wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,132
Huyu mshika kibendera nadhani hii ndiyo mechi yake ya mwisho ligi kuu. Posho alopewa ndo aishi nayoGooooooooooooooooaal............! S.S.C 2
Linesman anazingua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu mshika kibendera nadhani hii ndiyo mechi yake ya mwisho ligi kuu. Posho alopewa ndo aishi nayoGooooooooooooooooaal............! S.S.C 2
Linesman anazingua
Huyu boya aombee hii mechii iishe tumeshinda vinginevyo.....sijui
Ni mechi moja tu hii, pamoja na LwangaNimesikia Luis na wawa wana kadi za njano, kama hivyo ndivyo wanatakiwa wakose mechi ngapi? Msaada tafadhali
Moja tuNimesikia Luis na wawa wana kadi za njano, kama hivyo ndivyo wanatakiwa wakose mechi ngapi? Msaada tafadhali
Safi...asante mkuu, nilidhani nia ile ya tarehe 8 hawatakuwepoNi mechi moja tu hii, pamoja na Lwanga
Kimsingi tayari tushaongoza. Hivi Simba viporo vyetu vimeisha?BADO sekunde chache tuongoze ligi.
Hiyo siku kuwa watu hawataleta team uwanjani.Safi...asante mkuu, nilidhani nia ile ya tarehe 8 hawatakuwepo
Waoooh! kumbe sio mara zote natakiwa niziamini ndoto, jana niliota tumepigwa eti na Gwambina. Nikashtuka saa tisa nikaanza kusikitika ila nikakemea[emoji16][emoji3]FT 0-1
Kwanini mkuu? Watakuja kwa jeuri ya TK na Mukoko na Carlinhos[emoji23]Hiyo siku kuwa watu hawataleta team uwanjani.