H baba katupia picha za mjengo wake ni kali kuliko za wasanii wengine. Kumbe kuna wasanii wana hela zaidi ya diamondi
View attachment 738010View attachment 738011
Kuna yule msanii mwingine wa kutokea mwanza aliyekuwaga ana date Naj yule mhindi alishawahi kuhojiwa na Tv kwenye nyumba aliyopanga na akadai yake amejenga pia usimsahau WemaKama anaweza post kitu si chake atakuwa fala sana, ila we never know labda jamaa ana deal nyingine za maana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kukata Kiuno Kumemtoa Mshkaji
Hv wema ana jumba la millioni mia nne (400) kijitonyama au?Kuna yule msanii mwingine wa kutokea mwanza aliyekuwaga ana date Naj yule mhindi alishawahi kuhojiwa na Tv kwenye nyumba aliyopanga na akadai yake amejenga pia usimsahau Wema
Mtu anaposti nyumba ya mama wa dem wake anasema yake duh kuna watu wana vifua vigumu[emoji23] [emoji23]Kuna yule msanii mwingine wa kutokea mwanza aliyekuwaga ana date Naj yule mhindi alishawahi kuhojiwa na Tv kwenye nyumba aliyopanga na akadai yake amejenga pia usimsahau Wema
Alitolee wapi?Hv wema ana jumba la millioni mia nne (400) kijitonyama au?
Kumbe ilikuwa ya mkwe wake?[emoji16][emoji16][emoji16]Mtu anaposti nyumba ya mama wa dem wake anasema yake duh kuna watu wana vifua vigumu[emoji23] [emoji23]
acha umburula wew mbona kina bakhresa na wale wahindi aujaawaomba vyetiHivi huyujamaa ni mtanzania kweli? Mbona ana mandevu uso mzima!! Naomba uhamiani wamuite atuoneshe cheti cha baba, babu, bibi na baba yake babu
Pia huwa nahisi jamaa anatumia yale mamiti waliyoagiza polisi wasiyakate
nilikuwa nawaza tu waungwana
chukiInawezekana ni ya kwake, lakini uwa anatumia nguvu nyingi kushindana na mtu ambaye uwa hashindani naye ndipo hapo uwa anaonekana kituko.
Nakumbuka diamond aliposena kanunua nyumba S.A , jamaa alikomalia eti aweke hati yani kama vile ile nyumba inamhusu hata broker aliposema kuwa kweli diamond kainunua jamaa aliendelea kusema siyo kweli.
Mara kadhaa amekuwa akimpinga diamond wakati inavyoonekana diamond hata hanaga time naye.
Sijui diamond alimkosea nini huyu jamaa maana akiwa na kitu akapost caption ya picha itakuwa diss kwa diamond.
Naunga mkono hoja,,,yeye kapost picha ya nyumba,,,,wabongo tunamlisha maneno,,,,itakiwa sio yake.,,namuona mara kwa Mara MAGOMENI kwenye maskani za madalali wa kuuza MAGARI,,,anatiatia HURUMA,,,Nna mashaka na umiliki wa iyo nyumba kuna watu hawana haya hata kupost kitu ambacho siyo chake
hahhahaha mi ndio siwezigi kumsifia mtu ili anione utaishia kumbwela mbwela ili akuone mwisho wa siku unarudia kumchukia. Kuwa real sifia kutoka koyoniWimbo wa H-baba wa nataka kulewa yani ulikuwa tofauti na wa diamond sema title ndo zikafanana na kawaida title za nyimbo kufanana.
Kuna kipindi Hbaba alionekana kama kamkubari diamond na akaanza kumpongeza instagram na diamond akawa ana mshukuru akiona pongezi ila nahisi Hbaba anatamani sana kuwa karibu na diamond maana alipoona jamaa anaishia kumshukuru tu, akarudi kumponda kama zamani