H.E.S.L.B yategemea kutoa majina ya waliopata mikopo wiki ya pili ya mwez october.

H.E.S.L.B yategemea kutoa majina ya waliopata mikopo wiki ya pili ya mwez october.

Kwaiyo ndio unailinganisha na school of law ya mlimani sio!!!!??
 
Bodi ya mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu inategemea kukamilisha na kutoa majina ya vijana waliobahatika kupata mkopo wiki ya pili ya mwez wa kumi. hayo yalizungumzwa na mkurugenzi msaidizi kitengo cha habari cha heslb bwana cosmas mwaisombwa. alisema "hadi sasa upangaji umekamilika asilimia 90 hadi kufikia wiki ya pili ya mwezi wa kumi mchakato utakuwa tayari umekamilika" nawashilisha... source..http/:habarileo.go.tz

Hiyo siyo website ya gazeti la habari leo, website yao ni hii http://www.habarileo.co.tz/
 
haya ni majanga,ila bodi wanachofanya sio poah,viongoz wa vyama pinzan cjui kwanin ili swala hawalion!
 
inavyoonekana hizo wiki tatu zijazo ni hela ndio zitatoka na sio majina ya watakaopata mkopo.
 
wewe uliyepost taarifa ya heslb kumbuka uwongo na ukweli ni maadui siku zote acha kuwapa watu presha....... watchout...!!!
 
Back
Top Bottom