Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,687
H.O.D and H.O.E
Haya majina mlikuwa mna idea nzuri,yamefanana.
Hivi my lovito Heaven on Earth we kati ya Diamond na Alikiba we team Nani?
Haya siku nyingine ntakuulizaa sawa Matola
please tell me kama unaupata wimbo mmoja wa kikenya wa zamani kidogo halafu girl ndo kaimba kwenye kiitikio sijui ''nakutaka,nakujali nakutaka pia'halafu mwanaume anaitika na ''nakutaka pia'',duh nimeukumbuka nata niutafute unitwaje?It was just a coincidence...,
Mie wote hao nawapenda.., ila Diamond ni zaidi
Umenifungua macho ujue
It was just a coincidence...,
Mie wote hao nawapenda.., ila Diamond ni zaidi, mbona umequote post zote hizo
please tell me kama unaupata wimbo mmoja wa kikenya wa zamani kidogo halafu girl ndo kaimba kwenye kiitikio sijui ''nakutaka,nakujali nakutaka pia'halafu mwanaume anaitika na ''nakutaka pia'',duh nimeukumbuka nata niutafute unitwaje?
nishaupata,kaimbaSijaukumbuka vizuri.. red san nae ana wimbo mmoja waitwa nakutaka sijui ndio huo...
Dedication nini??
Nimepigwa mkwaraa,na hivi hua ana mikwaraa mpwa wako kibokoo
Mimi nilijuaga huyu jamaa H.O.B ni Mtetea!
nishaupata,kaimba
Amani ft Nyanshiski -bad boy
Hhhhhaaaaa nilijuaa tu Diamond foreverrrrrrrrr
Ni kweli ni name calling akireport abuse wanaweza kukuban....,
Mpwa kanichekesha lakin.. maana hujamuuliza swali akajibu yeye
H.O.D and H.O.E
Haya majina mlikuwa mna idea nzuri,yamefanana.
Hivi my lovito Heaven on Earth we kati ya Diamond na Alikiba we team Nani?
Diamond daima kwakweli
kumbe mke wako,mnaendana that is niceMke wangu Heaven on Earth anawapenda msondo ngoma zaidi....
kumbe mke wako,mnaendana that is nice
ndo nimeconfirm bro!Hukuwa na habari???.....ananipelekesha lakini navumilia tu
ndo nimeconfirm bro!
sasa we hiyo lovito umeajuaje na unafuatliaje kama hujawahi penda?Uache kumuita lovito...sijawahi kupenda