kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 18,833
- 23,276
Vipi ulimpigia kura!Wakati unaomba ubunge ulituahidi mambo mengi sana.
Tulikuamini kwa kuwa wewe ni mchungaji yaani mtumishi wa Mungu hivyo hatukujua kama wewe utakuja kutugeuka.
Ulituahidi kutuletea boti za kuvulia samaki kwenye bahari yetu ya Hindi maana ndiyo ipo karibu na makazi yetu.
Ulituahidi kutuletea treni ya abiria kutoka Marekani kwa rafiki zako ili itusaidie masuala ya usafiri lkn hadi Leo hii tunaendelea kuhenyeka na daladala tu.
Mwishowe leo hii unakuja kutukimbiza mchaka mchaka bila kutekeleza ahadi zako za mwaka 2020?
Tumekuchoka mchungaji wa kondooo,Rudi kanisani mambo ya siasa waachie wenyewe.
Yaani Mimi nijoin mbogamboga?If you can't fight them...join them
Wanapenda Kwa sababu ni Mlimani CityWakubwa hivi hapo mlimani city kuna tukio gani la muhimu hadi viongozi wa nchi wanaenda hapo??
Nilimdharau pale aliposhindwa kumfufua mjomba wakeAskofu PornHub mlidhani angekuwa mkweli....
Mchungaji kazidi usaniiSiasa ni mchezo mchafu lakini ni watu wanaichafua siasa
Wewe na amekupa mamulaka ya kutusemea vibaya wanakawe raisi wetu? Kazungumzie mabango kuleee kwenye maandamano, ya kawe tuachie wanakawe.Nani amekupa malamla ya kuwasemea wanaKawe?
Mhmh hiyo mamlaka mlivo andika sasa wote wawiliWewe na amekupa mamulaka ya kutusemea vibaya wanakawe raisi wetu? Kazungumzie mabango kuleee kwenye maandamano, ya kawe tuachie wanakawe.
Tapeli wa kisiasaMainjinia wamechelewa kumaliza matengenezo. Naomba mnipatie miaka mingine 5 ili niendelee kuwahimiza wamalize kutengeneza.
CCM ndio mkombozi wenuWakati unaomba ubunge ulituahidi mambo mengi sana.
Tulikuamini kwa kuwa wewe ni mchungaji yaani mtumishi wa Mungu hivyo hatukujua kama wewe utakuja kutugeuka.
Ulituahidi kutuletea boti za kuvulia samaki kwenye bahari yetu ya Hindi maana ndiyo ipo karibu na makazi yetu.
Ulituahidi kutuletea treni ya abiria kutoka Marekani kwa rafiki zako ili itusaidie masuala ya usafiri lakini hadi Leo hii tunaendelea kuhenyeka na daladala tu.
Mwishowe leo hii unakuja kutukimbiza mchaka mchaka bila kutekeleza ahadi zako za mwaka 2020?
Tumekuchoka mchungaji wa kondoo, Rudi kanisani mambo ya siasa waachie wenyewe.
MKONO WA BAUNZAWakati unaomba ubunge ulituahidi mambo mengi sana.
Tulikuamini kwa kuwa wewe ni mchungaji yaani mtumishi wa Mungu hivyo hatukujua kama wewe utakuja kutugeuka.
Ulituahidi kutuletea boti za kuvulia samaki kwenye bahari yetu ya Hindi maana ndiyo ipo karibu na makazi yetu.
Ulituahidi kutuletea treni ya abiria kutoka Marekani kwa rafiki zako ili itusaidie masuala ya usafiri lakini hadi Leo hii tunaendelea kuhenyeka na daladala tu.
Mwishowe leo hii unakuja kutukimbiza mchaka mchaka bila kutekeleza ahadi zako za mwaka 2020?
Tumekuchoka mchungaji wa kondoo, Rudi kanisani mambo ya siasa waachie wenyewe.
haha amewachezesha mama zetu REDE huyu hana adabu hata kidogoWakati unaomba ubunge ulituahidi mambo mengi sana.
Tulikuamini kwa kuwa wewe ni mchungaji yaani mtumishi wa Mungu hivyo hatukujua kama wewe utakuja kutugeuka.
Ulituahidi kutuletea boti za kuvulia samaki kwenye bahari yetu ya Hindi maana ndiyo ipo karibu na makazi yetu.
Ulituahidi kutuletea treni ya abiria kutoka Marekani kwa rafiki zako ili itusaidie masuala ya usafiri lakini hadi Leo hii tunaendelea kuhenyeka na daladala tu.
Mwishowe leo hii unakuja kutukimbiza mchaka mchaka bila kutekeleza ahadi zako za mwaka 2020?
Tumekuchoka mchungaji wa kondoo, Rudi kanisani mambo ya siasa waachie wenyewe.
Uongo na siasa ni pipa na mfuniko, mchungaji kavamia mambo ya wenyewe. Bila shaka ataomba radhi kwa kusema uongo hadharani.Wakati unaomba ubunge ulituahidi mambo mengi sana.
Tulikuamini kwa kuwa wewe ni mchungaji yaani mtumishi wa Mungu hivyo hatukujua kama wewe utakuja kutugeuka.
Ulituahidi kutuletea boti za kuvulia samaki kwenye bahari yetu ya Hindi maana ndiyo ipo karibu na makazi yetu.
Ulituahidi kutuletea treni ya abiria kutoka Marekani kwa rafiki zako ili itusaidie masuala ya usafiri lakini hadi Leo hii tunaendelea kuhenyeka na daladala tu.
Mwishowe leo hii unakuja kutukimbiza mchaka mchaka bila kutekeleza ahadi zako za mwaka 2020?
Tumekuchoka mchungaji wa kondoo, Rudi kanisani mambo ya siasa waachie wenyewe.
Acha kumsikiliza mzinzi huyo mcheza ngonoWakati unaomba ubunge ulituahidi mambo mengi sana.
Tulikuamini kwa kuwa wewe ni mchungaji yaani mtumishi wa Mungu hivyo hatukujua kama wewe utakuja kutugeuka.
Ulituahidi kutuletea boti za kuvulia samaki kwenye bahari yetu ya Hindi maana ndiyo ipo karibu na makazi yetu.
Ulituahidi kutuletea treni ya abiria kutoka Marekani kwa rafiki zako ili itusaidie masuala ya usafiri lakini hadi Leo hii tunaendelea kuhenyeka na daladala tu.
Mwishowe leo hii unakuja kutukimbiza mchaka mchaka bila kutekeleza ahadi zako za mwaka 2020?
Tumekuchoka mchungaji wa kondoo, Rudi kanisani mambo ya siasa waachie wenyewe.