Haaland anaendelea kuwazima mdogo haters wote

Haaland anaendelea kuwazima mdogo haters wote

Pain killer

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
14,361
Reaction score
21,680
Kama kawaida epl imeanza ,..!

Mshambuliaji kutoka Norway ambaye anakipiga katika club ya Manchester city ameanza kwa kutupia magoli mawili dhidi ya team ngumu ueingereza westham,huku akiwaziba mdomo wote walikowa wanasema anaenda kuflop ..,haaland ameonekana Yuko sharp na anajua kujipostion katika nafasi sahihi ,...
Na msimu huu halaand anaenda kuwa top score wa league ya uingereza kwa kufunga magoli zaidi ya 30+ goal .

Huu ni mwanzo tu ...

mancity_mcfc-20220807-0002.jpg
 
Back
Top Bottom