Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
kura don't matter, yule mwenye uwezo wa kuamrisha NEC imtangaze nani ndiye mwamuzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna uwezo wa kuchagua kiongozi yeyote wewe. Usijipe nguvu hiyoMkuu Gwaji Boy asipoonyesha cheche za maendeleo kama Magufuli, miaka mitano itamtosha, tutachagua mwingine.
Hakuna uchaguzi tena Hadi 2040.Mpe 20Uchaguzi umekwisha.
Kwa jimbo la Kawe, Gwajima ndio kidedea kwa miaka mitano ijayo. Sasa Askofu Gwajima kaa chonjo, waingereza husema, you should hit the ground running.
Yule dada Halima katuweka solemba kwa miaka kumi.
Kero hasa za barabara, zile alizozitamka hata Rais Magufuli, tunaomba zishughulikiwe toka sasa.
Barabara za Ndumbwi hadi Baraza la Mitihani, NSSF road, Kilongawima road, Salasala hadi Maranda, Tegeta hadi makaburi ya Kondo na hata barabara za Mbweni na Makongo.
Hilo ndo deni la ubunge.
Gwajima nenda Lobby, piga makelele, piga ua, barabara hizi lazima zijengwe.
Miaka mitano ni mifupi sana, lakini kama Mtoni Kijichi iliwezekana Kawe tutashindwa nini?
Na kama hana mpango wa kukaa zaidi ya miaka mitano?Uchaguzi umekwisha.
Kwa jimbo la Kawe, Gwajima ndio kidedea kwa miaka mitano ijayo. Sasa Askofu Gwajima kaa chonjo, waingereza husema, you should hit the ground running.
Yule dada Halima katuweka solemba kwa miaka kumi.
Kero hasa za barabara, zile alizozitamka hata Rais Magufuli, tunaomba zishughulikiwe toka sasa.
Barabara za Ndumbwi hadi Baraza la Mitihani, NSSF road, Kilongawima road, Salasala hadi Maranda, Tegeta hadi makaburi ya Kondo na hata barabara za Mbweni na Makongo.
Hilo ndo deni la ubunge.
Gwajima nenda Lobby, piga makelele, piga ua, barabara hizi lazima zijengwe.
Miaka mitano ni mifupi sana, lakini kama Mtoni Kijichi iliwezekana Kawe tutashindwa nini?
Mbunge Gwaji boy akijifungia na hatuoni maendeleo, cha Halima kitakuwa cha mtoto!Huna uwezo wa kuchagua kiongozi yeyote wewe. Usijipe nguvu hiyo
1. Chuo cha uvuvi.Wananchi hususa ni wa jimbo la Kawe wana matarajio makubwa sana kwako @ Gwajima !
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi ktk kushirikiana na serikali kuondoa kero, migogoro , changamoto na matatizo hatimae kuleta maendeleo jimboni!
Pia hapo badae baada ya kila kikao cha bunge la bajeti unaweza kuweka tegular roaster ya kutembela wananchi kuchukua kero zao, matatizo, changamoto, migogoro n.k
Kuwapa mrejesho ukishirikiana na serikali, DC Halmashauri n.k
Ijapokuwa utaweza kupata taarifa kupitia serikali za mitaa na Kata lakini pia wananchi usije ukawatelekeza mazima hadi wakati wa.campaign ya uchaguzi Mkuu ujao!
Walau mara moja kwa kila Mwaka waweza watembelea ukawapa mrejesho au kuwasikiliza wao walinayo!
Ni hayo machache.
Umeachiwa deni la kuwajibika wananchi wapo tayari kuwaunga mkono ktk juhudi zenu!
Gwajima nina uhakika atatekeleza yale aliyoahidi kuyafanya.Wananchi hususa ni wa jimbo la Kawe wana matarajio makubwa sana kwako @ Gwajima !
Mwenyezi Mungu akufanyie wepesi ktk kushirikiana na serikali kuondoa kero, migogoro , changamoto na matatizo hatimae kuleta maendeleo jimboni!
Pia hapo badae baada ya kila kikao cha bunge la bajeti unaweza kuweka tegular roaster ya kutembela wananchi kuchukua kero zao, matatizo, changamoto, migogoro n.k
Kuwapa mrejesho ukishirikiana na serikali, DC Halmashauri n.k
Ijapokuwa utaweza kupata taarifa kupitia serikali za mitaa na Kata lakini pia wananchi usije ukawatelekeza mazima hadi wakati wa.campaign ya uchaguzi Mkuu ujao!
Walau mara moja kwa kila Mwaka waweza watembelea ukawapa mrejesho au kuwasikiliza wao walinayo!
Ni hayo machache.
Umeachiwa deni la kuwajibika wananchi wapo tayari kuwaunga mkono ktk juhudi zenu!
