Vatican wa bongo wataswali wap kama ni hivyoWazee wa kutafuniwa tukomentige wapi...
kanisa ni moja tu Katoliki Takatifu na La Mitume..
Baada ya kujiimarisha na kujihakikishia ngome imara kutoka kwa immune system ya mwili mzima. Wabaya wake kumbe wanamsubiri kwenye shingo.
Ni lazima shingo ipitishe muakilishi kwenda kichwani. Huku kwenye shingo kuna wanaomtaka muakilishi kutoka maeneo ya figo. Ujio wa yule elderly ni kuishawishi mirija ya shingo imruhusu Angela aende kichwani.
Bibi kwani jana usiku ilikua zamu ya Sakayo kulala na babu Asprin? Maana daaahhhh sio kwa hii mipichapicha uliyoamka nayo, inawezekana kibaridi cha jana usiku kimechangia kuamka na hii hangover ya codes zote.Baada ya kujiimarisha na kujihakikishia ngome imara kutoka kwa immune system ya mwili mzima. Wabaya wake kumbe wanamsubiri kwenye shingo.
Ni lazima shingo ipitishe muakilishi kwenda kichwani. Huku kwenye shingo kuna wanaomtaka muakilishi kutoka maeneo ya figo. Ujio wa yule elderly ni kuishawishi mirija ya shingo imruhusu Angela aende kichwani.
Baada ya kujiimarisha na kujihakikishia ngome imara kutoka kwa immune system ya mwili mzima. Wabaya wake kumbe wanamsubiri kwenye shingo.
Ni lazima shingo ipitishe muakilishi kwenda kichwani. Huku kwenye shingo kuna wanaomtaka muakilishi kutoka maeneo ya figo. Ujio wa yule elderly ni kuishawishi mirija ya shingo imruhusu Angela aende kichwani.
Sioni ni kivipi ccm wataleteana mtimanyongo. Nafikiri ndiyo maana wamesurvive kwa muda mrefu.
Acha kabisa.... Big up sana what an amazing fasihi...!!!! I mean fasihi ile ya literature!!!!Baada ya kujiimarisha na kujihakikishia ngome imara kutoka kwa immune system ya mwili mzima. Wabaya wake kumbe wanamsubiri kwenye shingo.
Ni lazima shingo ipitishe muakilishi kwenda kichwani. Huku kwenye shingo kuna wanaomtaka muakilishi kutoka maeneo ya figo. Ujio wa yule elderly ni kuishawishi mirija ya shingo imruhusu Angela aende kichwani.
Kindumbwi icho