Uchaguzi 2020 Gwajima, utashida Ubunge ikiwa utazidi kumuasi Mungu!

Uchaguzi 2020 Gwajima, utashida Ubunge ikiwa utazidi kumuasi Mungu!

Mkuu, mimi si muumini wake, isipokuwa nimemshauri kama kiongozi wa dini.
Kama wewe ni muumini wa huyu askofu kimbia mapema manake mungu wake sio Mungu wako.
 
huwa nikisikia kichefuchefu kwa watu kumwita Gwajima eti askofu wakati huyu ni porn star and business man, mchumia tumbo kupitia Faith Business!! Gwajima anajua uislam ni dini ya kweli na ni hatari kwa ustawi wa ukristo sababu kila aya ya Al Furqan ina logic na sasa anapambana na uislam ndani na nje ya nchi!!

Gwaji boy ni fundi wa mauno na ngono na wake za waumini wake tu hafai kuwa kiongozi wa siasa!ni mbaguzi wa kidini hivyo hana sifa ya kuwa kiongozi wa umma, ni mtu muongo na tapeli!! ni mvunjaji ndoa za watu huyu hafai kwenye siasa!!

Kaona mbupu zote sasa zimevutwa anatafuta pa kutokea! kama hustler wengine nampongeza kutangaza nia ila hafai ubunge sababu ni mdini wa kujitangaza mwenyewe kuchukia waislam, na wazungu wanatekeleza ushauri wake kwao wazungu wanaanzisha vita Arabuni na kugoma kupokea wakimbizi!!!

mimi kama kijani makini namshangaa sana kwanini Porn Star Gwaji boy hakugombea ubunge miaka ya nyuma ila alipoingia tu Magu, covid19 na vita ya Madawa ya Makonda mpunga sasa umekata karukia Siasa !! shame on him!!

Gwajima hana aibu hata ya kuvalia pichu na mauno yote yale keshatangaza biashara kwa kinamama wote nchini akienda bungeni si atakuwa fisi atadeal na viti maalum wote wazuri wazuri na walionona awamalize na kuekti nao porn zingine tutaziona nazo pia! wabunge lindeni heshima ya bunge lenu mfanyieni figisu Gwajima asijepenya na kuingia na kuanza kuekti muvi za porn na wabunge wenu tunajua udhaifu wa mama zetu wakiona hizo Hammer!!!akidhalilisha wabunge kwa muvi za porn anazopenda kuekti basi mjue kadhalilisha nchi nzima na Rais wake!! ukila nyama ya mtu huwezi kuacha!!

Binafsi nilikagua ile clip mara kumi nikajihakikishia ni Gwajima yeye mwenyewe , ile video ni halisi sio fake!!bichwa lake la kijijini lile unaediti vipi? niliangalia kwa makini uwiano wa kichwa miguu tumbo na mikono, vyote vilikuwa sawa kisha nikaangalia rangi ya mwili ya viungo vyote ilikuwa sawa pia nikahakikisha ni yeye tena niyeye ndie anaonekana akijirekodi si mwanamke wa watu!! Gwajima ni mtu mpumbavu anaedhani he can fool everybody in this country wengine katukosa! hivi sisiem yetu imekuwaje kuruhusu hata wacheza porn kuchukua form? au kwakuwa ni msukuma? Mungu anawaona lakini!! yaani ukiwa na cheti feki twende kazi, ukiwa mcheza porn twende kazi, miaka yenyewe si mingi imebaki mitano tu!!

Sisiem tusifuge uchafu kama huu na kuupeleka bungeni!! kijani tuwaheshimu wapiga kura wetu si kuwapelekea bungeni uchafu kama Gwajima tuangalie watangaza nia walio wasafi , wazalendo na makini tu!
 
Jamaa alishamuacha Mungu kitambo! Sasa hivi ni ujanja ujanja tupu!
 
Jimbo la kawe limepata mtu wa maana Sana maana Ana hofu ya MUNGU.
 
Kwa hiyo gwajuma anaenda kufanya sihasa! sasa kondoo wa bwana atamwachia nani...
Atapeleka kotekote kama ilivyokuwa kwa mama wa mlima wa moto. Kwao utumishi wa Mungu siyo kipaombele bali mwavuli wa kuchuma pesa.
 
Back
Top Bottom