadhi uliibuka nchi nzima bila kujali dini wala itikadi za kisiasa kwa sababu waislamu walikuwa wanadai serikali igharamie uendeshaji wa hiyo mahakama ya kidini wakati wanajua fika kwamba serikali haiendeshi taasisi za kidini na wala haina dini. Kwa maana nyingine waislamu walitaka mahakama yao iendeshwe kwa kodi za wapagani, waslamu yenyewe na wakristo.

Sasa unavyosema kwamba mahakama ya kadhi ilikuwa haimuhusu Gwajima wala wakristo hapo unaongopa mchana kweupe. Kodi za serikali zinalipwa na wananchi wote wa Tanzania na zinatumika kuleta maendeleo ya nchi bila kujali dini, kabila, wala chama anachotoka mtu.
 
GWAJIMA AZIDI KUHARIBU, DHARAU KWA BIBI KIDUDE NANI ATAZIVUMILIA?

Na, Robert Heriel

Mwanzo nilisema Gwajima ni Mbaguzi na mdini, sikuwahi kudhani anaudhaifu mwingine wa kudharau watu ambao hata hawahusiani na yeye kwa lolote Lile.

Nilimhusisha Gwajima na Ukabila kutokana na tuhuma zake za kutaka kuanzisha kikundi cha kikabila kutoka kabila lake chenye lengo la kumtetea Mhe. Rais ambaye anatoka Kabila lake. Nashukuru Jeshi la Polisi lilimuonya.

Pia nilimhusisha Gwajima na Udini pale alipopinga waziwazi mahakama isiyomuhusu hata kidogo, Mahakama ya Kadhi ya ndugu zetu Waislamu. Hiyo Mahakama ya Kadhi haimuhusu yeye wala sisi Wakristo, inawahusu Waislamu wenyewe na mambo yao. Sasa kilichomuwasha Gwajima ni nini atoke hadharani kupinga kitu kisichomuhusu. Hilo pia nilimuonya miaka ile.

Mwisho ni kauli yake inayohusu ndoto yake ya kugeuza misikiti kuwa Sunday school, na mashehe na maimamu kupigwa maji na kusilimishwa mbele ya msalaba. Alisema muota ndoto hafi mpaka ndoto yake itimie, kumaanisha yeye kabla hajafa atahakikisha misikiti itakuwa Sunday School. Hiyo watu wengi walimpiga, hasa mashehe, na wadau mbalimbali, mimi nami nikiwepo.

Sababu hizo ndizo zilizonifanya nishawishike kuikubalia akili yangu kuwa Gwajima hafai kupewa ubunge kwa jamii iliyostaraabika, watu wenye akili, na wenye muono wa mbali. Nilisema Gwajima anyimwe kura na wana Kawe, na mpaka sasa kundi kubwa la watu kutoka KAWE limenihakikishia kuwa halitampa kura huyo aitwaye Gwajima.

Sasa juzi juzi Gwajima katoa tena boko bila ya yeye kujielewa. Kitendo cha kumhusisha Marehemu Bibi Kidude katika siasa zake za vijembe ni dharau kubwa kwa Bibi Yetu huyo.

Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau sanaa ya muziki hapa Tanzania na Zanzibar.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wanawake wanamuziki.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wazee wa kike waliojenga nchi hii.
Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau harakati za haki za wanawake zilizopiganiwa na Marehemu Bibi Kidude.

Gwajima, atamuhusisha vipi Mzee anayeweza kumzaa Baba yake, na kumzaa yeye?
Gwajima wakati unatoa kauli ya kumshambulia mpinzani wako(bila shaka Halima Mdee) Ulikusudia kuwaambia nini wanaokusikiliza?

Hivi Gwajima unamchukuliaje Marehemu Bibi Kidude?

Fatuma Binti Baraka ndiye huyo Bidi Kidude anayoheshima kubwa sana katika nchi yetu kuliko hata wewe unavyodhani. Ni mwanamke aliyeweza kukomboa fikra za wanawake wengi, akaondoa dhana potofu mbalimbali ikiwa ni pamoja na ndoa za utotoni ambapo akiwa na miaka 13 alitoroka kwao kwa kuepa kuolewa akiwa na umri mdogo. Bibi Kidude pia aliweza kufungua njia kwa wanawake wengi ambao walitamani kuwa wanamuziki, ukizingatia kwa zama za zamani mwanamke kujiingiza kwenye masuala ya muziki ilikuwa ni nongwa.

