Ha ha ha mwalimu oyee..!!

i once told you ☞NENDA KAKICHAFUE HALMASHAURI☜ ukaniuliza maana yake nini..... HOPEFULLY USHAONA MAANA YAKE SASA ... haya anza kutafuta kuku wawiliwatatu wa kufuga hapo home..

loh mbona nashukuru nilikinukisha haswa!! Kuhusu kuku usijali ngoja nichek pa kuwaweka nikija dar we niagize tu !!
 
uwe na masterz,kadegree au elimu gani kama wewe ni mwalimu unageuka zombi kutokana na mazingira na watu waliopo,pamoja na walimu wenzako tena wakiwa wakike wengi ndo utapotea labda uende town kwenye changamoto kila m2 na time yake
 
yaani we 'mbebez' ualimu ndo umeona ni kazi jamani!!..hako ka mshahara mnakopewa wengine ndo tunawapa pocket money watoto zetu eti nyie ndo mshahara!!..kwa mwanaume ni udhaifu sana kusomea 'kazi za kike' kama ualimu!!

Huyu shoga katoka wapi huyu? usikute mama ake anauza visheti pale nje ya shule ya msingi vigwaza halafu anajifanya niaje niaje...punda kweli wewe.
 
Huyu shoga katoka wapi huyu? usikute mama ake anauza visheti pale nje ya shule ya msingi vigwaza halafu anajifanya niaje niaje...punda kweli wewe.

ha ha et visheti!
 
serikali inabidi ijitahidi kuboresha mazingira ya shule za vijijini ili kuwapa walimu moyo wa kufundisha, otherwise tatizo la upungufu wa walimu baadhi ya maeneo litaendelea kuwa sugu milele na daima !!

nilishaaapa kuoa mwalimu!

sasa naona ndoto zimejileta mlangoni!

dadeki zake...

where are you PM? lol.
 
nilishaaapa kuoa mwalimu!

sasa naona ndoto zimejileta mlangoni!

dadeki zake...

where are you PM? lol.

ha ha Excel oa tu mwanawane utapata raha wewe!! Btw- mbona umepotea huku sijakuona kitambo!
 
Last edited by a moderator:
ha ha Excel oa tu mwanawane utapata raha wewe!! Btw- mbona umepotea huku sijakuona kitambo!
mamii nilikuwa bize na mishe za kusaka misimbazi, ngoja nifanye mpango nioe mwalimu aisee tusaidiane!

vipi wewe umepangiwa mkoa gani?..
 
Utakua Na Mimba Wewe,kaz Ya Mtu Inakuhusu Nini Au Unawashwa Papuch Ukunwe

ha ha mkuu bora mimba atajifungua hata mapacha!huoni kuwa anakaugonjwa ka kimeta afu hakanaga tiba eti!!!
 
mamii nilikuwa bize na mishe za kusaka misimbazi, ngoja nifanye mpango nioe mwalimu aisee tusaidiane!

vipi wewe umepangiwa mkoa gani?..

wataka kuja??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…