johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Kuongoza!Kufanya nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuongoza!Kufanya nini?
Wabaki CCMKuongoza!
Dodoma. Wabunge watatu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) akiwamo Mbunge wa Kuteuliwa, Humpherey Polepole watawekwa kikaangoni leo na Kamati ya Maadili ya Wabunge wa CCM kuhojiwa kuhusu masuala tofauti.
Wabunge wengine watakaohojiwa leo ni Askofu Josephat Gwajima (Kawe) na Jerry Silaa (Ukonga) ambao Bunge lilipitisha azimio la kuwasimamisha kwa mikutano miwili kutokana na tuhuma za kusema uongo, kushusha hadhi na heshima ya Bunge.
Vilevile, Kamati imependekeza Askofu Gwajima kufikishwa mbele ya kamati ya chama chake CCM na kuhojiwa kuhusu mwenendo wake.
Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge ilipendekeza Silaa asimamishwe mikutano miwili ya Bunge la Tanzania na avuliwe uwakilishi kwenye Bunge la Afrika (PAP) kwa madai kuwa anaweza kusema uongo akienda huko.
Kilichomponza Silaa ni kauli yake ya kutaka wabunge wakatwe kodi kwenye mapato yao, jambo lililoelezwa kuwa ni uongo, kwani wabunge wanalipa kodi.
Kwa upande wa Gwajima, atatakiwa kujieleza kuhusu kauli anazozitoa katika Kanisa lake la Ufufuo na Uzima kuanzia Julai 25 mpaka Agosti 15 kuhusu chanjo ya korona.
Chanzo Mwananchi
Sent using Jamii Forums mobile app
👍Sure
Najua Chadema mimacho kodo mnasubiri watimuliwe waje kwenu.
Mtasubiri sana!
Mimi ni sisiem, na mwenyekiti hapingwi popote, iwe hadharani au kikaoniCCM ina taratibu zake....
Ni mwiko kumpinga MWENYEKITI WETU hadharani kwa njia za kumshambulia ,kedi na kebehi.....
#SiempreCCM
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#KaziIendelee
Ana wananchi gani?Gwajima aende na clip ya jana Kawe akiwa na Samia, awaambie wananchi wake ndiyo wamemtuma........
Slaa aende na clip ya Bashe ambayo ipo kwenye hansadi za Bunge......
Pole pole aende na V8 ataeleweka
Wasemao zinafaa kwa tafiti gani?JPM alisema chanjo hazifai kwa TAFITI ZIPI credible?!!!
Ni ujinga kufikiri watu wa Gwaji ni wale wa kabisa lakeYes.
Askofu Gwajima ana watu wasiozidi hata elfu 1 - wale waumini kanisani kwake (akiwemo johnthebatist)!
Pole pole ana watu wasiozidi hata 10 (mfano Musiba, johnthebaptist, Bashiru, Bashite, Mjalalani na wengineo wa aina hii)
Jerry Slaa ana Hoja, tena ni hoja nzito na yenye mashiko!
Uteuzi unakuhusu ndugu, au tayari umeteuliwa!Unapopinga hoja za KISAYANSI basi uwe umefanya TAFITI za KISAYANSI.....
Kinyume chake ,hawa wapingao chanjo wanakuja na yafuatayo:-
1)Hoja za kiimani
2)Hoja za "kujishuku" kupitia "conspiracy theories"
3)Hoja za ndoto na ramli chonganishi
4)"Mbango" tu za kuwapinga "wasiowapenda ,wasiowaheshimu na kutotaka kuwatii"
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
#SiempreCCM
Hawatavuliwa uanachama, wanangoja uchaguzi wawanyime ubunge, ccm hatutakagi mawazo mbadala, sote tunatakiwa tuseme ndiiooo kwa viongozi wetuWote watavuliwa uanachama CCM,pigia msitali utakuja nikumbuka.
Huo mfumo hawajaueneza, Bali tumeigaUnasema chanjo zimetengenezwa na WABAYA wasiotupenda waafrika(conspiracy theories) halafu uko katika MFUMO WA BUNGE ambalo haohao ndio WALIOLIASISI na kulieneza duniani kote.....
Huku ni kukosa HOJA KUNTU
Huku ni kujiongezea UMAARUFU "KOKO"
Chambilecho mbunge mh."King" ,WACHAMBA WIMA".......
#SiempreCCM
#ChanjoNiBoraKulikoTiba
Kazi ya kula nyama ya mtu inaendelea. Hamtaishia hapo.Askofu Gwajima ana watu
Polepole ana watu.
Jerry Slaa ana Hoja.
Alikuwa kimungu chako enzi zile haukumpingaKama JPM ni kimungu chako mfuate shimoni kule Chato.
Hapa tuna Rais anayetawala nchi iitwayo Tanzania.
Atuona sisi mazezeta.Hivi Ina maana Jerry Slaa hawezi kusoma salary slip yake? Nauliza tu Jaman!