Bibi Kidude pia ni moja ya wanamuziki walioupaisha muziki wa Taarabu kimataifa kwa nyimbo zake za mikogo ya kipekee. Bibi Kidude pia mwalimu, kungwi wa unyago kwa mabinti wa zama zile ambao aliwafunda na mpaka anakufa hakuna ndoa iliyovunjika ambayo yeye alimfunda mwali.

Bibi Kidude anatuzo nyingi za kimataifa, siajabu wewe huna hata tuzo moja lakini unamshushia heshima Bibi yetu kwa mambo yenu ya siasa.

Bibi Kidude kaitangaza sana Zanzibar na Tanzania bara kimataifa, watalii wengi walikuja na kuburudika kwa nyimbo zake. Alafu wewe unaleta dharau za Rejareja.

Bibi Kidude anafahamika na vyombo vya habari vya ndani na kimataifa. Pengine wewe sio msikilizaji wa Redio, ungekuwa msikilizaji wa Redio huenda ungemsikia Bibi Kidude kwenye Idhaa ya Kiswahili ya DW, wimbo wake wa Mhogo wa jang'ombe. Wewe Unaleta dharau zako.

Bibi Kidude ni ICON ya kimataifa wakati wewe ni Icon ya kanda ya mashariki hapa nchini.

Bibi Kidude alitunza na kuhamasisha utamaduni wa kiafrika kwa kutumia muziki wa Taarabu, Unyago, kuuza hina, kucheza ngoma na kuzipiga, wewe unahamasisha utamaduni wa kigeni kupitia dini yako hiyo.

Dharau zako zinakunyima mambo mazuri, Gwajima unamambo yako mazuri mengi lakini kinachokuharibia ni Udini, ukabila, na dharau.

Hayo mambo matatu yatakusumbua sana wewe mwenyewe.

Lakini yanaweza kuja kutusumbua sisi watu wengine endapo utapata nafasi za juu katika maamuzi na mamlaka.

Je Kawe watakuchagua ili uwadharau?
Je Kawe watakuchagua ili ulete mambo yako ya ajabu?

Pengine hujui siasa vyema, au unajua lakini hujui namna ya kuzungumza.
Mwenzako alikuita mrembo, yaani alikushambulia wewe binafsi kwa kutumia nomino ya jumla kwa kutaja neno "Mrembo" Wewe umetumia Nomino ya Kipekee kwa kutaja jina la Bibi Kidude. Hilo ndilo kosa lako.

Ulidhamiria kumdhalilisha au kumkejeli mtu mmoja lakini umetumia mtu mwingine yaani asiyehusika(Bibi KIdude) Matokeo yake umewadhalilisha wote wawili au kuwakejeli wote wawili. Yaani Hasimu wako na Marehemu Bibi Kidude.

Ushauri wangu;
Siku nyingine ukiamua kumtukana au kumtupia mtu kijiwe/kijembe basi tumia nomino au kitu kisicho na majina ya watu waliopo nchi hii. Kwa kufanya hivyo hutaleta mgogoro kama ulivyofanya wakati huu.

Mwisho: ACHA DHARAU KWA WATU WAZIMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Nimesoma upuuzi wako mpaka mwisho...lakini upuuzi mkubwa ni hapo niliposoma neno Taikon;....nikajua kumbe nimepoteza muda kwa huyu boya
 
Huna ujuacho kwa habari ya vijembe kwenye siasa, naomba nisikuelimishe.

Gwajima mwenyewe kaomba radhi wewe unakalia chuki hapo.

Sijakataa Gwajima kumkejeli au kumkebehi, au kumpa kijembe Halima Mdee, ila amemkejeli hasimu wake kwakutumia udhaifu wa mtu mwingine, na hilo ndilo kosa alilofanya, wewe huelewi wapi. Gwajima angesema "Yule Bibi Kizee" Au "ajuza" au Nomino yoyote ya Jumla wala isingezua mgogoro. Sasa yeye kazua mgogoro kwa kuingiza nomino ya pekee yaani mtu mahususi "Bibi Kidude" ambaye watu wanamfahamu, anandugu, na anawafuasi licha ya kuwa ni marehemu. Bado hujaelewa mantiki ya uzi wangu.

