Uchaguzi 2020 Gwajima na upofu wa walokole. Siasa zimemvua nguo

Uchaguzi 2020 Gwajima na upofu wa walokole. Siasa zimemvua nguo

Kuna mdau meona anasema Gwajima kapotea, kapotea, apotee Mara ngapi, afu wengine wanadhani eti kawatupa kondoo, kondoo, kondoo gani, anawachunga ili waende wapi? Mbinguni, mbinguu hii hii inayohubiriwa na Yesu Kristo, au? Huyu ni msakatonge. Hana hekima.

Hana hekima huyu, kuna kipindi, kwa mitazamo mbalimbali, Askofu Pengo alionekana amekosea jambo, Gwajima, askofu huyu, aliinuka na kumuonya Pengo, ndipo Nilipothibitisha kuwa hofu yangu juu ya uaskofu wake kuwa sahihi, Hamna mtumishi wa Mungu anayekosa hekima vile, yani aliongea kihuni na kitoto. Hata alupokuwa akimshambulia Slaa pia, hoja sake always ni za kipumbavu. Ingawa kimhemko tulimpa tano, kama ulimpa tano kwa hoja zake tambua kwamba huna uwezo wa kumtambua mpumbavu, na ulifanya ujinga kumsapoti, lay ulifanya kwa mhemko. Ccm nao hopeless, wanampa jumbo apambane na jembe.
Hata alivomshambulia Makonda kanisani ni aibu kwa askofu

Sent from my Nokia 6.1 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna kikundi cha ajabu kama hawa wenzetu waliookoka na kuwa ni watu karibu na Mungu. Ni vigumu sana kuwatenganisha na mchungaji wao. Tumeona na kusikia mengi sana.

CCM nawapongeza sana hasa kamati kuu kwa kumpa nafasi Gwajima kugombea ubunge jimbo la Kawe. Naona aibu anaivuna sasa hivi, naona uhalisia wa elimu yake unajipambazua hivi sasa. Wafuasi wake ama kondoo wake huenda wakashituka juu ya Mchungaji wao.

Gwajima anajizika Gwajima anajifedhehesha. Gwajima hana jipya huyu ni debe tupu. Naomba nikiri kabisa nitapigia kura CHADEMA kwa ubunge jimbo la Kawe, siwezi kuwa mjinga kumpa kura yangu Gwajima[emoji57] huyu ni mtu muongo sana na Mungu kamuweka hadharani jinsi gani anadanganya watu. Wanakawe acha twende na Bi. Kidude aka SAUTI YA ZEGE.
Huyu Bishop. Gwajima hamtamuweza. Ni chombo cha Bwana kwa wakati huu.Mbuge wa Kawe mtarajiwa. Sauti ya zege out.
 
Back
Top Bottom