Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
Uchaguzi umekwisha.
Kwa jimbo la Kawe, Gwajima ndio kidedea kwa miaka mitano ijayo. Sasa Askofu Gwajima kaa chonjo, waingereza husema, you should hit the ground running.
Yule dada Halima katuweka solemba kwa miaka kumi. Kero hasa za barabara, zile alizozitamka hata Rais Magufuli, tunaomba zishughulikiwe toka sasa.
Barabara za Ndumbwi hadi Baraza la Mitihani, NSSF road, Kilongawima road, Salasala hadi Maranda, Tegeta hadi makaburi ya Kondo na hata barabara za Mbweni na Makongo.
Hilo ndo deni la ubunge.
Gwajima nenda Lobby, piga makelele, piga ua, barabara hizi lazima zijengwe.
Miaka mitano ni mifupi sana, lakini kama Mtoni Kijichi iliwezekana Kawe tutashindwa nini?
Kwa jimbo la Kawe, Gwajima ndio kidedea kwa miaka mitano ijayo. Sasa Askofu Gwajima kaa chonjo, waingereza husema, you should hit the ground running.
Yule dada Halima katuweka solemba kwa miaka kumi. Kero hasa za barabara, zile alizozitamka hata Rais Magufuli, tunaomba zishughulikiwe toka sasa.
Barabara za Ndumbwi hadi Baraza la Mitihani, NSSF road, Kilongawima road, Salasala hadi Maranda, Tegeta hadi makaburi ya Kondo na hata barabara za Mbweni na Makongo.
Hilo ndo deni la ubunge.
Gwajima nenda Lobby, piga makelele, piga ua, barabara hizi lazima zijengwe.
Miaka mitano ni mifupi sana, lakini kama Mtoni Kijichi iliwezekana Kawe tutashindwa nini?