Ni sawa mtu akuambie kuwa yule anasura mbaya kama "Remmy ongala" Hapo utakuwa umepiga watu wawili kwa wakati mmoja, yaani huyo unayemtania au kumkebehi na Remmy mwenyewe. Hujaelewa tuu?

Kuhusu "Nickname"
Hujui Nickname pia ni utambulisho wa Mtu,
Mtu akisema Diamond Platnum, Nay wa Mitego, Sugu, Profesa Jay hao ni watu mkuu,

Wewe bila Bibi Kidude, unafikiri neno hilo ungelisikia wapi?

Hakuna mwenye chuki na huyo Gwajima, ila mambo yake ya hovyo ndio tutayapinga. Mimi sina chama, wala sina mpango wa kuwa na chama. Napinga na kuunga mkono yeyote anayekosea na anayefanya vyema

Una matatizo ya uelewa.umeangalia angle moja tu ya sura....sifa zote nzuri za bi kidude huzijui?,,,Akili za kushikiwa hizo ulizonazo.unapojenga hoja uwe na uwezo wa kuitetea kwa hoja.swali linarudi kwako.kuna kosa gani halima kupewa jina la bi kidude?
 
Wewe Bibi Kidude anatuzo nyingi za kimataifa,

GWAJIBOY Anatunzo yoyote ?hata clip yake ya ngono bado haijapata tunzo
Mtu akiwa na akiliccm halisi hawezi ona ukweli wowote na kuukubali!!
Alichosahau Gwajiboy ni kilichomkuta yule Mzee maarufu aliyetukana wajumbe wa darasa la saba kwa digrii zake...
 
GWAJIMA AZIDI KUHARIBU, DHARAU KWA BIBI KIDUDE NANI ATAZIVUMILIA?

Na, Robert Heriel

Mwanzo nilisema Gwajima ni Mbaguzi na mdini, sikuwahi kudhani anaudhaifu mwingine wa kudharau watu ambao hata hawahusiani na yeye kwa lolote Lile.

Nilimhusisha Gwajima na Ukabila kutokana na tuhuma zake za kutaka kuanzisha kikundi cha kikabila kutoka kabila lake chenye lengo la kumtetea Mhe. Rais ambaye anatoka Kabila lake. Nashukuru Jeshi la Polisi lilimuonya.

Pia nilimhusisha Gwajima na Udini pale alipopinga waziwazi mahakama isiyomuhusu hata kidogo, Mahakama ya Kadhi ya ndugu zetu Waislamu. Hiyo Mahakama ya Kadhi haimuhusu yeye wala sisi Wakristo, inawahusu Waislamu wenyewe na mambo yao. Sasa kilichomuwasha Gwajima ni nini atoke hadharani kupinga kitu kisichomuhusu. Hilo pia nilimuonya miaka ile.

Mwisho ni kauli yake inayohusu ndoto yake ya kugeuza misikiti kuwa Sunday school, na mashehe na maimamu kupigwa maji na kusilimishwa mbele ya msalaba. Alisema muota ndoto hafi mpaka ndoto yake itimie, kumaanisha yeye kabla hajafa atahakikisha misikiti itakuwa Sunday School. Hiyo watu wengi walimpiga, hasa mashehe, na wadau mbalimbali, mimi nami nikiwepo.

Sababu hizo ndizo zilizonifanya nishawishike kuikubalia akili yangu kuwa Gwajima hafai kupewa ubunge kwa jamii iliyostaraabika, watu wenye akili, na wenye muono wa mbali. Nilisema Gwajima anyimwe kura na wana Kawe, na mpaka sasa kundi kubwa la watu kutoka KAWE limenihakikishia kuwa halitampa kura huyo aitwaye Gwajima.

Sasa juzi juzi Gwajima katoa tena boko bila ya yeye kujielewa. Kitendo cha kumhusisha Marehemu Bibi Kidude katika siasa zake za vijembe ni dharau kubwa kwa Bibi Yetu huyo.

Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau sanaa ya muziki hapa Tanzania na Zanzibar.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wanawake wanamuziki.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wazee wa kike waliojenga nchi hii.
Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau harakati za haki za wanawake zilizopiganiwa na Marehemu Bibi Kidude.

