Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No body is perfectNdio maana maarifa watz hayapanuki tunapenda kujifunza kwa wajinga...Huyu gwaji ana double standards kazi kurusha vijembe tuuuu ...huyu ilibidi apimwe mkojo
Duh!!!Mambo mengine tunayaishi kila siku wala hayahitaji utuonyeshe kwamba gwajiboy ana akili ya ziada sanasana unajilundikia ujinga wake mwisho utakuwa unategemea kwenye kufikiri kwako na sadaka utampelekea bila sababu yeyote.
Haya ni mambo tunayoyaishi kila siku, Sasa unategemea Mungu ainue watu kupitia ng'ombe????
Just jiongeze hakuna jipya Wala la ajabu kwa alichoongea sanasana labda umekuja kumpa promo huyo mzinzi wako na mtoa rushwa mkubwa.