nyagambaya
New Member
- Apr 25, 2013
- 2
- 0
jaman nahitaj msaada nina mtoto mmoja ila matiti yangu yamelegea sana kiasi kwamba nakosa uhuru wa kufanya mapnz napokutana na mwanaume huwa cvui nguo yangu ya juu kuofia kuyaona matiti yangu naomben nisaidien kupata dawa ya tatizo langu nahadhilika sana sina aman kabisa
Hivyo ulivyo wewe ni mzuri,can you corect the creator?ngoja nikuambie kitu usiwe ashamed na jinsi ulivyo kwa kuwa sidhani kuwa mtu anaependa kuwa na artificial partner,hivi huoni kuwa ni blessing kuwa kama ulivyo?wale walokatwa matiti wasemaje,i chalenge you ukutanapo na huyo so said partner wako kuwa muwazi kwako usishangae nae akaukuambia ana korodani moja(ni mfano tu) i mean strong relationship yeyote inahitaji uwazi na kujikubali jinsi ulivyo tena utapendewa hiyohiyo unayoiona ni defect,i encourage you never let anyone look you down ,Mungu alikuumba hivyo for purpose ,JIAMINI NA UTAPENDWA HIVYO ULIVYO
Hivyo ulivyo wewe ni mzuri,can you corect the creator?ngoja nikuambie kitu usiwe ashamed na jinsi ulivyo kwa kuwa sidhani kuwa mtu anaependa kuwa na artificial partner,hivi huoni kuwa ni blessing kuwa kama ulivyo?wale walokatwa matiti wasemaje,i chalenge you ukutanapo na huyo so said partner wako kuwa muwazi kwako usishangae nae akaukuambia ana korodani moja(ni mfano tu) i mean strong relationship yeyote inahitaji uwazi na kujikubali jinsi ulivyo tena utapendewa hiyohiyo unayoiona ni defect,i encourage you never let anyone look you down ,Mungu alikuumba hivyo for purpose ,JIAMINI NA UTAPENDWA HIVYO ULIVYO
Weeeeeeeeee............ WEeeeeeeeeeeeeeeeee... Inategemea unazungumzia umbile lipi...Nyie wenyewe humu kutwa mnakesha kutamka 'ana kibamia, nikikohoa kinatoka' unadhani mnamaanisha nini? halafu leo uje umuongopee mwenzio hapa..... wePole...jiamini
mwanaume anayekupenda means anakuheshimu na kukuthamini haijalishi maumbile yapo vipi.