Gx110 1g-fe v/s ipsum new model 2az-fe

Salih

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2013
Posts
642
Reaction score
420
Wakuu habari habari ya Ramadhani na Kwaresma!?

Awali ya yote ningependa kutanguliza shukrani zangu kwa majibu yenu mazuri naamini yatanipa mwanga juu ya haya magari mawili natamani nipate moja ila sijajua lipi litanifaa kwa mishe zangu, ni Mtu wa ruti za mikoani na nina familia kam ifuatavyo, Mimi, Mke na Watoto wawili wa miaka6 na 7, kwahiyo gari ipi itakuwa nzuri kati ya hizo!?

Wakuu naombeni ushauri.
 
Lete picha ya aina za hayo magari na budget yako compared na ile ya kuagiza na kwenye showroom
 
Lete picha ya aina za hayo magari na budget yako compared na ile ya kuagiza na kwenye showroom
Ishu sio bei wala bajeti ila naomba kujua ubora na usalama wa hizo gari hasa kwa safari zangu za mikoani na nikiwa na familia pia
 
Hizo hapo Mkuu
 
Kama ni kwa issue ya familia chukua Ipsum,ila kwa issue ya perfomance chukua GX 110...
 
Una selection ya kizamani. Hizo gari zote mbili ni type mbili kabisa moja saloon nyingine sedan. Consumption ya mafuta zote si nzuri , zote si gari ngumu unless unakaa masaki na round zako zipo centre, zote resale value yake ni ndogo. Kwa muktaza huo huo nakushauri substitute gx110 kwa toyota premio. Substitute ipsum kwa atleast toyota wish. Itakuletea tofauti ya around 3m kwenye budget
 
Unaposema moja saloon na moja sedan una maanisha nini mkuu?
 
.......Sasa mkuu mbona unafananisha sedan na hatchback!??...... anyway chukua ushauri wa msomi kutoka zenji hapo juu.......
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…