Gwajima, atamuhusisha vipi Mzee anayeweza kumzaa Baba yake, na kumzaa yeye?
Gwajima wakati unatoa kauli ya kumshambulia mpinzani wako(bila shaka Halima Mdee) Ulikusudia kuwaambia nini wanaokusikiliza?

Hivi Gwajima unamchukuliaje Marehemu Bibi Kidude?

Fatuma Binti Baraka ndiye huyo Bidi Kidude anayoheshima kubwa sana katika nchi yetu kuliko hata wewe unavyodhani. Ni mwanamke aliyeweza kukomboa fikra za wanawake wengi, akaondoa dhana potofu mbalimbali ikiwa ni pamoja na ndoa za utotoni ambapo akiwa na miaka 13 alitoroka kwao kwa kuepa kuolewa akiwa na umri mdogo. Bibi Kidude pia aliweza kufungua njia kwa wanawake wengi ambao walitamani kuwa wanamuziki, ukizingatia kwa zama za zamani mwanamke kujiingiza kwenye masuala ya muziki ilikuwa ni nongwa.

Bibi Kidude pia ni moja ya wanamuziki walioupaisha muziki wa Taarabu kimataifa kwa nyimbo zake za mikogo ya kipekee. Bibi Kidude pia mwalimu, kungwi wa unyago kwa mabinti wa zama zile ambao aliwafunda na mpaka anakufa hakuna ndoa iliyovunjika ambayo yeye alimfunda mwali.

Bibi Kidude anatuzo nyingi za kimataifa, siajabu wewe huna hata tuzo moja lakini unamshushia heshima Bibi yetu kwa mambo yenu ya siasa.

Bibi Kidude kaitangaza sana Zanzibar na Tanzania bara kimataifa, watalii wengi walikuja na kuburudika kwa nyimbo zake. Alafu wewe unaleta dharau za Rejareja.

Bibi Kidude anafahamika na vyombo vya habari vya ndani na kimataifa. Pengine wewe sio msikilizaji wa Redio, ungekuwa msikilizaji wa Redio huenda ungemsikia Bibi Kidude kwenye Idhaa ya Kiswahili ya DW, wimbo wake wa Mhogo wa jang'ombe. Wewe Unaleta dharau zako.

Bibi Kidude ni ICON ya kimataifa wakati wewe ni Icon ya kanda ya mashariki hapa nchini.

Bibi Kidude alitunza na kuhamasisha utamaduni wa kiafrika kwa kutumia muziki wa Taarabu, Unyago, kuuza hina, kucheza ngoma na kuzipiga, wewe unahamasisha utamaduni wa kigeni kupitia dini yako hiyo.

Dharau zako zinakunyima mambo mazuri, Gwajima unamambo yako mazuri mengi lakini kinachokuharibia ni Udini, ukabila, na dharau.

Hayo mambo matatu yatakusumbua sana wewe mwenyewe.

Lakini yanaweza kuja kutusumbua sisi watu wengine endapo utapata nafasi za juu katika maamuzi na mamlaka.

Je Kawe watakuchagua ili uwadharau?
Je Kawe watakuchagua ili ulete mambo yako ya ajabu?

Pengine hujui siasa vyema, au unajua lakini hujui namna ya kuzungumza.
Mwenzako alikuita mrembo, yaani alikushambulia wewe binafsi kwa kutumia nomino ya jumla kwa kutaja neno "Mrembo" Wewe umetumia Nomino ya Kipekee kwa kutaja jina la Bibi Kidude. Hilo ndilo kosa lako.

Ulidhamiria kumdhalilisha au kumkejeli mtu mmoja lakini umetumia mtu mwingine yaani asiyehusika(Bibi KIdude) Matokeo yake umewadhalilisha wote wawili au kuwakejeli wote wawili. Yaani Hasimu wako na Marehemu Bibi Kidude.

Ushauri wangu;
Siku nyingine ukiamua kumtukana au kumtupia mtu kijiwe/kijembe basi tumia nomino au kitu kisicho na majina ya watu waliopo nchi hii. Kwa kufanya hivyo hutaleta mgogoro kama ulivyofanya wakati huu.

