Haaland ametua Manchester City

Atawika tu yule ni mfungaji goli analijua
 
Mfano wa hiki ulichoandika hapa ni Ile game ya Man City vs Liverpool nusu fainali ya FA.

Mpaka half time Man City alikuwa ameshakufa 3-0 kwa kile kikosi dhaifu alichopanga Guardiola sababu ya majeruhi waliosababishwa na game ngumu ya UEFA dhidi ya Atletico Madrid.

Lakini kipindi cha pili, wachezaji walewale waliuwasha moto magoli yakaanza kurudi bahati nzuri kwa Liverpool nafasi aliyopata Jesus alishindwa kuitumia, ile game ndani ya 90 minutes ingeisha 3-3.
 
Kamfanya Foden amekuwa mchezaji mkubwa duniani, wakati wale kina Rashford ndio wanapotea kabisa.
 
kabisa
 
Guardiola ndie kocha bora kwa sasa ,madrid kumfunga ni bahati ilitokea
 
Haaland ni mchezaji wa kawaida mno magoli ambayo anafunga ata john boco angeweza kufunga kwa uingereza atashononga mno
Kwanza amezoea kucheza namba moja tu pili hana msaada timu ikiwa haina mpira
 
Haaland ni mchezaji wa kawaida mno magoli ambayo anafunga ata john boco angeweza kufunga kwa uingereza atashononga mno
Kwanza amezoea kucheza namba moja tu pili hana msaada timu ikiwa haina mpira
Say what?
 
Haaland ni mchezaji wa kawaida mno magoli ambayo anafunga ata john boco angeweza kufunga kwa uingereza atashononga mno
Kwanza amezoea kucheza namba moja tu pili hana msaada timu ikiwa haina mpira
sasa kwa nini wachezaji wengine hawafungi? kila siku yeye tu ndio anafunga?
 
kama walipokiputa na madrid nusu fainali. Umesema kweli?
 
Hiki ndicho ninachoamini, Guardiola UEFA amekosa bahati tu, kwasababu mpira mwingi anao na hata wapinzani wake huwa hawana hamu ya kukutana nae, mfano Salah alisema wazi anapenda final kucheza na Real Madrid lakini sio Man City.
Yaani hujui kwanini Salah alisema vile?
 
Wachezaji walewale? Uliangalia mpira kweli wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…