Hiyo barabara ya Ndumbwi na Baraza la mitihani hapo mbezi juu huyo b.wege hawezi kufanya kitu huko. akizitengeneza nahama JFUchaguzi umekwisha.
Kwa jimbo la Kawe, Gwajima ndio kidedea kwa miaka mitano ijayo. Sasa Askofu Gwajima kaa chonjo, waingereza husema, you should hit the ground running.
Yule dada Halima katuweka solemba kwa miaka kumi.
Kero hasa za barabara, zile alizozitamka hata Rais Magufuli, tunaomba zishughulikiwe toka sasa.
Barabara za Ndumbwi hadi Baraza la Mitihani, NSSF road, Kilongawima road, Salasala hadi Maranda, Tegeta hadi makaburi ya Kondo na hata barabara za Mbweni na Makongo.
Hilo ndo deni la ubunge.
Gwajima nenda Lobby, piga makelele, piga ua, barabara hizi lazima zijengwe.
Miaka mitano ni mifupi sana, lakini kama Mtoni Kijichi iliwezekana Kawe tutashindwa nini?
Mbona unamhukumu bure mtoa mada? Yeye aliingia katika kinyang'anyio akashindwa. Amekubali maamuzi ya Chama chake na anampongeza aliyemshinda. Kuna unafiki gani hapo? Kama ni unafiki angekuwa anapiga kelele tangu siku Chama chake kilipomtoa nje katika kinyang'anyio na leo asingekuwa anampongeza aliyemshinda. Kwenye mashindano kuna kushinda na kushindwa. Mstaarabu anakubali matokeo hata kama hayakuwa alivyotarajia. Huo ndio uungwana. Paskali hajaonyesha unafiki wo wote hapo. Hongera kwako Paskali. Leo umeshindwa. Kesho huenda kukawa na matokeo tofauti.Wewe jamaa kama kuna mtu nachukia sana humu kama mnyama ni wewe.Umejaa sana unafki na njaa njaa. Huna msimamo hata kwenye ukweli unahangaika tu
Tanzania na afrika iko hapa ilipo kwa sababu ya kuwa na ''watu hasara'' kama wewe! Kama mtu mwenye uwezo wa kutumia electronic device kama wewe anaamini kuwa kazi ya mbunge ni kupiga kelele ili barabara za jimbo lake zijengwe basi uwezo wa wananchi wasiyo na elimu utakuwa uko chini sana. BTW na ikitokea wabunge wote walio bungeni wanajua k ku-lobby na kupiga kelele... ni nini kitatokea? Hapo wala sijazungumzia upande wa huyu tapeli wa ''kufufua watu'', kuogofya watu kwa kuwatisha na mambo ya uchawi ili apate fedha bila kusahau mla kondoo wake...... unayemtuma!Uchaguzi umekwisha.
Kwa jimbo la Kawe, Gwajima ndio kidedea kwa miaka mitano ijayo. Sasa Askofu Gwajima kaa chonjo, waingereza husema, you should hit the ground running.
Yule dada Halima katuweka solemba kwa miaka kumi.
Kero hasa za barabara, zile alizozitamka hata Rais Magufuli, tunaomba zishughulikiwe toka sasa.
Barabara za Ndumbwi hadi Baraza la Mitihani, NSSF road, Kilongawima road, Salasala hadi Maranda, Tegeta hadi makaburi ya Kondo na hata barabara za Mbweni na Makongo.
Hilo ndo deni la ubunge.
Gwajima nenda Lobby, piga makelele, piga ua, barabara hizi lazima zijengwe.
Miaka mitano ni mifupi sana, lakini kama Mtoni Kijichi iliwezekana Kawe tutashindwa nini?
Mkuu weka akiba ya maneno yako hado 2025.Tanzania na afrika iko hapa ilipo kwa sababu ya kuwa na ''watu hasara'' kama wewe! Kama mtu mwenye uwezo wa kutumia electronic device kama wewe anaamini kuwa kazi ya mbunge ni kupiga kelele ili barabara za jimbo lake zijengwe basi uwezo wa wananchi wasiyo na elimu utakuwa uko chini sana. BTW na ikitokea wabunge wote walio bungeni wanajua k ku-lobby na kupiga kelele... ni nini kitatokea? Hapo wala sijazungumzia upande wa huyu tapeli wa ''kufufua watu'', kuogofya watu kwa kuwatisha na mambo ya uchawi ili apate fedha bila kusahau mla kondoo wake...... unayemtuma!
Mkuu tafuta kabisa uwanja wa kuhamia, mi nitalipia bando!Hiyo barabara ya Ndumbwi na Baraza la mitihani hapo mbezi juu huyo b.wege hawezi kufanya kitu huko. akizitengeneza nahama JF
Bangosha huyo Pascal!Mkuu Gwaji Boy asipoonyesha cheche za maendeleo kama Magufuli, miaka mitano itamtosha, tutachagua mwingine.