Gwambina imefanikiwa kuwa team ya kwanza ya daraja la kwanza kumilikibuwanja wao wenyewe.
Kuna baadhi ya vitu nimeviona kwenye uwanja wao nakupata mashaka juu ya ujenzi kwani inaonekana haujakidhi viwango kwa upande wa kiusalama kwani hakuna uzio unaotengsnisha pitch pamoja na mashabiki
Pia itapendeza kama wakiweka nyasi bandia kwani hizo nyasi za asili zinaobekana sio bora
Mimi naamini kemwa Tanzania ubora wa kiwanja ni eneo la pitch viwanja karibu vyote putch ni nyasi asili na ndio maana ni vibovu Gwambina complexChamazi complex
Mkuu acha nongwa pitch imetulia kuliko kwa mchina au macho yako yawe na makengeza ,sana sana chakuzungumzia ni mwenye timu katuibia malofa wa Tanganyika mpaka kajenga uwanja bila kuogopa kufungwa