Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe utakuwa mwana CCM uliye katwa mkia bila shakaMimi ni mwana-CCM lakini sitaki Gwajima awe mgombea wetu hata kwa dawa.
Kwanza ana chuki za wazi dhidi ya makundi mengine ya watu, mfano; hawapendi waislam hata kuwaona (Mdini) na alishaanza kutoa vipeperushi tena kwa lugha ya kisukuma (Mkabila)
Lakini pia huyu bwana atakuwa anakinajisi chama kwani tayari ameshachafuka na ushahidi wa wazi upo.
Kwahiyo kwa maslahi mapana ya nchi na chama huyu bwana ni bora zaidi akiwekwa pembeni maana yeye mwenyewe kashindwa kujitambua na kujiweka pembeni kwa hiyari yake.
Mbona na wewe unanyanduliwa kila siku na usiku waleo waja wamekula kipochi manyoa chako but hatusemi usihukumu kwenye Jambo unalofanya kila sikuGwajima anatudhihirishia kuwa ni multitalented anayo uwezo wa kucheza filamu za ngono na kukana video zake.
Wewe utakuwa mwana CCM uliye katwa mkia bila shaka
CLAP 4 UMimi ni mwana-CCM lakini sitaki Gwajima awe mgombea wetu hata kwa dawa.
Kwanza ana chuki za wazi dhidi ya makundi mengine ya watu, mfano; hawapendi waislam hata kuwaona (Mdini) na alishaanza kutoa vipeperushi tena kwa lugha ya kisukuma (Mkabila)
Lakini pia huyu bwana atakuwa anakinajisi chama kwani tayari ameshachafuka na ushahidi wa wazi upo.
Kwahiyo kwa maslahi mapana ya nchi na chama huyu bwana ni bora zaidi akiwekwa pembeni maana yeye mwenyewe kashindwa kujitambua na kujiweka pembeni kwa hiyari yake.
Sikutegemea ndugu John, utakuwa mpumbavu kiasi hiki. Wamuogope kwa lipi analoweza kuwafanya.Waislamu wanamuogopa!
Atabadilisha madrasa kuwa Sunday schools!Sikutegemea ndugu John, utakuwa mpumbavu kiasi hiki. Wamuogope kwa lipi analoweza kuwafanya.
Huyu ni tishio kwa makanisa yote makongwe, huyu si ndiye aliyemdhalilisha Cardinal Pengo, Huyu si ndie aliyekuwa mshenga wa Lowassa kuingia chadema, na kusema Wakatoliki hawana hati miliki ya uraisi kwa niaba ya wakristo.
John huyu hana shida kwa waislamu, bali ana shida kwenu
Unakumbuka mlimfunga Lemma mienzi minne kwa kusema ndoto yake? Gwajima kajiwekea uadui mwenyewe na Waisalam.Na itageuka kweli kwahiyo leo hii mnaogopa ndoto?
Hujui ulisemalo ila hata tulio wakristo tuliowahi yasikiliza mahubiri yake tunaelewaUdini upi wewe ndiye mdini
Hujui anavyo wasimanga baada ya kutoa vitu hivyo. Nimeishi kawe mzimuni lilipo kua kanisa lake naelewa ninacho ongea.Hivi umesahau kuwa Gwajima amewachimbia waislam maji misikitini au unajitoa ufahamu?
wakristo watampigia kuraUnakumbuka mlimfunga Lemma mienzi minne kwa kusema ndoto yake? Gwajima kajiwekea uadui mwenyewe na Waisalam.
Sasa hofu yenu ni nini maana yeye ametangaza nia tu tena ndani ya chama lakini naona mnatoa Sana povu
Kama anakuja kufungua kanisa sawa, huo unaotoa wewe ni mtazamo wa kidini,na Kwa mtazamo huo hata CCM yenyewe haiwezi kumpitisha kwani mwanasiasa yoyote mtaji wake ni watu, kama yuko radhi kujenga uadui na nusu ya wapiga kura basi ameshashindwa tayari kwani hata hao Wakristo siyo wote watampigia.Hata waislamu wasipo piga kura,
wakristo watampigia kura