HahahaWameshibaa matokee haooo.. Wahaya nao kwa ujuaji!!!
Kumbe we mhayaπTuko kamiligado π π
Kabila zote nipo π π πKumbe we mhayaπ
π π€£ππ Unajua nacheka kwa nini........Habari hii haijawahi kuchuja na haitokuja kuchuja kamwe.
Umesahau na senene !Wameshibaa matokee haooo.. Wahaya nao kwa ujuaji!!!
Wabibi hawana masikhara wamechoka kudhalilishwa na wabakaji πHa haaa hatari sana
Duniani kuna maajabuWabibi hawana masikhara wamechoka kudhalilishwa na wabakaji π
Hizo karate zao sasa! ππDuniani kuna maajabu
Loh nimecheka sana. Hopefully mission yao ilifanikiwaWabibi hawana masikhara wamechoka kudhalilishwa na wabakaji π
Wahaya nao kwa kupenda Down wamekithiri sasa Mbibi wa miaka 80 unambaka upate utamu gani
Nimecheka zaidi walipikamatana kufanya hayo mazoezi yao ya sijui ni judo au karate au kungfuu au ndiyo taichii ya Jet Lee πππ, ukiitazama vizuri inataka kuwa kama mieleka πππLoh nimecheka sana. Hopefully mission yao ilifanikiwa
Dunia ina maajabu yake . Kipindi nipo chuo nasoma kulikuwa na jamaa mmoja tulisoma nae (Pascal) alikuwa ni addict wa wanawake wajawazito hasa wenye mimba ya miezi mitano. Hatari sanaWahaya nao kwa kupenda Down wamekithiri sasa Mbibi wa miaka 80 unambaka upate utamu gani