Gwajima siyo Kibwetere ni mfuasi wa Kibwetere aliyenusurika

Gwajima ashamaliza mbna mnaendelea kupambana na kivuli chake wazee, na mapokezi yake kitaa ni makubwa Sana , namshaur akae kimya msije mkamuua kama mlivyofanya Kwa jiwe! Watachanjwa tu wale ambao itawalazimu kufanya hvyo ili upate vitu fulani fulani!
Kumbe jiwe walimuua pamoja na ukatili wake wote alikutana makatili zaidi yake. Mungu mkubwa
 
Dah umeniikumbusha mbali sana....Kibwetere alikuwa genious sana sasa sijui aliowapiga kibiriti walifika mbinguni kweli au la
 
Kwakiswahiki hii formu inasemaje yoyote anayejua kibeberu anisaidie nataka kuchoma chanjo nimekwama sieliwi kibeberu kabisaView attachment 1872422
Mimi (jina lako), Umri wangu miaka....., Ninaishi kata ya......Wilaya ya.....Dini yangu.......

Nimeambiwa na wataalam wa afya juu ya Usalama, ufanisi na Madhara mabaya yanayoweza kutokea kutokana na Chanjo ya Covid-19.

Niko Tayari kupokea chanjo ya Covid-19 na pia sintohusisha/sintoiwajibisha serikali ya Tanzania endapo nitapata madhara yoyote mabaya yatakayosababishwa na chanjo hii

Sahihi ya Mteja.......
 
Allah kumbe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…