Mwisho: ACHA DHARAU KWA WATU WAZIMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Hivi ndugu yetu marehemu Bibi Kidude alimkosea nini huyu Gwajima hadi amdharau kiasi hiki? Kwanza bibi Kidude alikuza sana utalii na sanaa visiwani. Yeye Gwajima zaidi ya Misukule yake ameisaidia nini Kawe na nchi kwa ujumla> Asifikiri tutamchagua kwa kuwa ni Msukuma. No!
 
Kama ulifuatilia kipindi cha uzinduzi wa kampen kawe CCM mgeni Rasm alizungumzia kuhusu hili swala Halima alimuita Gwajima mrembo lakin Gwajima alimjibu kwa kumuita jina la Heshima kubwa Bi kidude wala hakumkeji maana hakutaka kulipiza ubaya
 
Mwacheni huyo ni mchungaji hewa! Kwanza kule kulipiza kisasi kwa kumwita Mdee ni Bi Kidude na mambo mengine akijaribu kujibu mapigo yameshamuondolea sifa hata ya kuitwa mchungaji! Nafikiri ifike mahala serikali itunge sheria ya kuwavua uongozi wa kidini viongozi wa kidini wasiofuata misingi ya vyeo vyao! Amejiamini, anajidanganya akizani kuwa alivyorudishwa na Magufuli kugombea nafasi aliyoshindwa kupita, basi hata akishindwa na Mdee atarudishwa tena!
Yan unakuta mtu hata hafuatilii taarifa unakuta kitu na kudandia juuu kama popo vile kama unamfuatilia vzuri utajua kuwa hakumuita kwa ubaya
 
Kila kosa moja kwenye siasa ni Fursa.

Gwajima ni moja ya watu bora nchi hii lakini ubaguzi wake wa dini na ukabila, na dharau zinamuangusha sana
Nadhani unaposema Gwajima ni moja ya watu bora nchi hii na wewe unaghafilika.
Atakuaje bora na wakati huo huo Ni mkabila, mdini na mwenye dharau?

Sent from my vivo 1904 using JamiiForums mobile app
 
GWAJIMA AZIDI KUHARIBU, DHARAU KWA BIBI KIDUDE NANI ATAZIVUMILIA?

Na, Robert Heriel

Mwanzo nilisema Gwajima ni Mbaguzi na mdini, sikuwahi kudhani anaudhaifu mwingine wa kudharau watu ambao hata hawahusiani na yeye kwa lolote Lile.

Nilimhusisha Gwajima na Ukabila kutokana na tuhuma zake za kutaka kuanzisha kikundi cha kikabila kutoka kabila lake chenye lengo la kumtetea Mhe. Rais ambaye anatoka Kabila lake. Nashukuru Jeshi la Polisi lilimuonya.

Pia nilimhusisha Gwajima na Udini pale alipopinga waziwazi mahakama isiyomuhusu hata kidogo, Mahakama ya Kadhi ya ndugu zetu Waislamu. Hiyo Mahakama ya Kadhi haimuhusu yeye wala sisi Wakristo, inawahusu Waislamu wenyewe na mambo yao. Sasa kilichomuwasha Gwajima ni nini atoke hadharani kupinga kitu kisichomuhusu. Hilo pia nilimuonya miaka ile.

Mwisho ni kauli yake inayohusu ndoto yake ya kugeuza misikiti kuwa Sunday school, na mashehe na maimamu kupigwa maji na kusilimishwa mbele ya msalaba. Alisema muota ndoto hafi mpaka ndoto yake itimie, kumaanisha yeye kabla hajafa atahakikisha misikiti itakuwa Sunday School. Hiyo watu wengi walimpiga, hasa mashehe, na wadau mbalimbali, mimi nami nikiwepo.

Sababu hizo ndizo zilizonifanya nishawishike kuikubalia akili yangu kuwa Gwajima hafai kupewa ubunge kwa jamii iliyostaraabika, watu wenye akili, na wenye muono wa mbali. Nilisema Gwajima anyimwe kura na wana Kawe, na mpaka sasa kundi kubwa la watu kutoka KAWE limenihakikishia kuwa halitampa kura huyo aitwaye Gwajima.

Sasa juzi juzi Gwajima katoa tena boko bila ya yeye kujielewa. Kitendo cha kumhusisha Marehemu Bibi Kidude katika siasa zake za vijembe ni dharau kubwa kwa Bibi Yetu huyo.

Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau sanaa ya muziki hapa Tanzania na Zanzibar.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wanawake wanamuziki.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wazee wa kike waliojenga nchi hii.
Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau harakati za haki za wanawake zilizopiganiwa na Marehemu Bibi Kidude.

Gwajima, atamuhusisha vipi Mzee anayeweza kumzaa Baba yake, na kumzaa yeye?
Gwajima wakati unatoa kauli ya kumshambulia mpinzani wako(bila shaka Halima Mdee) Ulikusudia kuwaambia nini wanaokusikiliza?

Hivi Gwajima unamchukuliaje Marehemu Bibi Kidude?

Fatuma Binti Baraka ndiye huyo Bidi Kidude anayoheshima kubwa sana katika nchi yetu kuliko hata wewe unavyodhani. Ni mwanamke aliyeweza kukomboa fikra za wanawake wengi, akaondoa dhana potofu mbalimbali ikiwa ni pamoja na ndoa za utotoni ambapo akiwa na miaka 13 alitoroka kwao kwa kuepa kuolewa akiwa na umri mdogo. Bibi Kidude pia aliweza kufungua njia kwa wanawake wengi ambao walitamani kuwa wanamuziki, ukizingatia kwa zama za zamani mwanamke kujiingiza kwenye masuala ya muziki ilikuwa ni nongwa.

Bibi Kidude pia ni moja ya wanamuziki walioupaisha muziki wa Taarabu kimataifa kwa nyimbo zake za mikogo ya kipekee. Bibi Kidude pia mwalimu, kungwi wa unyago kwa mabinti wa zama zile ambao aliwafunda na mpaka anakufa hakuna ndoa iliyovunjika ambayo yeye alimfunda mwali.

Bibi Kidude anatuzo nyingi za kimataifa, siajabu wewe huna hata tuzo moja lakini unamshushia heshima Bibi yetu kwa mambo yenu ya siasa.

Bibi Kidude kaitangaza sana Zanzibar na Tanzania bara kimataifa, watalii wengi walikuja na kuburudika kwa nyimbo zake. Alafu wewe unaleta dharau za Rejareja.

Bibi Kidude anafahamika na vyombo vya habari vya ndani na kimataifa. Pengine wewe sio msikilizaji wa Redio, ungekuwa msikilizaji wa Redio huenda ungemsikia Bibi Kidude kwenye Idhaa ya Kiswahili ya DW, wimbo wake wa Mhogo wa jang'ombe. Wewe Unaleta dharau zako.

Bibi Kidude ni ICON ya kimataifa wakati wewe ni Icon ya kanda ya mashariki hapa nchini.

Bibi Kidude alitunza na kuhamasisha utamaduni wa kiafrika kwa kutumia muziki wa Taarabu, Unyago, kuuza hina, kucheza ngoma na kuzipiga, wewe unahamasisha utamaduni wa kigeni kupitia dini yako hiyo.

Dharau zako zinakunyima mambo mazuri, Gwajima unamambo yako mazuri mengi lakini kinachokuharibia ni Udini, ukabila, na dharau.

Hayo mambo matatu yatakusumbua sana wewe mwenyewe.

Lakini yanaweza kuja kutusumbua sisi watu wengine endapo utapata nafasi za juu katika maamuzi na mamlaka.

Je Kawe watakuchagua ili uwadharau?
Je Kawe watakuchagua ili ulete mambo yako ya ajabu?

Pengine hujui siasa vyema, au unajua lakini hujui namna ya kuzungumza.
Mwenzako alikuita mrembo, yaani alikushambulia wewe binafsi kwa kutumia nomino ya jumla kwa kutaja neno "Mrembo" Wewe umetumia Nomino ya Kipekee kwa kutaja jina la Bibi Kidude. Hilo ndilo kosa lako.

Ulidhamiria kumdhalilisha au kumkejeli mtu mmoja lakini umetumia mtu mwingine yaani asiyehusika(Bibi KIdude) Matokeo yake umewadhalilisha wote wawili au kuwakejeli wote wawili. Yaani Hasimu wako na Marehemu Bibi Kidude.

Ushauri wangu;
Siku nyingine ukiamua kumtukana au kumtupia mtu kijiwe/kijembe basi tumia nomino au kitu kisicho na majina ya watu waliopo nchi hii. Kwa kufanya hivyo hutaleta mgogoro kama ulivyofanya wakati huu.

