Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Tena promo ya nguvu!!Gwajima kapigiwa promo ya nguvu na JPM mwenyewe.
Asipo perform Kawe hata JPM lawama hazita msamehe.
Lakini tunamfahamu JPM atatenda.
Sisi Kawe ni tunatoa miaka kumi kumi, hivyo ni mpaka 2030.Uchaguzi umekwisha.
Kwa jimbo la Kawe, Gwajima ndio kidedea kwa miaka mitano ijayo. Sasa Askofu Gwajima kaa chonjo, waingereza husema, you should hit the ground running.
Miaka mitano ni mifupi sana, lakini kama Mtoni Kijichi iliwezekana Kawe tutashindwa nini?
Wewe jamaa kama kuna mtu nachukia sana humu kama mnyama ni wewe.Umejaa sana unafki na njaa njaa. Huna msimamo hata kwenye ukweli unahangaika tuSisi Kawe ni tunatoa miaka kumi kumi, hivyo ni mpaka 2030.
P
Chuki ni dhambi.zaidi ya yote chuki,hasira na kinyongo huzaa Kansa na presha.Wewe jamaa kama kuna mtu nachukia sana humu kama mnyama ni wewe.Umejaa sana unafki na njaa njaa. Huna msimamo hata kwenye ukweli unahangaika tu
Mkuu Gwaji Boy asipoonyesha cheche za maendeleo kama Magufuli, miaka mitano itamtosha, tutachagua mwingine.Sisi Kawe ni tunatoa miaka kumi kumi, hivyo ni mpaka 2030.
P
Asante mkuu.Chuki ni dhambi.zaidi ya yote chuki,hasira na kinyongo huzaa Kansa na presha.
Uwe na siku nzuri
Why doubt him, mtu amefanya makubwa while he was nobody, sasa akiwa somebody?, Kawe itapaa!.Mkuu Gwaji Boy asipoonyesha cheche za maendeleo kama Magufuli, miaka mitano itamtosha, tutachagua mwingine.
Mkuu sisi tunampa angalizo tu, kuwa Kwe tunataka nini.Why doubt him, mtu amefanya makubwa while he was nobody, sasa akiwa somebody?, Kawe itapaa!.
P
Kwani amefanya nini mpaka sasa, tusaidie tusiojua plz.Why doubt him, mtu amefanya makubwa while he was nobody, sasa akiwa somebody?, Kawe itapaa!.
P
Mkuu, mchukie kidogo kidogo usije ukajilete pressure na depression mpaka ukajitundika bure!Wewe jamaa kama kuna mtu nachukia sana humu kama mnyama ni wewe.Umejaa sana unafki na njaa njaa. Huna msimamo hata kwenye ukweli unahangaika tu