Uchaguzi 2020 Gwajima na upofu wa walokole. Siasa zimemvua nguo

Uchaguzi 2020 Gwajima na upofu wa walokole. Siasa zimemvua nguo

Rufiji dam

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2020
Posts
4,107
Reaction score
9,671
Hakuna kikundi cha ajabu kama hawa wenzetu waliookoka na kuwa ni watu karibu na Mungu. Ni vigumu sana kuwatenganisha na mchungaji wao. Tumeona na kusikia mengi sana.

CCM nawapongeza sana hasa kamati kuu kwa kumpa nafasi Gwajima kugombea ubunge jimbo la Kawe. Naona aibu anaivuna sasa hivi, naona uhalisia wa elimu yake unajipambazua hivi sasa. Wafuasi wake ama kondoo wake huenda wakashituka juu ya Mchungaji wao.

Gwajima anajizika Gwajima anajifedhehesha. Gwajima hana jipya huyu ni debe tupu. Naomba nikiri kabisa nitapigia kura CHADEMA kwa ubunge jimbo la Kawe, siwezi kuwa mjinga kumpa kura yangu Gwajima[emoji57] huyu ni mtu muongo sana na Mungu kamuweka hadharani jinsi gani anadanganya watu. Wanakawe acha twende na Bi. Kidude aka SAUTI YA ZEGE.
 
Gwajina ni jinga moja ambalo linashindwa kutenganisha kati ya wafuasi wa kanisa lake(NYUMBU) na wafuasi wa siasa yake(AMBAO NI JAMII KUTOKA MAHALA NA ITIKADI TOFAUTI) ndo maana anakuja na sera za kijinga eti watu wa KAWE wataenda kuishi MAREKANI (pepo ya dunia) na wa Marekani watakuja eti Kawe (sehemu yenye joto la tropical, vibaka, na shida za dunia kibao kisa tu eti ana u shosti na sijui kiongozi gani wa jimbo gani sijui huko MAREKANI.

Viongozi wa haya madhehebu ya wapakwa mafuta,mitume,maaskofu wa kujitawaza kuwa maaskofu huwa wanalewa hela(sadaka) za walala hoi ambao wanawaamini kuliko hata Mungu mwenyewe.
 
Wachungaji wa Branches za kanisa la ufufuo na uzima nchini wako vizuri Sana Ila huyu Kiongozi wao ni mpuuzi haswa huko pornhub ni most searched kwa ile miuno ako ameifanya na manzi
 
Gwajima amebadilika kuwa kibonzo!Anadai wanakawe wataenda kuishi Marekani,eti nitaleta ambulance kila kata sijui.Yaani anadanganya waziwazi yaani![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Chonde chonde watu wa Kawe! Msimchague Gwajima. Huyu jamaa ni mharibifu wa kiwango cha kimataifa. Ana skendo nyingi sana dhidi ya kondoo wake.

Ukiona amefikia mpaka hatua ya kujirekodi aki jigijigi, hakika atatuharibia wabunge wetu wa viti maalum.
 
Ahadi ya kumfufua Amina Chifupa ilitimia lini wajumbe ?
 
hivi harmonize anaweza kuperform wimbo wa "UNO" kwenye kampeni za gwajima pale kawe? [emoji16][emoji16][emoji16]

pale kwenye ... " uno la wima Wima, linatokea congo, sindo lile........ alimmwagia kondoo UNOOONOONOOO .." [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nilishakata tamaa ya kupiga kura lkn nimepata mzuka wa kupigia kura yangu kawe.
Naomba utaratibu wa kubadili kituo cha kupiga kura niwape sapoti wana kawe
 
Kuna mdau meona anasema Gwajima kapotea, kapotea, apotee Mara ngapi, afu wengine wanadhani eti kawatupa kondoo, kondoo, kondoo gani, anawachunga ili waende wapi? Mbinguni, mbinguu hii hii inayohubiriwa na Yesu Kristo, au? Huyu ni msakatonge. Hana hekima.

Hana hekima huyu, kuna kipindi, kwa mitazamo mbalimbali, Askofu Pengo alionekana amekosea jambo, Gwajima, askofu huyu, aliinuka na kumuonya Pengo, ndipo Nilipothibitisha kuwa hofu yangu juu ya uaskofu wake kuwa sahihi, Hamna mtumishi wa Mungu anayekosa hekima vile, yani aliongea kihuni na kitoto. Hata alupokuwa akimshambulia Slaa pia, hoja sake always ni za kipumbavu. Ingawa kimhemko tulimpa tano, kama ulimpa tano kwa hoja zake tambua kwamba huna uwezo wa kumtambua mpumbavu, na ulifanya ujinga kumsapoti, lay ulifanya kwa mhemko. Ccm nao hopeless, wanampa jumbo apambane na jembe.
 
Mkuu..kina gwajima ni sawa na kina manyaunyau..na matapel wale wa stand za mabasi..ni wajanja wa mjin .wanakuaga na vipaj maalum vya ushawish.watu wa aina hii hufanikiwa sana maishani.usitegemee hata sku1 gwaj boy akashuka..ataibuka kivingne tu na kondoo wataendelea mfata..ni utapel wa 3rd world countries
 
Si angemfufua kwanza mzazi wake mmoja! utapeli wa namna hii ni aibu kubwa na fedheha ktk ulimwengu wa leo.
Hiv ni kabisa mnahis gwajima hajui anachofanya...utapel ndo kaz yake so ni jukumu lako wew kumkubal ama kumkataa..watu wa aina hii huwaga na IQ nzur sana
 
2519641_IMG-20200914-WA0165.jpg
 
Gwajiboy is spiritual entrepreneur,Spiritually dwarf and doomed to fall if not repent of his misleading peaceful assembly of God,
 
Gwajima amebadilika kuwa kibonzo!Anadai wanakawe wataenda kuishi Marekani,eti nitaleta ambulance kila kata sijui.Yaani anadanganya waziwazi yaani![emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ambulance si issue wako wengine wakipenda wanaweza kununua. Hata Mdee akitumia kiinua mgongo atanunua.

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom