Umemaliza kwenye hili mkuu. Ninaanza kuhisi huenda Gwajima anajua mengi sana kuhusu DAB kwani nguvu inayotumika kwake ni kubwa mno why? Halafu DAB anaendelea kuthibitisha kwamba yeye ni dumb kabisa kwa kitendo chake cha kuwa so quick kucomment kwenye hizo zlips na kuanza kutumia vyombo vya serikali akiwemo Mambosasa kwa ajili ya mambo yake binafsi kabisa. Bila aibu wanadai kuna unyama umefanyika, upi huo na nani aliyelalamika? Mdude katekwa hata file halijafunguliwa mpk sasa nadhani lakini hizi clips fake tyr mtu keshaitwa na kuhojiwa. Wanaomshauri DAB wamshauri vzr na awe anakumbushwa kwamba yapo maisha pia baada ya 2025.