DR. MWAKABANJE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 1,976
- 3,130
Yule jamaa aliyekuja na muungano wa pemba na zimbambwe south Africa, leo amenifurahisha sana alipokuwa anatangaza matokeo ya kidato cha pili kwa mambo mawili<
1. Eti mikoa ya kanda ya ziwa ni Mwanza na Mara.
2. Ameshindwa kabisa kutamka neno Thaqaafa second. anatamka swafaka ee, swaaa, swaa................ hadi alipopata msaada wa waandishi wa habari jinsi ya kutamka neno hili.
Hapa sitaki tena na tena kuamini kwamba hii ni MISTAKE hii ni ERROR japo sina uhakika kama anajua tofauti ya maneno hayo.
1. Eti mikoa ya kanda ya ziwa ni Mwanza na Mara.
2. Ameshindwa kabisa kutamka neno Thaqaafa second. anatamka swafaka ee, swaaa, swaa................ hadi alipopata msaada wa waandishi wa habari jinsi ya kutamka neno hili.
Hapa sitaki tena na tena kuamini kwamba hii ni MISTAKE hii ni ERROR japo sina uhakika kama anajua tofauti ya maneno hayo.