Mwisho: ACHA DHARAU KWA WATU WAZIMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
Kama ungekuwa na akili na kuacha ushabiki basi ungeelewa kuwa Gwajima hakutumia jina la Bibi kidude kama kumzarau bali alimpa hlo jina kwa lengo la kumpaisha Gwajima licha ya halima mdew kumuita mrembo lakin yeye alitumia jina nzuri na la heshima kubwa kwa nchi yetu hapa mim sion kama Gwajima anamakosa yoyote yale wala kumzarau mtu yoyote wewe unayeongea hvi n wivu wako tu na chuki binafs zinazokusumbua Gwajima n mtu wa watu na mpenda maendeleo hajawah mzarau mtu yoyote yule
 
GWAJIMA AZIDI KUHARIBU, DHARAU KWA BIBI KIDUDE NANI ATAZIVUMILIA?

Na, Robert Heriel

Mwanzo nilisema Gwajima ni Mbaguzi na mdini, sikuwahi kudhani anaudhaifu mwingine wa kudharau watu ambao hata hawahusiani na yeye kwa lolote Lile.

Nilimhusisha Gwajima na Ukabila kutokana na tuhuma zake za kutaka kuanzisha kikundi cha kikabila kutoka kabila lake chenye lengo la kumtetea Mhe. Rais ambaye anatoka Kabila lake. Nashukuru Jeshi la Polisi lilimuonya.

Pia nilimhusisha Gwajima na Udini pale alipopinga waziwazi mahakama isiyomuhusu hata kidogo, Mahakama ya Kadhi ya ndugu zetu Waislamu. Hiyo Mahakama ya Kadhi haimuhusu yeye wala sisi Wakristo, inawahusu Waislamu wenyewe na mambo yao. Sasa kilichomuwasha Gwajima ni nini atoke hadharani kupinga kitu kisichomuhusu. Hilo pia nilimuonya miaka ile.

Mwisho ni kauli yake inayohusu ndoto yake ya kugeuza misikiti kuwa Sunday school, na mashehe na maimamu kupigwa maji na kusilimishwa mbele ya msalaba. Alisema muota ndoto hafi mpaka ndoto yake itimie, kumaanisha yeye kabla hajafa atahakikisha misikiti itakuwa Sunday School. Hiyo watu wengi walimpiga, hasa mashehe, na wadau mbalimbali, mimi nami nikiwepo.

Sababu hizo ndizo zilizonifanya nishawishike kuikubalia akili yangu kuwa Gwajima hafai kupewa ubunge kwa jamii iliyostaraabika, watu wenye akili, na wenye muono wa mbali. Nilisema Gwajima anyimwe kura na wana Kawe, na mpaka sasa kundi kubwa la watu kutoka KAWE limenihakikishia kuwa halitampa kura huyo aitwaye Gwajima.

Sasa juzi juzi Gwajima katoa tena boko bila ya yeye kujielewa. Kitendo cha kumhusisha Marehemu Bibi Kidude katika siasa zake za vijembe ni dharau kubwa kwa Bibi Yetu huyo.

Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau sanaa ya muziki hapa Tanzania na Zanzibar.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wanawake wanamuziki.
Kumdharau Bibi Kidude ni kuwadharau wazee wa kike waliojenga nchi hii.
Kumdharau Bibi Kidude ni kudharau harakati za haki za wanawake zilizopiganiwa na Marehemu Bibi Kidude.

Gwajima, atamuhusisha vipi Mzee anayeweza kumzaa Baba yake, na kumzaa yeye?
Gwajima wakati unatoa kauli ya kumshambulia mpinzani wako(bila shaka Halima Mdee) Ulikusudia kuwaambia nini wanaokusikiliza?

Hivi Gwajima unamchukuliaje Marehemu Bibi Kidude?

Fatuma Binti Baraka ndiye huyo Bidi Kidude anayoheshima kubwa sana katika nchi yetu kuliko hata wewe unavyodhani. Ni mwanamke aliyeweza kukomboa fikra za wanawake wengi, akaondoa dhana potofu mbalimbali ikiwa ni pamoja na ndoa za utotoni ambapo akiwa na miaka 13 alitoroka kwao kwa kuepa kuolewa akiwa na umri mdogo. Bibi Kidude pia aliweza kufungua njia kwa wanawake wengi ambao walitamani kuwa wanamuziki, ukizingatia kwa zama za zamani mwanamke kujiingiza kwenye masuala ya muziki ilikuwa ni nongwa.

