Jumbe Brown
JF-Expert Member
- Jun 23, 2020
- 12,077
- 12,786
Si waanzishe vyama vyao?Askofu Gwajima ana watu
Polepole ana watu.
Jerry Slaa ana Hoja.
Unaelewa maana ya rushwa wewe?Hapo wa maana ni Slaa,
hao wengine ni wapuuzi especially Askofu kibwetere ambaye aliulizwa ushahidi wa nani kapewa rushwa apigie chapuo Chanjo akabaki anatoa macho kama kaona sadaka zimepungua kwenye godown lake.
Hawana hoja za msingiUnapopinga hoja za KISAYANSI basi uwe umefanya TAFITI za KISAYANSI.....
Kinyume chake ,hawa wapingao chanjo wanakuja na yafuatayo:-
1)Hoja za kiimani
2)Hoja za kujishuku kupitia "conspiracy theories"
3)Hoja za ndoto na ramli chonganishi
4)"Mbango" tu za kuwapinga "wasiowapenda ,wasiowaheshimu na kutotaka kuwatii"
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#SiempreCCM
Halima ametulia tuliUnaelewa maana ya rushwa wewe?
Wako wapi akina Halima James Mdee?
Wote watavuliwa uanachama CCM,pigia msitali utakuja nikumbuka.Askofu Gwajima ana watu
Polepole ana watu.
Jerry Slaa ana Hoja.
Tutawaleta hapo Ufipa!Si waanzishe vyama vyao?
Demokrasia ina gharama zake!Halima ametulia tuli
🤣🤣Hawana hoja za msingi
Kufanya nini?Tutawaleta hapo Ufipa!
Hatari sn🤣🤣
Wazitolee wapi....
Gwajima aende na clip ya jana Kawe akiwa na Samia, awaambie wananchi wake ndiyo wamemtuma........Askofu Gwajima ana watu
Polepole ana watu.
Jerry Slaa ana Hoja.
Acha unafiki we mwanaCcmAskofu Gwajima ana watu
Polepole ana watu.
Jerry Slaa ana Hoja.
Anaishi kwa huruma ya NdugaiDemokrasia ina gharama zake!
Kama JPM ni kimungu chako mfuate shimoni kule Chato.Kama JPM alisema chanjo hazifai leo anatokea mtu au watu wanasema zinafaa huko si ni kumpinga JPM? Au siyo?
Hao wana yao tu....🤣Hatari sn
SureHao wana yao tu....🤣
Wewe jamaa una AKILI Sana Kama Mimi, umewaza nilichowaza.Hapo wa maana ni Slaa,
hao wengine ni wapuuzi especially Askofu kibwetere ambaye aliulizwa ushahidi wa nani kapewa rushwa apigie chapuo Chanjo akabaki anatoa macho kama kaona sadaka zimepungua kwenye godown lake.