Uchaguzi 2020 Gwajima ni Mgombea anayezungumziwa sana. Je, ni kwanini?

Uchaguzi 2020 Gwajima ni Mgombea anayezungumziwa sana. Je, ni kwanini?

Kilichotokea si cha kushangilia bali kulia na kusaga meno. Wapo waliotegemewa wakashindwa na waliokuwa hawategemewi "wakashinda" kama akina Gwajima. Natabiri machafuko nchini. Kwa taifa linalotaka kusonga mbele, hutanguliza haki. Unapoona matapeli na wachumia matumbo kama Gwajima "wakishinda"jua kuna tatizo. Ni bahati mbaya kuwa busara na hekima vimetukimbia. Tushangilie maangamizo na vilio vyetu baadaye. Ama kweli wazungu walituweza walipotuletea udikteta uitwao demokrasia. Ni mawazo tu. Nikita Khrushchev imla wa Urusi aliwahi kusema kuwa kilicho muhimu si kura bali azihesabuye. Hili limejidhihiri shahidi Tanzania. Laiti Mkapa na Nyerere wangekuwa hai, huenda wangetusaidia kuiona hekima iliyotukimbia mchana kweupe. Nawalilia wahanga wa Zanzibar.
 
Kilichotokea si cha kushangilia bali kulia na kusaga meno. Wapo waliotegemewa wakashindwa na waliokuwa hawategemewi "wakashinda" kama akina Gwajima. Natabiri machafuko nchini. Kwa taifa linalotaka kusonga mbele, hutanguliza haki. Unapoona matapeli na wachumia matumbo kama Gwajima "wakishinda"jua kuna tatizo. Ni bahati mbaya kuwa busara na hekima vimetukimbia. Tushangilie maangamizo na vilio vyetu baadaye. Ama kweli wazungu walituweza walipotuletea udikteta uitwao demokrasia. Ni mawazo tu. Nikita Khrushchev imla wa Urusi aliwahi kusema kuwa kilicho muhimu si kura bali azihesabuye. Hili limejidhihiri shahidi Tanzania. Laiti Mkapa na Nyerere wangekuwa hai, huenda wangetusaidia kuiona hekima iliyotukimbia mchana kweupe. Nawalilia wahanga wa Zanzibar.
Utabiri wako fake. Hivi kulikuwa na wachumia matumbo zaidi ya hawa chama cha Mbowe kweli?. Mtu kama sauti ya zege amekaa 10yrs hapo Kawe kafanya nini wakati mwingine tuachage kutetea utopolo.
 
Kwa sasa ninachomaanisha huwezi kukiona wala kukielewa kirahisi hivyo. Wakati ukifika, utakumbuka utabiri huu mwanangu. Ni wachache wanaweza kuona na kuelewa nisemayo mwanangu. Hujui kuwa utu uzima dawa?
 
Back
Top Bottom