R I.P ukifa kabla ya uchaguzi.Nikifa kabla ya uchaguzi , naomba wana kawe msimpe kura mtu asiyekuwa na maadili Gwajima hana hofu ya Mungu ndani yake.
Alituaminisha kuwa atamfufua amina chifupaMtu huyu hana hofu mbayo mwaisema,alijiita askofu halafu anafanya futuhi ya kufufua wafu wakati mamake mzazi alimfukia.
Halafu mkaamini nanyie ?![emoji23][emoji23][emoji23]Alituaminisha kuwa atamfufua amina chifupa
This reptile that comes from hell! is cunning!! This devil incarnation is really!BAJAMENI ... SI MPAMBANE TUU!! π
... UNASHAMBULIWA!
π π₯
Duh, hi ngumu kumeza kwa Mzee wa unoLakini ukisema mimi ni mtumishi wa Bwana sitaiba kura! Tena, ni mchungaji sitawafitini kondoo.
Na zaidi nina hofu ya Mungu sitaendekeza uroho wangu wa vyeo!
Kwa hiyo nitakuwa mwaminifu mpaka kufa hata kama wanakawe wanikatae!
Ikiwa utashikilia msimamo huu huwezi kurudi Ramothi-giliadi ulikoshukia! Pasipo kuzingatia udhaifu ulipokuwa shambani mwake; Kawe inaenda kuhitimisha shughuri hiyo!
Na ujue roho za manabii huwatii manabii.
Basi Bwana akulegeze moyo ili uyakumbatie ya mbinguni na kuyakataa ya dunia.
Vinginevyo kwa vile una tamaa ya Gehazi ukoma wa Naamani hautaondoka kwenye huduma yako!
Bwahahahahahaha.....sasa huyo itabidi apewe chupa kubwa la maji kwa nguvu kubwa aliyotumia kupiga hayo makerere ambayo hata hayaeleweki. Hadi Yesu arudi watu watakuwa wamepotezwa sana na hizi imani feki...BAJAMENI ... SI MPAMBANE TUU!! π
... UNASHAMBULIWA!
π π₯
Waislamu na katoliki hawatampigia Kura huyu tapeli wa ImaniNikifa kabla ya uchaguzi , naomba wana kawe msimpe kura mtu asiyekuwa na maadili Gwajima hana hofu ya Mungu ndani yake.
Kama wewe ni muumini wa huyu askofu kimbia mapema manake mungu wake sio Mungu wako.Lakini ukisema mimi ni mtumishi wa Bwana sitaiba kura! Tena, ni mchungaji sitawafitini kondoo.
Na zaidi nina hofu ya Mungu sitaendekeza uroho wangu wa vyeo!
Kwa hiyo nitakuwa mwaminifu mpaka kufa hata kama wanakawe wanikatae!
Ikiwa utashikilia msimamo huu huwezi kurudi Ramothi-giliadi ulikoshukia! Pasipo kuzingatia udhaifu ulipokuwa shambani mwake; Kawe inaenda kuhitimisha shughuri hiyo!
Na ujue roho za manabii huwatii manabii.
Basi Bwana akulegeze moyo ili uyakumbatie ya mbinguni na kuyakataa ya dunia.
Vinginevyo kwa vile una tamaa ya Gehazi ukoma wa Naamani hautaondoka kwenye huduma yako!
King of kwichi kwichiGwaji Miunoooooo
Na usipokufa kabla ya uchaguzi je? Ruksa kumchagua sio?Nikifa kabla ya uchaguzi , naomba wana kawe msimpe kura mtu asiyekuwa na maadili Gwajima hana hofu ya Mungu ndani yake.