Masika
JF-Expert Member
- Sep 18, 2009
- 723
- 30
Habari wanajamvi,
Jana nlikuwa nikiangalia taarifa anuai za fainali ya michezo/matamasha ya pasaka
Kilichonisikitisha ni kwa Timu ya Tanzania kushika mkia kwenye mchezo wa DARTS
Duu ina maana sisi tuko nyuma kila kitu hata huo? riadha kimeo,miguu balaa,basket!!
Juzi tu tulifungwa 2:1 na Uganda vijana under 23,pia tumeendeleza uteja maputo,
Msumbiji wakatulamba 2:0 kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa
Sasa nauliza tunaweza nini?
Jana nlikuwa nikiangalia taarifa anuai za fainali ya michezo/matamasha ya pasaka
Kilichonisikitisha ni kwa Timu ya Tanzania kushika mkia kwenye mchezo wa DARTS
Duu ina maana sisi tuko nyuma kila kitu hata huo? riadha kimeo,miguu balaa,basket!!
Juzi tu tulifungwa 2:1 na Uganda vijana under 23,pia tumeendeleza uteja maputo,
Msumbiji wakatulamba 2:0 kwenye mchezo wa kirafiki wa kimataifa
Sasa nauliza tunaweza nini?