TANZIA Gwiji wa Kiswahili, Mzee Amiri Soud Andanenga ametutoka

TANZIA Gwiji wa Kiswahili, Mzee Amiri Soud Andanenga ametutoka

Sauti ya Kiza alivuma sana Radio Tanzania Dar es salaam na kwenye magazeti kipindi tunakua.

RIP.
Kweli kabisa, nguli kabisa huyu wa fasihi na mambo ya ushahiri

Wale wazee wenzake wote mahiri wa lugha ya kiswahili wameondoka mmoja baada ya mwingine, wamekwisha sasa.

Wakongwe wengine enzi hizo za rtd walikuwa Mohammed Mwinyi, Shaaban Gonga, Jumanne Mayoka, Suleiman Hegga, Hamisi Akida, Jumanne Mokiwa. ilikuwa burdan sana kuwaskiza watu hawa. m/mungu awarehemu
 
R.I.P
Msanii mkongwe na miongoni mwa washairi wakubwa nchini na Afrika Mashariki, Amir Sudi Andanenga amefariki dunia usiku wa Mei Mosi, 2024.

Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa na Chama cha Usanifu wa Kiswahili na Ushairi nchini (UKUTA), marehemu Andanenga amekutwa na umauti akipatiwa matibabu katika hospitali ya Dkt. Mvungi, Kinondoni, Dar es Salaam.

Maziko ya Andanenga aliyefahamika zaidi kwa jina la sanaa ya ushairi la ‘Sauti ya Kiza’ yanatarajiwa kufanyika leo tarehe mosi, Mei 2024 wilayani Kinondoni Dar es Salaam.


RIP Mzee wetu ANDANENGA
 
Kweli kabisa, nguli kabisa huyu wa fasihi na mambo ya ushahiri

Wale wazee wenzake wote mahiri wa lugha ya kiswahili wameondoka mmoja baada ya mwingine, wamekwisha sasa.

Wakongwe wengine enzi hizo za rtd walikuwa Mohammed Mwinyi, Shaaban Gonga, Jumanne Mayoka, Suleiman Hegga, Hamisi Akida, Jumanne Mokiwa. ilikuwa burdan sana kuwaskiza watu hawa. m/mungu awarehemu
Naam,

Umenitajia majina sijayasikia miaka mingi. Hawa ilikuwa wakifanya malumbano ni burudani tupu.
 
Back
Top Bottom