Bibi Kidude pia ni moja ya wanamuziki walioupaisha muziki wa Taarabu kimataifa kwa nyimbo zake za mikogo ya kipekee. Bibi Kidude pia mwalimu, kungwi wa unyago kwa mabinti wa zama zile ambao aliwafunda na mpaka anakufa hakuna ndoa iliyovunjika ambayo yeye alimfunda mwali.

Bibi Kidude anatuzo nyingi za kimataifa, siajabu wewe huna hata tuzo moja lakini unamshushia heshima Bibi yetu kwa mambo yenu ya siasa.

Bibi Kidude kaitangaza sana Zanzibar na Tanzania bara kimataifa, watalii wengi walikuja na kuburudika kwa nyimbo zake. Alafu wewe unaleta dharau za Rejareja.

Bibi Kidude anafahamika na vyombo vya habari vya ndani na kimataifa. Pengine wewe sio msikilizaji wa Redio, ungekuwa msikilizaji wa Redio huenda ungemsikia Bibi Kidude kwenye Idhaa ya Kiswahili ya DW, wimbo wake wa Mhogo wa jang'ombe. Wewe Unaleta dharau zako.

Bibi Kidude ni ICON ya kimataifa wakati wewe ni Icon ya kanda ya mashariki hapa nchini.

Bibi Kidude alitunza na kuhamasisha utamaduni wa kiafrika kwa kutumia muziki wa Taarabu, Unyago, kuuza hina, kucheza ngoma na kuzipiga, wewe unahamasisha utamaduni wa kigeni kupitia dini yako hiyo.

Dharau zako zinakunyima mambo mazuri, Gwajima unamambo yako mazuri mengi lakini kinachokuharibia ni Udini, ukabila, na dharau.

Hayo mambo matatu yatakusumbua sana wewe mwenyewe.

Lakini yanaweza kuja kutusumbua sisi watu wengine endapo utapata nafasi za juu katika maamuzi na mamlaka.

Je Kawe watakuchagua ili uwadharau?
Je Kawe watakuchagua ili ulete mambo yako ya ajabu?

Pengine hujui siasa vyema, au unajua lakini hujui namna ya kuzungumza.
Mwenzako alikuita mrembo, yaani alikushambulia wewe binafsi kwa kutumia nomino ya jumla kwa kutaja neno "Mrembo" Wewe umetumia Nomino ya Kipekee kwa kutaja jina la Bibi Kidude. Hilo ndilo kosa lako.

Ulidhamiria kumdhalilisha au kumkejeli mtu mmoja lakini umetumia mtu mwingine yaani asiyehusika(Bibi KIdude) Matokeo yake umewadhalilisha wote wawili au kuwakejeli wote wawili. Yaani Hasimu wako na Marehemu Bibi Kidude.

Ushauri wangu;
Siku nyingine ukiamua kumtukana au kumtupia mtu kijiwe/kijembe basi tumia nomino au kitu kisicho na majina ya watu waliopo nchi hii. Kwa kufanya hivyo hutaleta mgogoro kama ulivyofanya wakati huu.

Mwisho: ACHA DHARAU KWA WATU WAZIMA

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
0693322300
ROBERT HERIEL Nakusalimu habari za siku mbili tatu ndugu yangu?
Nimeshangaa na nimesikitishwa na bandiko lako hili ambalo najua umeandika kwa jaziba kubwa.
Mosi nataka nikumbushe unakumbuka siku ya jumatatu Mimi na wewe tulipo kutana Bahari beach kuomba msaada kutoka kwa Askofu Gwajima wa kifedha ili tuendelee kumpigia kampeni lakini akasema kuwa kwa Sasa hana pesa hiyo hadi hapo badae na ulitoka ekasilika Sana
Ndio maana naona umekuja kupiga kelele na kulalama na uongo wako humu JF ndugu yangu acha kujishushia hadhi yako nakustahi kwa Sasa ningeweka na picha yako hapa
 
Back
Top Bottom