Pre GE2025 Gwajima umezidi uongo, wana Kawe tumekuchoka

Pre GE2025 Gwajima umezidi uongo, wana Kawe tumekuchoka

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Wakati unaomba ubunge ulituahidi mambo mengi sana.

Tulikuamini kwa kuwa wewe ni mchungaji yaani mtumishi wa Mungu hivyo hatukujua kama wewe utakuja kutugeuka.

Ulituahidi kutuletea boti za kuvulia samaki kwenye bahari yetu ya Hindi maana ndiyo ipo karibu na makazi yetu.

Ulituahidi kutuletea treni ya abiria kutoka Marekani kwa rafiki zako ili itusaidie masuala ya usafiri lkn hadi Leo hii tunaendelea kuhenyeka na daladala tu.

Mwishowe leo hii unakuja kutukimbiza mchaka mchaka bila kutekeleza ahadi zako za mwaka 2020?

Tumekuchoka mchungaji wa kondooo,Rudi kanisani mambo ya siasa waachie wenyewe.
Vipi ulimpigia kura!
 
Wakubwa hivi hapo mlimani city kuna tukio gani la muhimu hadi viongozi wa nchi wanaenda hapo??
 
Wakati unaomba ubunge ulituahidi mambo mengi sana.

Tulikuamini kwa kuwa wewe ni mchungaji yaani mtumishi wa Mungu hivyo hatukujua kama wewe utakuja kutugeuka.

Ulituahidi kutuletea boti za kuvulia samaki kwenye bahari yetu ya Hindi maana ndiyo ipo karibu na makazi yetu.

Ulituahidi kutuletea treni ya abiria kutoka Marekani kwa rafiki zako ili itusaidie masuala ya usafiri lakini hadi Leo hii tunaendelea kuhenyeka na daladala tu.

Mwishowe leo hii unakuja kutukimbiza mchaka mchaka bila kutekeleza ahadi zako za mwaka 2020?

Tumekuchoka mchungaji wa kondoo, Rudi kanisani mambo ya siasa waachie wenyewe.
CCM ndio mkombozi wenu
 
Wakati unaomba ubunge ulituahidi mambo mengi sana.

Tulikuamini kwa kuwa wewe ni mchungaji yaani mtumishi wa Mungu hivyo hatukujua kama wewe utakuja kutugeuka.

Ulituahidi kutuletea boti za kuvulia samaki kwenye bahari yetu ya Hindi maana ndiyo ipo karibu na makazi yetu.

Ulituahidi kutuletea treni ya abiria kutoka Marekani kwa rafiki zako ili itusaidie masuala ya usafiri lakini hadi Leo hii tunaendelea kuhenyeka na daladala tu.

Mwishowe leo hii unakuja kutukimbiza mchaka mchaka bila kutekeleza ahadi zako za mwaka 2020?

Tumekuchoka mchungaji wa kondoo, Rudi kanisani mambo ya siasa waachie wenyewe.
MKONO WA BAUNZA
 
Wakati unaomba ubunge ulituahidi mambo mengi sana.

Tulikuamini kwa kuwa wewe ni mchungaji yaani mtumishi wa Mungu hivyo hatukujua kama wewe utakuja kutugeuka.

Ulituahidi kutuletea boti za kuvulia samaki kwenye bahari yetu ya Hindi maana ndiyo ipo karibu na makazi yetu.

Ulituahidi kutuletea treni ya abiria kutoka Marekani kwa rafiki zako ili itusaidie masuala ya usafiri lakini hadi Leo hii tunaendelea kuhenyeka na daladala tu.

Mwishowe leo hii unakuja kutukimbiza mchaka mchaka bila kutekeleza ahadi zako za mwaka 2020?

Tumekuchoka mchungaji wa kondoo, Rudi kanisani mambo ya siasa waachie wenyewe.
haha amewachezesha mama zetu REDE huyu hana adabu hata kidogo
 
Wakati unaomba ubunge ulituahidi mambo mengi sana.

Tulikuamini kwa kuwa wewe ni mchungaji yaani mtumishi wa Mungu hivyo hatukujua kama wewe utakuja kutugeuka.

Ulituahidi kutuletea boti za kuvulia samaki kwenye bahari yetu ya Hindi maana ndiyo ipo karibu na makazi yetu.

Ulituahidi kutuletea treni ya abiria kutoka Marekani kwa rafiki zako ili itusaidie masuala ya usafiri lakini hadi Leo hii tunaendelea kuhenyeka na daladala tu.

Mwishowe leo hii unakuja kutukimbiza mchaka mchaka bila kutekeleza ahadi zako za mwaka 2020?

Tumekuchoka mchungaji wa kondoo, Rudi kanisani mambo ya siasa waachie wenyewe.
Uongo na siasa ni pipa na mfuniko, mchungaji kavamia mambo ya wenyewe. Bila shaka ataomba radhi kwa kusema uongo hadharani.
 
Wakati unaomba ubunge ulituahidi mambo mengi sana.

Tulikuamini kwa kuwa wewe ni mchungaji yaani mtumishi wa Mungu hivyo hatukujua kama wewe utakuja kutugeuka.

Ulituahidi kutuletea boti za kuvulia samaki kwenye bahari yetu ya Hindi maana ndiyo ipo karibu na makazi yetu.

Ulituahidi kutuletea treni ya abiria kutoka Marekani kwa rafiki zako ili itusaidie masuala ya usafiri lakini hadi Leo hii tunaendelea kuhenyeka na daladala tu.

Mwishowe leo hii unakuja kutukimbiza mchaka mchaka bila kutekeleza ahadi zako za mwaka 2020?

Tumekuchoka mchungaji wa kondoo, Rudi kanisani mambo ya siasa waachie wenyewe.
Acha kumsikiliza mzinzi huyo mcheza ngono
 
Back
Top Bottom