Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu inategemea kukamilisha na kutoa majina ya vijana waliobahatika kupata mkopo wiki ya pili ya mwez wa kumi. hayo yalizungumzwa na mkurugenzi msaidizi kitengo cha habari cha heslb bwana cosmas mwaisombwa. alisema "hadi sasa upangaji umekamilika asilimia 90 hadi kufikia wiki ya pili ya mwezi wa kumi mchakato utakuwa tayari umekamilika" nawashilisha... source..http/:habarileo.go.tz
bodi zile hela walizopewa na serikal walijikopesha kwanza,sasa wamepata faida ndo wana2pa cc, 2vumilie 2 vijana wangu,xa 2tafanyaje
na vp et imepandishwaa adi 10000 per day au ni rumance tuu